Figisu dhidi ya CHADEMA zashika kasi, RC Mwanza apiga marufuku mikusanyiko

Upeo mdogo wa wateule wa Rais ndipo unapoishia.
Mbowe si anasema Selikali haifanyi juhudi zozote kuzuia ueneaji wa covid?

Sasa anataka vikongamano vya nini?
 
Mbowe si anasema Selikali haifanyi juhudi zozote kuzuia ueneaji wa covid?

Sasa anataka vikongamano vya nini?
Mbowe ni Zombi, mpaka amewambukiza Wafuasi wake uzombi,anasema eti Tanzania kuna corona alafu anawambia Wafuasi wake wakusanyike ktk kongomano la Katiba,na wanaenda, wakati sharti mojawapo la kujikinga na corona ni kutokusanyika,kama sio uzombi ni kitu gani.
 
KUTOKA, MAKAO MAKUU DODOMA.

Katibu Msaidizi Mkuu (KMM) Idara ya Organaizesheni CCM Taifa Ndg Solomon Itunda Leo tarehe 20/07/2021 ameongoza kikao cha kuimarisha mikakati ya idara hiyo Mkoani Dodoma.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa ( CCM) mkoa kuanzia mda wa saa 5.00 asubuhi hadi saa 11 jioni.

Aidha, kikao hicho kiliwahusisha viongozi wa sekretarieti za wilaya zote saba (07 ) pamoja na sekretarieti ya Mkoa huo, sambamba na Maafisa wengine toka idara ya Organaizesheni na kitengo Cha (TEHAMA) Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Maafisa hao walipata fursa ya kutoa mafunzo kwa viongozi wote walioshiriki kikao hicho juu ya zoezi nzima la usajili wa wanachama kwa njia ya (TEHAMA). wajumbe wa kikao hicho

walisisitiza umuhimu wa kuimarisha Chama katika ngazi za mashina, matawi na kata, kwa kuwa ndiko waliko Wana Chama wa (CCM).

Hata hivyo, wajumbe kwa pamoja waliweka maazimio ya kuendelea na zoezi hilo la usajili wa wanachama kwa njia ya Kielektroniki kwa Kasi na ari zaidi. Vikao hivyo ni muendelezo wa ziara inayotarajiwa kufanywa na idara hiyo nchi nzima ili kuhakikisha kwamba Chama kinazidi kuimarika hasa kwa kipindi hiki kinapojiandaa na Uchaguzi mkuu wa ndani unaotarajiwa kufanyika mwakani, 2022.

#KaziIendelee







 
Kikao cha ngedere huko Dodoma hawa hawafi kwa corona
 
Maandalizi yamekamilika

 
You have" LACK OF POLITICAL CONSCIOUSNESS "🀣🀣🀣 Mijitu mingine MIJINGA SANAAπŸ™„πŸ™„πŸ€¨πŸ€¨πŸ€¨πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Eti huyu nae ni think tank wa chadomo,bure kabisa hata mtoto wangu wa chekechea anakushinda kuandika sentensi ya kiingereza yenye maana.

You have lack of political consciousness ndio nini sasa umeandika hapa,hili tuu linaonesha kichwani hamna kitu .πŸ˜„πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜‚

Mtaishia hivi πŸ‘‡πŸ‘‡

 
POPOMA KATIKA UBORA WAKO,WATU KAMA NINYI KAMA MLIENDA SHULE BASI WAZAZI WALIPOTEZA FEDHA BURE, 🀣🀣🀣

Bora wangeamua Kufuga NGURUWE wangenufaika!πŸ˜ΆπŸ˜ΆπŸ™„πŸ™„πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ KUBWA JINGA BWANA...!!🀣🀣🀣
 
Huna
Hata aibu ,shule gani ulienda hata sentensi ndogo tuu hiyo inakushinda? Hebu tuoneshe jinsi wazazi wako wanajivunia ujinga wako,wewe ni kilaza tuu
 
Huna

Hata aibu ,shule gani ulienda hata sentensi ndogo tuu hiyo inakushinda? Hebu tuoneshe jinsi wazazi wako wanajivunia ujinga wako,wewe ni kilaza tuu
I can see absolutely infreority complex from you stupid guy.

you show people the highest degree of your Ignorance as well Lack of OBJECTIVITY & PARTICULARLITY...

Shame on you DUDE.....πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€¦β€β™‚οΈ
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…