FIFA yamfungia maisha Michael Wambura kujishughulisha na masuala ya mpira wa miguu duniani

FIFA yamfungia maisha Michael Wambura kujishughulisha na masuala ya mpira wa miguu duniani

Tumbo Tumbo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
1,278
Reaction score
1,553
Nimeoiona Barua Ya Tff Yao inayosema Imemfungia Michael Wambura Maisha Asijishughulishe Na Soka.
.....
Je Tff Wamekazia Maamuzi Ambayo Yalishakuwa nullified Mahakamani au Kuna Maamuzi Mengine Tena?
IMG-20190123-WA0109.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maamuzi ambayo Tff wanasema wamekazia Hukumu yalishakuwa nullified na Mahakama Kuu Dar Es Salaam Na Mwezi Uliopita Mawakili Wa Tff walimsave Michael Wambura Notice ya Intention To Appeal CAT sasa Nashangaa haya Maamuzi Yametoka Wapi?
Nimeoiona Barua Ya Tff Yao inayosema Imemfungia Michael Wambura Maisha Asijishughulishe Na Soka.
.....
Je Tff Wamekazia Maamuzi Ambayo Yalishakuwa nullified Mahakamani au Kuna Maamuzi Mengine Tena?View attachment 1002804

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wambura namfananisha na Giwa na maalim seif anajipotezea muda tu - JamiiForums

Ndugu Michael Richard Wambura nilimshauri sana humu Jamii forum kuhusiana na maamuzi yake ya kupeleka kesi za mpira kwenye mahakama za kiraia wakati kuna mahakama za mpira na football associations ni independent organs zinazosimamiwa na FIFA.

nilitoa nyuzi kibao kukemea na kutoa vifungu vya sheria za fifa zinazokataza na kutoa mifano kedekede za viongozi wa chama za soka waliopeleka kesi mahakamani na kufungiwa na hata kuhatarisha mataifa yao kufungiwa na kuwekewa vikwazo.

pasi na shaka Wambura alikuwa kirusi na kutojitambua kwake kumempelekea afungiwe maisha na FIFA

Wambura nakushauri nenda tena mahakama ya kisutu watengue adhabu ya FIFA [emoji23][emoji23]

badala uende CAS kukata rufaa eti unakimbilia kisutu..watu kama hawa wasiojua sheria za mpira haki yao kupewa rungu na FIFA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wambura namfananisha na Giwa na maalim seif anajipotezea muda tu - JamiiForums

Ndugu Michael Richard Wambura nilimshauri sana humu Jamii forum kuhusiana na maamuzi yake ya kupeleka kesi za mpira kwenye mahakama za kiraia wakati kuna mahakama za mpira na football associations ni independent organs zinazosimamiwa na FIFA.

nilitoa nyuzi kibao kukemea na kutoa vifungu vya sheria za fifa zinazokataza na kutoa mifano kedekede za viongozi wa chama za soka waliopeleka kesi mahakamani na kufungiwa na hata kuhatarisha mataifa yao kufungiwa na kuwekewa vikwazo.

pasi na shaka Wambura alikuwa kirusi na kutojitambua kwake kumempelekea afungiwe maisha na FIFA

Wambura nakushauri nenda tena mahakama ya kisutu watengue adhabu ya FIFA [emoji23][emoji23]

badala uende CAS kukata rufaa eti unakimbilia kisutu..watu kama hawa wasiojua sheria za mpira haki yao kupewa rungu na FIFA

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni boya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
si mara ya kwanza kwa wambura kufungiwa

Mbaya zaidi Mamlaka iliyomfungia sasa hv sio zile za kifigisu figisu tulizozizowea za hapa bongo,hapo ndipo napomwonea huruma mkuu,hata akikata rufaa navyoona uwezekano wa kutoka ni mdogo sana
 
Mpira wa Tanzania hauendelei kwa kuwa ,tunashindana kufukuzana TFF badala ya kushirikiana kujenga,kukuza mpira wa Tanzania.Karia anafikiri kumfukuza Wambura hatakaa salama?Hakuna ,na yeye naamin ,ataondoka tu.
.....
Tunatakiwa tusaidiane kuijenga.Lakin ,uroho wa maslahi,unasababisha ,tujenge majungu na tumfukuze huyu na huyu.Je soka itaendelea lini?Mdhamin wa ligi hakuna,ratiba ya ligi haieleweki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlet Uzi Jidhirishe Kwanza, Wambura Hakupeleka Mpira Mahakamani Bali alichoendea Mahakamani Ni Utaratibu Uliotumika Na Kamati Kumfungia Yeye Maisha
Wambura namfananisha na Giwa na maalim seif anajipotezea muda tu - JamiiForums

Ndugu Michael Richard Wambura nilimshauri sana humu Jamii forum kuhusiana na maamuzi yake ya kupeleka kesi za mpira kwenye mahakama za kiraia wakati kuna mahakama za mpira na football associations ni independent organs zinazosimamiwa na FIFA.

nilitoa nyuzi kibao kukemea na kutoa vifungu vya sheria za fifa zinazokataza na kutoa mifano kedekede za viongozi wa chama za soka waliopeleka kesi mahakamani na kufungiwa na hata kuhatarisha mataifa yao kufungiwa na kuwekewa vikwazo.

pasi na shaka Wambura alikuwa kirusi na kutojitambua kwake kumempelekea afungiwe maisha na FIFA

Wambura nakushauri nenda tena mahakama ya kisutu watengue adhabu ya FIFA [emoji23][emoji23]

badala uende CAS kukata rufaa eti unakimbilia kisutu..watu kama hawa wasiojua sheria za mpira haki yao kupewa rungu na FIFA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom