fiesta....

Saut inakatakata ni kwang au?
 
Duu, huu uchezaji wa madensa wa shilole, Viewer discretion is advised!
 
leo wasanii wa kike wanaheshimu vyupi vyao..,hawavionyeshi...
 
.... Loh.... Snura nae walewale..background..
Tumsubiri linex shortly,.
 
.....snura yuko sexxxyyy,...she is shaking that thing..
 
Tuseme hakuna mwanajamvi alieenda? Hatutaki kesho mapicha ya kudownload kujaziwa hapa
 

Mkuu sound system yenyewe iko wapi yakupiga live?
 
Mbona hiviii jmn Linex hackiki ni mitangazo yaoooo
 

Nashangaa wanaosema show ina mzuka. Yaani kwa sound hii mbovu kuna mzuka gani hapo? Ni show mbovu kuliko Fiesta zote nilizohudhuria. Hii unaweza ita live show? Wamejenga stage ya ukweli lakini wakapuuza sound.
 
Nashangaa wanaosema show ina mzuka. Yaani kwa sound hii mbovu kuna mzuka gani hapo? Ni show mbovu kuliko Fiesta zote nilizohudhuria. Hii unaweza ita live show? Wamejenga stage ya ukweli lakini wakapuuza sound.

show iko mzuka kama na wewe uko high...kama vp lala,..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…