Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Mwanza, Mbeya, Tanga na Zanzibar zinafaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi napendekeza dar ili mji wa dar uweze kuandaa mashindano ya kimataifa kama afconDar
Dar ina viwanja vingi na vingine vinajengwa imetolewa kwenye priority
We jamaa unachekesha ,ili kuleta msisimko Siku tukiandaa mashindano makubwa ni lazima viwanja viwe miji mbalimbaliKama haujengwi dar wanapoteza hela zao.
Dar ndio kuna mashabiki wa kila kitu
Mashindano ya afcon sijawahi kuona yakifanyika kwenye mji mmojaBinafsi napendekeza dar ili mji wa dar uweze kuandaa mashindano ya kimataifa kama afcon
Kama ni kweli basi Kigoma hatuna sababu ya kuwa Tanzania. Tutafanya kila liwezekanalo tuanzishe taifa letu.
Kwa Mbeya nitaongezea sifa moja kuu ya kiufundi... Kuna njia panda nzuri ya kuvunjia Nazi.... Nazi ikivunjiwa Njia Panda ya Uyole team pinzani huwa hazitoki...
Dar wajenge uwanja wa kibao kata na mdumange!!Kama haujengwi dar wanapoteza hela zao.
Dar ndio kuna mashabiki wa kila kitu