FIFA kujenga uwanja wa michezo kwa kila nchi mwanachama barani Afrika. Je unapendekeza mkoa/bei gani?

FIFA kujenga uwanja wa michezo kwa kila nchi mwanachama barani Afrika. Je unapendekeza mkoa/bei gani?

Isipokuwa mwanza Basi waujenge Arusha ila itakuwa vyema zaidi Kama utajengwa mwanza maana imepakana na mikoa mingi zaidi,pia ni jiji linalokuwa kwa kasi,uamsho wa kimichezo upo wakutosha.. Kanda ya juu hakuna kiwanja chakisasa! Hivyo itakuwa vyema kama kikijengwa.. au Kama vipi kiende dodoma..
 
Dodoma kitaishia kutumika kwa sherehe za kitaifa kama Uhuru n.k
Isipokuwa mwanza Basi waujenge Arusha ila itakuwa vyema zaidi Kama utajengwa mwanza maana imepakana na mikoa mingi zaidi,pia ni jiji linalokuwa kwa kasi,uamsho wa kimichezo upo wakutosha.. Kanda ya juu hakuna kiwanja chakisasa! Hivyo itakuwa vyema kama kikijengwa.. au Kama vipi kiende dodoma..
 
Naunga mkono home, Mbeya. Dodoma na Chato tayari viko kwenye mpango . Na mwanza wana viwanja viwili vizuri+Gwambina. Tuweke Mbeya, mbali na kuwa na timu nyingi na uwanja mbovu hata timu za Zambia na Malawi zitakuja kuweka kambi.
 
Arusha ili kuongeza idadi ya watalii wanaokuja nchini pia tutalenga soko la nchi jirani za Kenya Uganda n.k
Utalii kwa Arusha tayari is there kwa miaka mingi uwanja will add nothing ikizingatiwa kuwa mkoa hauna mashabiki wa kutosha wa soka.
Kenya hawawezi kuja kutumia huo uwanja wakati kwao wana viwanja vingi vizuri vya mfano wa azam complex na pia wanajenga viwanja vyao vipya vingine na pia nao watajengewa na fifa kama huku
 
Ningekuwa mkuu wa mkoa tayari ningekuwa nimewapaTFF eneo.
Usitegemee mkuu wa mkoa asiye mwenyeji wa sehemu husika kupigia chapuo hili jambo ni mpaka wanazengo wachangamke ku press
Maeneo yapo tena mazuri kama pale airport ya zamani,iwambi,opposite na songwe airport au uyole mashamba ya chuo cha kilimo.Nitashangaa waziri mwenye dhamana ya michezo akishindwa ku capitalize hili hata kama haimhusu directly
 
Hata
Naunga mkono home, Mbeya. Dodoma na Chato tayari viko kwenye mpango . Na mwanza wana viwanja viwili vizuri+Gwambina. Tuweke Mbeya, mbali na kuwa na timu nyingi na uwanja mbovu hata timu za Zambia na Malawi zitakuja kuweka kambi.
Hata mimi ningependa zaidi ujengwe Mbeya kwa sababu nilizozieleza hapo juu na hizi ulizotoa wewe hapa,ikishindikana basi ujengwe Mwanza ndio kuna uhitaji sawa na Mbeya tofauti na hapo ni matumizi mabaya ya ofa ya Fifa
 
Nyie semeni mtavyosema,na shaurini mtavyoshauri ila uwanja unaenda kujengwa chato,mtake msitake
Hatuwezi kubisha maana mbunge wa huko ambaye ni waziri alisema watajenga uwanja mkubwa huko labda ndio huo maana na kwa pm Ruangwa unajengwa ikizingatiwa kuna tetesi za huko Chato kuwa makao makuu ya mkoa.
 
Mwanza kuna mashabiki wengi sana na ipo kwenye kanda inayoongaza kwa idadi ya watu Tanzania na pia ni jiji linalo kuwa kasi kubwa sana.
 
Back
Top Bottom