Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Zelensky aache usanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nani MPUMBAVU aliyevamia nchi huru ah anayetetea nchi yake?Mpumbavu sana hilo jamaa walahi [emoji35]. Lina uwa watu wake kama kuku!
Amani ianze kwa yeye kupatana na Mwamba Putin au aondoke Ukrain awaachie wana nchi nchi yao maana yeye sio Ukrainian! Bloody fool[emoji35]
Km jirani anakaribisha majambazi yatakayinidhuru lazima nimpe kipigoMpira hautaki siasa zelensky hajui hilo
Kwa hiyo Russia Ali strike mapema ...na ground forces ni Wagner group sio Russians?Russia ilichofanya ni pre-emptive strike..
Ingekua FIFA haitaki siasa isingeitoa Urusi...mpira una siasa nyingi sana sema zipo underground...Mpira hautaki siasa zelensky hajui hilo
Shusha uchanjwe umeskia lini Russia anaomba msaada FIFAZelensiky kukataliwa na FIFA haitamsaidia super pawer wa mchongo kupunguziwa Makali ya kichapo anachotembezewa [emoji16]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
mkuu kabla ya kuongea mambo yote hayo unaelewa nn kuhusu mkataba ? tumeingia mkataba unaenda kinyume kwa ubabe wako unategemea nn , kuna majimbo ukrain raia walikua wanauawa kisa tu kwenda kinyume na zele wewe huoni hilo.Yaani we bora hata usingezaliwa hapa duniani we ni hasira ktk hii dunia. Una laana una roho ya kuua, we ni mchawi. Unaleta ushabiki ktkt uhai wa binadamu wenzako? Shetani mkubwa, Zelensky nchi yake imevamiwa raia wake wanauawa kisa Putin ana nguvu ni maonevu. Anatetea uhuru wa nchi yake na watu wake anatokea shetani km wewe unashabikia uovu km huu. Huoni shida kwasababu hakuna ndugu yako anayeuawa umekula umeshiba uko na amani unaandika message km hii. Kweli wengine siyo binadamu ingawa mna sura za binadamu.
Ukraine saiv ni kama Jehenam Wananchi wameikimbia ina Giza hakuna umeme wala maji Miji imepigwa vibaya sana Hali mbaya na huyu mjinga anadhani anapata sifa
Wanajaribu kujisahaulisha Hawa mazombi wa Putin [emoji848]Ingekua FIFA haitaki siasa isingeitoa Urusi...mpira una siasa nyingi sana sema zipo underground...