Waga sina dharau kama watu wengi wanavyonifikiria ila sometimes watu wenye akili kama yako hunifanya nichukie na nione binadam wengi wanauwezo mdogo wa kufikiria au wamejaa matope mengi kichwan instead of Grey matter
Ko unachomaanisha liver akifungwa wasiangalie kosa kabisa waruhusu goli tu imrad limeingia wavuni mwa liver, mtu kama wewe unakuta hajui sheria, haangalii mpira, kakaa kwa mama ntilie akisubiria chai na kusikia matokeo badae akioneshwa picha kuwa mchezaj flan alishika
Na ikumbukwe binadam wenye akili za ovyoovyo wengi huamini kitu kulingana na hisia zao, yani ni total bullsh*t
Wewe huna tofaut na aliesema hii ni handball kwa kuangalia picha bila kuangalia video
View attachment 1310732
Vijana wengi hamtaendelea kwa kukurupuka kuongea au kufanya vitu bila kufanya uchunguzi
Akili kama zako za kijingakijinga ndo baadae unategemewa uendeleze mkoa,
Sent from my iPhone using JamiiForums