FIFA iingilie kati Liverpool kubebwa EPL

Wewe utakuwa unaumwa! FIFA wenyewe kachukua kombe lao la FIFA CLUB WORLD CUP QATAR!
Hivyo basi Liverpool anaamika hadi kwa IFANTINO Kwa uwezo!
kwa vile uliyeanxisha huu uzi umeagwa jana kutoka MILEMBE bado unatumia DOZI


Sent using Jamii Forums mobile app
 
FIFA Hakuna Karia wala malinzi ..Hawarubuniki😂😂😂😂
 
Kwa hiyo wanabebwa kama simba wanavyobebwa siyo
 
Mkuu watu wanateseka sana na mafanikio ya Liverpool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa hawa kuku wanabebwa mpaka kero


Mbwa hawa yanalizimisha kutoa gundu la miaka 30 kwa gharama zotee,
Rushwaa. Mpaka var
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu umepiga itakuwa ya Meru. Kitu ya Meru huwa haimwachi mtu salama . Lazima uje na maushudu kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…