Akae kimya na kuugulia maumivuUlitaka afanye nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akae kimya na kuugulia maumivuUlitaka afanye nini ?
Sisimizi na Tembo ujueRussia ilichofanya ni pre-emptive strike..
Yule ambaye ni sisimizi anadai kuwa yeye siyo sisimizi...acha aendelee kuumia..Sisimizi na Tembo ujue
USA iliivamia iraqUsisahau Urusi iliivamia Ukraine.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu mbwa anajua kudeka. Angeolewa kabisa na babu Biden
Yaani we bora hata usingezaliwa hapa duniani we ni hasira ktk hii dunia. Una laana una roho ya kuua, we ni mchawi. Unaleta ushabiki ktkt uhai wa binadamu wenzako? Shetani mkubwa, Zelensky nchi yake imevamiwa raia wake wanauawa kisa Putin ana nguvu ni maonevu. Anatetea uhuru wa nchi yake na watu wake anatokea shetani km wewe unashabikia uovu km huu. Huoni shida kwasababu hakuna ndugu yako anayeuawa umekula umeshiba uko na amani unaandika message km hii. Kweli wengine siyo binadamu ingawa mna sura za binadamu.Mpumbavu sana hilo jamaa walahi [emoji35]. Lina uwa watu wake kama kuku!
Amani ianze kwa yeye kupatana na Mwamba Putin au aondoke Ukrain awaachie wana nchi nchi yao maana yeye sio Ukrainian! Bloody fool[emoji35]
Watu weusi mna laana ndiyo maana hatuwezi kuendelea, mna roho mbaya isiyoelezeka. Roho zenu ni nyeusi km sura zenu.Huyu mbwa anajua kudeka. Angeolewa kabisa na babu Biden
Watu weusi mna laana ndiyo maana hatuwezi kuendelea, mna roho mbaya isiyoelezeka. Roho zenu ni nyeusi km sura zenu.
Kabla hujaongea mengiYaani we bora hata usingezaliwa hapa duniani we ni hasira ktk hii dunia. Una laana una roho ya kuua, we ni mchawi. Unaleta ushabiki ktkt uhai wa binadamu wenzako? Shetani mkubwa, Zelensky nchi yake imevamiwa raia wake wanauawa kisa Putin ana nguvu ni maonevu. Anatetea uhuru wa nchi yake na watu wake anatokea shetani km wewe unashabikia uovu km huu. Huoni shida kwasababu hakuna ndugu yako anayeuawa umekula umeshiba uko na amani unaandika message km hii. Kweli wengine siyo binadamu ingawa mna sura za binadamu.
Usisahau Urusi iliivamia Ukraine.
Usisahau kabla ya Uvamizi wa Urusi walikuwa wanaua raia wao.Anaua vipi watu wake wakati yeye ndio mhanga
Hebu tuongee haki mkuu, Yemen sasa hivi wanapigwa kote kote na Wairan na washirika wao na Saudi na washirika wao, Side kubwa mbili duniani zinawachangia, zaidi ya watoto milioni 8 wanakabiliwa na uhaba wa chakula na wapo katika hatari ya kufa njaa nchi ina watu milioni 30.Kwa bongo labda ungekuwa Uzi wa mbususu, single mother na mazaga zaga ya namna hiyo.
Kwamba haki? Hapa tegemea madongo tu.
Poor us.
Mhanga wa kujitakia unavunja mikataba kwa kutegemea ukidundwa utasaidiwaAnaua vipi watu wake wakati yeye ndio mhanga