Fiesta Ina hali mbaya

Haijarishi - Haijalishi
 
haya kampokee baba mkate alafu hapo kibarazani kuna michanga sana hebu chukua fagio upasafishe.
 
Baelezee baelezeee maana watu wanandika mashudu tu
 
Bora ingekuwa vita ya Diamond na Kusaga badala yake imekuwa mashabiki. Kusaga yeye anacheeeka na familia yake. Aliona threat mbele yake akatake action.
Clouds haiwezi kufa hata Kusaga akifa. Ila Brand ya Wasafi inaweza isiwepo bila Diamond
 
Ishu ya kutumia mziki wa ndani kwenye kilele cha fiesta hawajaanza mwaka huu, tangia mwaka Jana wana kampeni hiyo, wanajaribu kusema mziki wetu(bongo fleva ) no kubwa haihitaji MTU (msanii) wa nje ku busti mziki wetu.
 
Mmiliki mwenza diamond 45% ,Hivi alikibakuli ana % ya clouds ?
Alikiba hapendi 'kujionyesha' tu,ila ana TV yake 'kubwa' sana inaitwa King kiba online TV huko youtube yaani ni kama tu unavyoona Joti tv,Ebitoke tv,mc pilipili tv. na pia ni mmiliki wa msemo wa YOOOOOOOOOOOOOOOO.

Mchizi hapendi 'kujionyesha' tu.
 
Hivi konde boy ili atoke wasafi ilitakiwa alipe sh ngapi kweli?,milion 500 huoni na wao ni wanyonyaji tu?
Kwani we unajua walitumia sh ngapi kwake ? Je harmonize mbona ameanza kulipa kwa nini hajalalamika ? Leo show moja anafanya analipwa mil 20 kwa mwaka akifanya show 12 =tsh mil 240 ,hivi waliomtengeneza maisha yote kwa mwaka apate 240 kwa mwaka walistahili shngap mfano?Ile ni biashara diamond ana ndugu zake hajawekeza kwao ,hakuwa anamsaidia kama ndugu bali biashara .
 
haya kampokee baba mkate alafu hapo kibarazani kuna michanga sana hebu chukua fagio upasafishe.
Baba mungu nilishampokea muda mrefu sana yupo moyoni mwangu,nyie baba yenu ruge si alishakufa mulienda kumzika kule kwenu bukoba na kubaki yatima maana hakuwa na mke rasmi Yaani bachela,mmekuwa watoto wa mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…