FIFA wakataa ombi la Zelensky la Kuhutubia kabla ya Fainali za Kombe la Dunia ili kuhamasisha Amani

FIFA wakataa ombi la Zelensky la Kuhutubia kabla ya Fainali za Kombe la Dunia ili kuhamasisha Amani

Hili kombe likiendelea hivi litapoteza mvuto.MASHOGA WAKO MGONGONI, WASILAMU WASHAJIWEKA MGONGONI WAKIONGOZWA NA MORROCO, SASA WATU VITA WANAREJEA TENA KWA MAANA YA SIASA.
 
Apambane na hali yake.anataka kutubia amani gani wakati kashasema kuwa vita vilianzia crimea na vitaishia crimea.

yeye aendeleze vita sisi acha tule burudani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitando cha kuwasimamisha urusi kwenye mambo ya fifa ni kiashiria cha moja kwa moja kuwa fifa ipo upande gani. So sioni jipya hapo.
 
Mpumbavu sana hilo jamaa walahi [emoji35]. Lina uwa watu wake kama kuku!
Amani ianze kwa yeye kupatana na Mwamba Putin au aondoke Ukrain awaachie wana nchi nchi yao maana yeye sio Ukrainian! Bloody fool[emoji35]
Yaani we bora hata usingezaliwa hapa duniani we ni hasira ktk hii dunia. Una laana una roho ya kuua, we ni mchawi. Unaleta ushabiki ktkt uhai wa binadamu wenzako? Shetani mkubwa, Zelensky nchi yake imevamiwa raia wake wanauawa kisa Putin ana nguvu ni maonevu. Anatetea uhuru wa nchi yake na watu wake anatokea shetani km wewe unashabikia uovu km huu. Huoni shida kwasababu hakuna ndugu yako anayeuawa umekula umeshiba uko na amani unaandika message km hii. Kweli wengine siyo binadamu ingawa mna sura za binadamu.
 
Watu weusi mna laana ndiyo maana hatuwezi kuendelea, mna roho mbaya isiyoelezeka. Roho zenu ni nyeusi km sura zenu.

Kwa kenua hii:

IMG_20221217_181347_929.jpg


NInakazia.
 
Yaani we bora hata usingezaliwa hapa duniani we ni hasira ktk hii dunia. Una laana una roho ya kuua, we ni mchawi. Unaleta ushabiki ktkt uhai wa binadamu wenzako? Shetani mkubwa, Zelensky nchi yake imevamiwa raia wake wanauawa kisa Putin ana nguvu ni maonevu. Anatetea uhuru wa nchi yake na watu wake anatokea shetani km wewe unashabikia uovu km huu. Huoni shida kwasababu hakuna ndugu yako anayeuawa umekula umeshiba uko na amani unaandika message km hii. Kweli wengine siyo binadamu ingawa mna sura za binadamu.
Kabla hujaongea mengi
...unajua maana ya mkataba?
...unaujua mkataba wa minsk?
....unajua hali ya donesk, kherson, luhansk kabla ya russia kufanya opreshen hii?
 
Kwa bongo labda ungekuwa Uzi wa mbususu, single mother na mazaga zaga ya namna hiyo.

Kwamba haki? Hapa tegemea madongo tu.

Poor us.
Hebu tuongee haki mkuu, Yemen sasa hivi wanapigwa kote kote na Wairan na washirika wao na Saudi na washirika wao, Side kubwa mbili duniani zinawachangia, zaidi ya watoto milioni 8 wanakabiliwa na uhaba wa chakula na wapo katika hatari ya kufa njaa nchi ina watu milioni 30.
images (11).jpg


Nenda Palestina utakuta watoto hata shule hawaruhusiwi kusoma, hawana maji safi, hawana umeme, watoto wadogo wanapigwa na sniper kama wanyama, watu wanawindwa na mabomu all time

Njoo Africa tusitaje idadi ya vita maana ni nyingi sana, kuanzia Congo hapo watoto wadogo wanatumikishwa na kuchimba makemikali, nenda Mali, Niger na Burkina Faso ukakute mauaji ya Rejareja ya Ufaransa, watu wengi wamekufa na mamilioni wamekimbia wanastahili dunia kujua kuliko hao Ukraine.

Kuna mifano mingi sana na maeneo mengi sana, Libya, Kashmir, Ughuyr, Philipines, Rohingya etc kote kuna dhulma nyingi sana zinaendelea.

Ila woote hao hawana maana sababu sio wazungu na hawana macho ya blue? So tuwapotezee na tuendeleze tu propaganda zetu za ukraine ambayo kila kukicha wanapewa matrilioni ya misaada.
 
Back
Top Bottom