Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Wakati akiingia eneo la VVP kwa ajili ya kutazama mechi ya Leo, CEO wa Simba Babra Gonzalez akiwa ameambatana na wanafamilia watatu (tena) watoto alizuiliwa na maafisa wa TFF kuwaingiza watoto hao kwa kisingizio kuwa watoto hawaruhusiwi kuingia VVP.... Kwa kuona hivyo akaamua kuondoka yeye na familia yake na kurudi nyumbani.,..katika hali ya kushangaza mara baada ya mechi kuisha tu TFF wakataoa waraka huku wakimlalamikia CEO kw utovu wa nidhamu pamoja na viongozi wa Club ya Simba...Maswali machache ya kujiuliza kuhusu wa TIFUTIFU yetu inayoongozwa na msomali aliyeloea Tanzania

1. Hivi angekuwa waziri wa habari wa michezo amekuja na wanafamilia hao naye angefurumishwa na watoto wake?
2.TIFUTIFU ,mlitaka hao watoto wakakae wapi tofauti na mtu mzima aliyekuja nao tena wakiwa na VVP gate pases?
3.Hivi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo wa leo ni TIFUTIFU au Simba? hivi nani anatakiwa kusimamia nani aingie uwanjani nani asiingie?
4.Nini kilichopelekea TIFUTIFU kuvunja rekodi ya kutoa tamko wakati mchezo bado unaendelea jambo ambalo halikuwahi tokea? kawaida yenu matamko yenu huja baada ya siku mbili tatu! nani kawatuma?
5.. Rais wa TIFU TIFU unasubiri kutumbuliwa kwa tukio hili la aibu? kwa nini usijiudhuru mapema saana...na kurudi kwenu somalia?
 
Wakati akiingia eneo la VVP kwa ajili ya kutazama mechi ya Leo, CEO wa Simba Babra Gonzalez akiwa ameambatana na wanafamilia watatu (tena) watoto alizuiliwa na maafisa wa TFF kuwaingiza watoto hao kwa kisingizio kuwa watoto hawaruhusiwi kuingia VVP.... Kwa kuona hivyo akaamua kuondoka yeye na familia yake na kurudi nyumbani.,..katika hali ya kushangaza mara baada ya mechi kuisha tu TFF wakataoa waraka huku wakimlalamikia CEO kw utovu wa nidhamu pamoja na viongozi wa Club ya Simba...Maswali machache ya kujiuliza kuhusu wa TIFUTIFU yetu inayoongozwa na msomali aliyeloea Tanzania

1. Hivi angekuwa waziri wa habari wa michezo amekuja na wanafamilia hao naye angefurumishwa na watoto wake?
2.TIFUTIFU ,mlitaka hao watoto wakakae wapi tofauti na mtu mzima aliyekuja nao tena wakiwa na VVP gate pases?
3.Hivi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo wa leo ni TIFUTIFU au Simba? hivi nani anatakiwa kusimamia nani aingie uwanjani nani asiingie?
4.Nini kilichopelekea TIFUTIFU kuvunja rekodi ya kutoa tamko wakati mchezo bado unaendelea jambo ambalo halikuwahi tokea? kawaida yenu matamko yenu huja baada ya siku mbili tatu! nani kawatuma?
5.. Rais wa TIFU TIFU unasubiri kutumbuliwa kwa tukio hili la aibu? kwa nini usijiudhuru mapema saana...na kurudi kwenu somalia?
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.

Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.

Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.

FB_IMG_1639242928972.jpg
 
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.

Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.

Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.

View attachment 2040807
Mbumbumbu ni wale walioaminishwa watashinda kesi CAS.... Na hili pia mtaumbuka maana Tifuatifua wataomba msamaha kabla jogoo hajawika baada ya saa 72
 
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.

Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.

Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.

