Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema nini?vuvuleza inaleta raha.....
Hapana mkubwa si wa under estimate,nadhani unaziona hizo kosakosa mkuu,US wanajitahidi but still they can be knocked out.Wanaonesha kwamba wanaweza dungwa at anytime,hata second half,wanashambuliwa sanaDo not underestimate the US bro!
Mwisho wa mechi sipati picha uchovu utakavyoongezeka! Usishangae ukiona Final ni USA vs SAhii mechi nataka iwe dakik 90 bado nina mauchovu ya vacation....
spain wanashinda hamna ubishi....
Tim Howard anajitahidi sana,anawabeba sana US.Kaokoa magoli mengi sana.Hope hatachokaMwisho wa mechi sipati picha uchovu utakavyoongezeka! Usishangae ukiona Final ni USA vs SA
Tim Howard anajitahidi sana,anawabeba sana US.Kaokoa magoli mengi sana.Hope hatachoka
Jamaa anawabania sana SpainTim Howard anajitahidi sana,anawabeba sana US.Kaokoa magoli mengi sana.Hope hatachoka
Jamaa anawabania sana Spain
Bye bye Spain..Lol
Hii inaitwa Mbuzi kala Mbwa..e bwana weeomg..........
2-0 usa