Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 643
Wenzio hupenda kusema 'chenga tuliwala lakini magoli walitufunga'....
hata kipofu huzalisha.
Si unajua waswahili hawakubali kushindwa, kichapo wamechezea warudi kuvua samaki tuu sasa hivi.By the way USA ni number 14 kwenye FIFA ranking kwa hiyo sio wabaya kama wengi wetu tunavyopenda kuamini. Jamaa walimshut down Xavi hehehe and I loved it!!!