Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

Huu muongozo TFF walishautoa kitambo kuwa idadi ya siti ndio watu watakaopewa kadi na tff ilishasema kuwa viongozi ndio wanaongoza kuvunja utaratibu kuja wengi wakati kadi inataka mtu mmoja tu

Kulikuwa na shida gani maana waliozuiliwa wote walikuwa na kadi zao mkononi? Au unadhani walizamia?
 
Simba ni kubwa kuliko TFF,waulize jana walivyobandua matangazo ya GSM , uzuri Simba wako smart na kila kitu wanafanya kwa kusimamia sheria,huo mkataba wa GSM isije ikatokea tu TFF wakapewa za uso na CAF
Simba ni kubwa kuliko TFF? [emoji23][emoji23] Uki itwa mjinga unarusha ngumi
 
Back
Top Bottom