View attachment 2040807
AIPORT ni mali ya serikali na kila kitu kinakuwa controlled na serikali ndio maana Job au Kassim anaweza fika pale VVP na watoto wake wamchemko bila kuulizwa maswali yoyote tofauti na kama ingekuwa kampuni binafsi...kukusaidi mechi ya leo ilikuwa chini ya miliki ya Simba na ndio walikuwa na uwezo wa kuamua watu wangapi waingie bure na wangapi walipe zwazwa wewe
 
Wakati akiingia eneo la VVP kwa ajili ya kutazama mechi ya Leo, CEO wa Simba Babra Gonzalez akiwa ameambatana na wanafamilia watatu (tena) watoto alizuiliwa na maafisa wa TFF kuwaingiza watoto hao kwa kisingizio kuwa watoto hawaruhusiwi kuingia VVP.... Kwa kuona hivyo akaamua kuondoka yeye na familia yake na kurudi nyumbani.,..katika hali ya kushangaza mara baada ya mechi kuisha tu TFF wakataoa waraka huku wakimlalamikia CEO kw utovu wa nidhamu pamoja na viongozi wa Club ya Simba...Maswali machache ya kujiuliza kuhusu wa TIFUTIFU yetu inayoongozwa na msomali aliyeloea Tanzania

1. Hivi angekuwa waziri wa habari wa michezo amekuja na wanafamilia hao naye angefurumishwa na watoto wake?
2.TIFUTIFU ,mlitaka hao watoto wakakae wapi tofauti na mtu mzima aliyekuja nao tena wakiwa na VVP gate pases?
3.Hivi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo wa leo ni TIFUTIFU au Simba? hivi nani anatakiwa kusimamia nani aingie uwanjani nani asiingie?
4.Nini kilichopelekea TIFUTIFU kuvunja rekodi ya kutoa tamko wakati mchezo bado unaendelea jambo ambalo halikuwahi tokea? kawaida yenu matamko yenu huja baada ya siku mbili tatu! nani kawatuma?
5.. Rais wa TIFU TIFU unasubiri kutumbuliwa kwa tukio hili la aibu? kwa nini usijiudhuru mapema saana...na kurudi kwenu somalia?
Mpaka leo hawajatoa tamko juu ya refa aliyechezesha mechi ya namungo na yanga
 
Wakati akiingia eneo la VVP kwa ajili ya kutazama mechi ya Leo, CEO wa Simba Babra Gonzalez akiwa ameambatana na wanafamilia watatu (tena) watoto alizuiliwa na maafisa wa TFF kuwaingiza watoto hao kwa kisingizio kuwa watoto hawaruhusiwi kuingia VVP.... Kwa kuona hivyo akaamua kuondoka yeye na familia yake na kurudi nyumbani.,..katika hali ya kushangaza mara baada ya mechi kuisha tu TFF wakataoa waraka huku wakimlalamikia CEO kw utovu wa nidhamu pamoja na viongozi wa Club ya Simba...Maswali machache ya kujiuliza kuhusu wa TIFUTIFU yetu inayoongozwa na msomali aliyeloea Tanzania

1. Hivi angekuwa waziri wa habari wa michezo amekuja na wanafamilia hao naye angefurumishwa na watoto wake?
2.TIFUTIFU ,mlitaka hao watoto wakakae wapi tofauti na mtu mzima aliyekuja nao tena wakiwa na VVP gate pases?
3.Hivi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo wa leo ni TIFUTIFU au Simba? hivi nani anatakiwa kusimamia nani aingie uwanjani nani asiingie?
4.Nini kilichopelekea TIFUTIFU kuvunja rekodi ya kutoa tamko wakati mchezo bado unaendelea jambo ambalo halikuwahi tokea? kawaida yenu matamko yenu huja baada ya siku mbili tatu! nani kawatuma?
5.. Rais wa TIFU TIFU unasubiri kutumbuliwa kwa tukio hili la aibu? kwa nini usijiudhuru mapema saana...na kurudi kwenu somalia?
Huu muongozo TFF walishautoa kitambo kuwa idadi ya siti ndio watu watakaopewa kadi na tff ilishasema kuwa viongozi ndio wanaongoza kuvunja utaratibu kuja wengi wakati kadi inataka mtu mmoja tu
 
Huu muongozo TFF walishautoa kitambo kuwa idadi ya siti ndio watu watakaopewa kadi na tff ilishasema kuwa viongozi ndio wanaongoza kuvunja utaratibu kuja wengi wakati kadi inataka mtu mmoja tu
Swali jepesi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo? hivi mgeni unaweza kumshauri Mama mwenye nyumba juu ya chakula alichowaandalia wageni kama kitatosha wageni ama lah? kama hujatumwa..
 
