Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,350
Siko vizuri kwenye kuandika kiswahiliHaijarishi - Haijalishi
Asante mswahili kwa kunirekebisha.
Ukiona comment yangu nyingine niliyokosea rekebisha nitakulipa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siko vizuri kwenye kuandika kiswahiliHaijarishi - Haijalishi
Mama yako square ndo anahasara maana umeshindwa kuheshimu jinsia ya " ke", na nidhairi wazi kwamba unamtukanaga shenzi typeMama yako ana hasara sana. Kwani Wasafi na Clouds wanakuongezea hela maishani mwako?
Unaumwa utindio wa ubongo WASAFI BABA LAOBora ingekuwa vita ya Diamond na Kusaga badala yake imekuwa mashabiki. Kusaga yeye anacheeeka na familia yake. Aliona threat mbele yake akatake action.
Clouds haiwezi kufa hata Kusaga akifa. Ila Brand ya Wasafi inaweza isiwepo bila Diamond
How sure are you..?Clouds + Wasafi = Kusaga and others
Nipe shikamooo maana naweza kukuzaawatoto wadogo mnakazi!!!!
rudi Facebook huku jf ni baba/mama zenu kuna maswala tunajadili ya kiutu uzima
Hajui hata maana ya share, unamsumbua.Kwa hoja hizo HUNA hujualo.
Chibu share zake pale hazifiki hata 30%
Tatizo clouds FM maprisenta wanajikuta wajanja kubebana kiarushaClouds haiwezkan kudrop kiivyo kam mnavyofikilia bado inamizizi yake yakutosha
Hizi ni Tabia za WAHA ambao wameingia mjini siku za karibu tena kwa usafiri wa Treni.Kwasababu Clouds ni wapumbavu ndo tunataka tuwaelimishe
So what's your damn problem?Bora ingekuwa vita ya Diamond na Kusaga badala yake imekuwa mashabiki. Kusaga yeye anacheeeka na familia yake. Aliona threat mbele yake akatake action.
Clouds haiwezi kufa hata Kusaga akifa. Ila Brand ya Wasafi inaweza isiwepo bila Diamond
Bora wamhubiri Yesu sasaBaada ya miaka mitatu redio clouds itakua kama WAPO FM,kusaga mwenyewe ameshama nchi akija anakuja kukagua viwanda vyake tu
mtawasema sana, mtawalinganisha sana, ila wao ndio waliochonga barabara kwa matamasha na redio za biashara mpaka watangazaji,Baada ya wasafi festival kuiteka dar jumamosi kwa tamasha lililofanikiwa kwa kiasi kikubwa na kuwa gumzo Kila Kona. clouds ikimtumia soudy brown akiwa na matarumbeta wanawashawishi watu maeneo ya kijimboni kusikiliza clouds.
Ukiachana na Hilo clouds wameanzisha slogani ya Kupinga 100% mziki wa ndani na wanaanza kuanzia Leo mpaka siku ya fiesta.Nimepitia kwenye comment kwenye mtandao wao wa Facebook watu wengi wamewauliza Kama mnapiga ngoma za ndani kwa asilimia 100 kwani diamond na lady Jay Dee ni wasanii kutoka Iraq?
Kwani we unajua walitumia sh ngapi kwake ? Je harmonize mbona ameanza kulipa kwa nini hajalalamika ? Leo show moja anafanya analipwa mil 20 kwa mwaka akifanya show 12 =tsh mil 240 ,hivi waliomtengeneza maisha yote kwa mwaka apate 240 kwa mwaka walistahili shngap mfano?Ile ni biashara diamond ana ndugu zake hajawekeza kwao ,hakuwa anamsaidia kama ndugu bali biashara .
Nini kimewafanya washushe kiingilio Cha fiesta kutoka 10000 mpaka 5000?jibu Kwanza hili wakati wenzao wameweka 10000, 100000 na 500000 na wamejaza kote.mtawasema sana, mtawalinganisha sana, ila wao ndio waliochonga barabara kwa matamasha na redio za biashara mpaka watangazaji,
wale wanafanya vitu kwa level zao, na tangu mmeanza kusema watashuka ipo siku, ndio kwanza wanaendelea kupaa zaidi
kila mtu anafanya kutokana na target yake, ndio maana hata mikoa mingine bei ilikuwa hivo, kumbuka pale kuna mzamini ambae pia huduma yake inatakiwa itumike, ambayo ni Tigo pesa, maamuzi hayafanywi na Clouds tu kumbuka mzamini ana ana masharti yake pia,Nini kimewafanya washushe kiingilio Cha fiesta kutoka 10000 mpaka 5000?jibu Kwanza hili wakati wenzao wameweka 10000, 100000 na 500000 na wamejaza kote.
Balaaa zitoAnguko la clouds kuondoka kwa jembe ruge clouds wanapumulia gas
Unakoelekea unakuwa kibogoyoNamashukuru Mungu nimepita huu umri, wa kushabikia mambo kama haya.
Haha, hizo ndizo baraka zenyewe za Amri ya 4 mkuu, " Waheshimu Baba yako na Mama yako".Unakoelekea unakuwa kibogoyo