BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kuchomekana na kusagana ni utamaduni wa weupe ndiyo maana unaona wanajaribu kuipenyeza tamaduni hiyo kwa wengine kupitia vile vitu pendwa walivyovigundua.
Ipo siku itatangazwa kuundwa league ya wasenge na kombe kabisa litakuwepo,tungoje tuone.
Wengi wao sikuhizi ni wanachama pia, hapo Egypt kuna Mashoga mengi sanaa...bado Yemen, Qatar n.k
Huna uhakika au hujachunguza hilo? Pia wengi wasingeamini kuwa Zanzibar ina mashoga mengi mpaka jeshini...mpaka pale Afande Rama alivyoonesha jinsi ya kukatikia dusheSina hakika kama hizo nchi kuna mashoga, labda ni wachache sana, kwa huku Afrika au uzunguni ndio wamejaa, bila kusahau israel pia kuna mashoga.
Huna uhakika au hujachunguza hilo? Pia wengi wasingeamini kuwa Zanzibar ina mashoga mengi mpaka jeshini...mpaka pale Afande Rama alivyoonesha jinsi ya kukatikia dushe
Ntakua refarii wa match ya final, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuchomekana na kusagana ni utamaduni wa weupe ndiyo maana unaona wanajaribu kuipenyeza tamaduni hiyo kwa wengine kupitia vile vitu pendwa walivyovigundua.
Ipo siku itatangazwa kuundwa league ya wasenge na kombe kabisa litakuwepo,tungoje tuone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa, umeandika huku unalia afu.dawa ni kususia tu kila kinachonasibishwa na hayo mambo, tatizo ni kuwa sisi ni wanafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko unateseka ukiwa wapiii? Nyie straight uchwara wekeni pesa ili FIFA watoe hiyo profile.Kila kitu siku hizi ni biashara,
Hapo ukute machoko wameilipa FIFA mamilioni ili kutangaziwa rangi zao,
Inasikitisha sana.
Sasa kwan huko Qatar hakuna mashoga? [emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye last World Cup Qatar walikataa huo ujinga,wakapiga marufuku hizo rangi za upinde,FIFA wakapiga kelele ila Qatar akasimamia msimamo wake,ikabidi FIFA wawe wapole tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaweza wasilipe hata mia, lakini wao ndio wamecontrol dunia, hakuna wa kushindana nao, wewe linda familia yako hakikisha unalea watoto kimaadili, hao jamaa hawawezekani si kama wengi wanavyowadhania.
Sasa Barca wanakujua wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nili iunfollow Barca page zake zote kwa ajili ya huu upuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii nimecheka had tumbo linaumaa.Jua hizo rangi za upinde zilikuwepo kabla ya hawa mashoga kuanza kutumia..
Hv uliwah kuwaza ingetokea wangeamua kutumia rangi za bendera ya taifa la tz mngebadili bendera
Mashoga wanashinda vita na kusambaza ushoga wao sababu mnashindana nao kimihemuko wenzenu wanatumia akili..
Ni sawa mtu ajipake kinyesi aingiw kwako kuiba uogope kupambana nae sababu utanuka na ww..
Maana yake kesho mashoga wakatanga vaz lao rasmi ni jeans za blue maana yake mtaacha kuvaa sio? ..
Mkizidi kukimbia vitu wanavyotumia ndo mnawapa ushindi wa mezan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado hamjasemaa, had msemeeee.Mpira wa miguu umeshaharibiwa na jamaa wa LGBTQ na betting companies. Kitu kama VAR ni distraction kwenye mpira.
Wee wadanganye wenzio, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo marangi rangi sidhani kama yanaweza kumpelekea mtu kuwa QXHDFPLS kama hana elements hizo hata akijichora mwili mzima
Hawa majamaa hawana nguvu kiasi hicho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnachekesha jamanii, woiiiiiiihIla watu mna akili mbovu, kwahiyo upinde wa mvua ukitokea angani nao unakua unashtua watu???
Usichukulie vitu rahisi hizo ni mipango za muda mrefu huwezi kuona madhara yake leo wenzako wanawaza miaka 50 mbeleUpinde ni rangi tu Wala hakuna Cha maana apo we Fanya mambo yko tu hzo rangi hazikuathiri chochote Wala nn kwanza kwny maandiko ya wakristo MUNGU baada ya kuleta gharika aliweka agano kuwa hatoangamiza Tena Kwa maji na moto ndo akaweka ishara ya upinde wa mvua. Tangu kpndi hcho tunaambiwa sijui Pepsi na coca freemason mara oo man u Chelsea na real Madrid yan kla ktu tunachotumia wanasema Cha freemason 😂. Aya ko watu mtaacha kufatilia mpira wa ulaya na kucheza games za FIFA kisa rangi za upinde🤔 . Kupromote hayo maswala ni ww mwnyw direct Wala sio indirect
Sasa wee unateseka na kipi machoko kuongezeka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upinde kila sehemu ni hatar machoko wanaongezeka kwa kasi!
Mwamba kaona isiwe shida kakaa chiniWanatukosea sana wapenda soka.
View attachment 3012232
Wapo wadau wa Football ikiwemo wachezaji ni GAYS, ko lazima watambuliwe.Kuna uhusiano gani kati ya football na LGBT? Mantiki yangu ni kwamba kulikua na umhimu gani FIFA kuweka hizo rangi kwenye masuala ya mpira?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu, mna nn lakini?Wahuni si mshachagua wali nyama vitani[emoji28]