FIFA wanaua soka, Kila timu inayoshiriki kombe la dunia la vilabu kupewa takribani shilingi bilioni 130, Mpira wa Afrika unaenda kuwa farmers league

Kwa kawaida kabisa, mdhamini au mwandaaji wa mashindano hapaswa kuyoa fedha ambazo zinazidi thamani ya Club.
Simba na yabga sidhani kama zina thamani ya 80bln kila moja.
Kama ni kweli hiyo figurr ndio fifa wanataka kutoa kwa vilab vitakavyoshitiki club bingwa ya dunia, basi migogoto kwa vilabu vya africa haiepukiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…