Wakati akiingia eneo la VVP kwa ajili ya kutazama mechi ya Leo, CEO wa Simba Babra Gonzalez akiwa ameambatana na wanafamilia watatu (tena) watoto alizuiliwa na maafisa wa TFF kuwaingiza watoto hao kwa kisingizio kuwa watoto hawaruhusiwi kuingia VVP.... Kwa kuona hivyo akaamua kuondoka yeye na familia yake na kurudi nyumbani.,..katika hali ya kushangaza mara baada ya mechi kuisha tu TFF wakataoa waraka huku wakimlalamikia CEO kw utovu wa nidhamu pamoja na viongozi wa Club ya Simba...Maswali machache ya kujiuliza kuhusu wa TIFUTIFU yetu inayoongozwa na msomali aliyeloea Tanzania

1. Hivi angekuwa waziri wa habari wa michezo amekuja na wanafamilia hao naye angefurumishwa na watoto wake?
2.TIFUTIFU ,mlitaka hao watoto wakakae wapi tofauti na mtu mzima aliyekuja nao tena wakiwa na VVP gate pases?
3.Hivi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo wa leo ni TIFUTIFU au Simba? hivi nani anatakiwa kusimamia nani aingie uwanjani nani asiingie?
4.Nini kilichopelekea TIFUTIFU kuvunja rekodi ya kutoa tamko wakati mchezo bado unaendelea jambo ambalo halikuwahi tokea? kawaida yenu matamko yenu huja baada ya siku mbili tatu! nani kawatuma?
5.. Rais wa TIFU TIFU unasubiri kutumbuliwa kwa tukio hili la aibu? kwa nini usijiudhuru mapema saana...na kurudi kwenu somalia?
Mwanamke akiwa 🌙 hatakiwi kuangalia mpira. Alizuiwa ili kulinda mkebe wake wa kuhidhia watoto usiharibike
 
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.

Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.

Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.

View attachment 2040807
Ioneni hii twombili eti inafananisha airport na Lupaso.
"WANAUTOPOLO WOTE TUMBILI NA UMBWA"- SIR LUC EYMAEL -May 2019.
 
Ila hii nchi hakuna mashabiki mbumbumbu kama wa utopolo.

Kesi ya Morrison walidanganywa sana,mwaka jana walidanganywa na GSM kuwa wao niabingwa wavimbe,mwaka huu GSM anataka ubingwa wa mchongo amehonga TFF,waamuzi na bodi ya ligi hadi mmeanza figisu za kuzuia viongozi wa Simba.
Mbumbumbu wa utopolo mnashabikia ujinga
 
Swali jepesi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo? hivi mgeni unaweza kumshauri Mama mwenye nyumba juu ya chakula alichowaandalia wageni kama kitatosha wageni ama lah? kama hujatumwa..
Binafsi sikubaliani na kurudishwa kwa hao watoto wa Mohamed. Lakini naomba ufafanuzi toka kwako unaposema Simba kwa kuwa mwenyeji alitakiwa apange kila kitu ikiwemo Nani aingie Nani asiingie. Ninavyojua mechi ni Mali ya tff na bodi isipokuwa mapato ndo ya mwenyeji kati ya timu 2 zinazocheza. Lakini gharama za uwanja, malipo ya Waamuzi, ulinzi, wageni na mambo mengine yanabaki kwa mwenye ligi. Au utaratibu siku hizi ukiwa mwenyeji wewe ni mmiliki wa kila kitu mpaka protokali za uwanja?
 
Back
Top Bottom