Saut inakatakata ni kwang au?
nimefarijika muona.... I see
ray c na rachel wanarandana saanaa..
Umeonaee
Jamani hii fiesta..mbona iko low sana mzuka wake...
Sound
Dj
Wasanii
Mcs
Mashabiki wanalazimisha tu shangwe!!!!
#playback #playback inaboa jamani..
Imagine hizi ngoma za snura kungekuwa na drum pale kati.zinapigwa ingekuwaje????
Mbona maisha club wanapiga live tena ni club,, leo hii show kubwa #playback ?????? Haiji,, naenda zangu kulala kaaaaaaaaaaaaahhhhh!!! Hasa Dj kanivuruga sana...
Jamani hii fiesta..mbona iko low sana mzuka wake...
Sound
Dj
Wasanii
Mcs
Mashabiki wanalazimisha tu shangwe!!!!
#playback #playback inaboa jamani..
Imagine hizi ngoma za snura kungekuwa na drum pale kati.zinapigwa ingekuwaje????
Mbona maisha club wanapiga live tena ni club,, leo hii show kubwa #playback ?????? Haiji,, naenda zangu kulala kaaaaaaaaaaaaahhhhh!!! Hasa Dj kanivuruga sana...
Nashangaa wanaosema show ina mzuka. Yaani kwa sound hii mbovu kuna mzuka gani hapo? Ni show mbovu kuliko Fiesta zote nilizohudhuria. Hii unaweza ita live show? Wamejenga stage ya ukweli lakini wakapuuza sound.