Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwenye kombe la dunia kuna sanamu (ancient god ).
Yule mungu ndiye huamua nani awe mshindi mwaka husika.
Yule mungu ndiye hutoa nguvu za kushinda kwenye chaguzi za kisiasa, jackpot kubwa za mamilioni n.k.
Hivi umewahi kujiuliza hawa FIFA wanatoa wapi ma trillions ya kufanya mambo makubwa duniani?
Yule mungu ndiye huamua nani awe mshindi mwaka husika.
Yule mungu ndiye hutoa nguvu za kushinda kwenye chaguzi za kisiasa, jackpot kubwa za mamilioni n.k.
Hivi umewahi kujiuliza hawa FIFA wanatoa wapi ma trillions ya kufanya mambo makubwa duniani?