Fight Night: Anthony Joshua ampiga kwa points Joe Parker

Ila Joe Parker usipokuwa mwangalifu anakupa ndonga moja kwisha. Imebidi AJ apigane kwa makini bila kufanya makosa
 

My friend MTAZAMO, thank u so much for updates!
 
AJ akipanda na Wilder , AJ atafia uwanjani

Wilder anatisha ingawa technically si mzuri!

AJ technically ni mzuri kushinda Wilder.

Ila wakipanda ulingoni sidhani kama itakuwa ni boxing match!

It will be a fight. Just not boxing.

Na wote wana power ila Wilder ana power zaidi.

Kwangu huo mpambano naona ni 50-50.

Kwa maana hiyo, nadhani whoever lands the first meaningful punch will win!
 
Daaaah uyu AJ inabidi anipigie na wilder sasa kufuta ubishi
 
Wilder anarusha ngumi ovyo ovyo kama bata,AJ anashinda mapema,kwasababu ni fundi wa kurusha ngumi na anautulivu.
 
"l'm the king of the world, I'm the baddest. I need some one to prove me wrong. Some boxers claim to be the kings of the world but they don't want to fight me" Deontay Wilder.
 
AJ vs Wilder itakuwa vita kwelikweli
 
Sijui macho yangu maana naona vijana wametoka kama wanakwenda harusini sijaona mtu ana nunda au jicho limekuwa dogo. October 1 mwaka wa 1975 joe frazier na mohamed ali walikutana manila (thrilla in manila )round ya kumi na tano joe hakurudi ulingoni ali akawa mshindi lakini nae alikuwa hoi timu yake wakawa wanampepea nafsi kama inataka kutoka mara hivi. Kiukweli ule msisimko wa ngumi nzito jana sikuuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…