FIFA Confederations Cup 2009

Wenzio hupenda kusema 'chenga tuliwala lakini magoli walitufunga'....
hata kipofu huzalisha.

Si unajua waswahili hawakubali kushindwa, kichapo wamechezea warudi kuvua samaki tuu sasa hivi.By the way USA ni number 14 kwenye FIFA ranking kwa hiyo sio wabaya kama wengi wetu tunavyopenda kuamini. Jamaa walimshut down Xavi hehehe and I loved it!!!
 
waliwasumbua kama sisi tunavyosumbuliwaga na kina hull city ha ha ha ha.wanajaa kibao hawaruhusu mcheze style yenu.
 
Poleni sana mashabiki wa Spain,vijana wa Obama wameanza kucheza fomation kama ya ITALY
 
Dah,

SA wanaonekana kuwa imara... Natamani kuona yala ya jana!
 
Shabalala alipiga vizuri, basi tuuu.

Mpaka sasa SA wanacheza vizuri, naweza kusema Possession mpaka sasa ni 50/50
 
wasauzi wanajitahidi!
HOME SWEET HOME!inawapa courage
 
Dah,

Brazil naona leo wamekumbana na kisiki wasichokitarajia.

Half time
 
Duh!! nisije kulishwa humble pie hapa, ila mechi inaboa! Invisible wewe mpira umecheza lini?
 
Invisible unacheki website gani?
Sorry,

Siangalii kwenye website mkuu... Naangalia kwenye luninga. Nipo Brazil, wakijua nashabikia SA wataniua hehehehehe.

Wakuu SA wamecheza kiwango kisichotarajiwa, dakika ya 60, still SA 0 - Brazil 0
 
Sauzi wakishinda, Balantanda na wenzake lazima wanitoe roho loh!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…