umeambiwa ilo upunguze gharama hutaki tafuta 2000$auzaidiwakati wanafanya hivyo technology ilikuwa inawaruhusu ...so mimi siwezi kufnya hvyo kutokana na uwepo wa ukubwa wa technology iliyopo sasa ..ambayo nikiitumia kusafiri nitajikuta baada ya Massa kadhaa Nipo huko
pia nar kwao rufijiMama Salma
toka kale boti zipo ila za motor ndio miaka ya karibuniWalienda kwa BOTI miaka mingi iliyopita????
Hivi boti zimegunduliwa mwaka gani?
huko ikupunguza gharama au kujitafutiia kifo mkuu...!!?umeambiwa ilo upunguze gharama hutaki tafuta 2000$auzaidi
Alaguletse!Azalenka ndo nini mkuu? Angeitwa Azolonka angekuwa muha aisee
Sasa kwanini mmoja anaitwa mhutu mwengine mtusi tafauti yao nini?Kinyarwanda hicho hicho.
Kule hamna mambo ya ccm usije ukapeleka pua yako kuleAisee hao ni ndugu zetu kabisa. Mungu ibariki Tanzania
Jibu zuri tafuta hotuba ya Mwalimu Nyerere alipoongea juu ya hao ndugu miongoni mwa hotuba zake. Alitoa mfano wa kabila moja hapa nchini akifafanua juu ya "Walioza na Waziba". Mfano wake ulikuwa chanya juu ya kabila hilo.Sasa kwanini mmoja anaitwa mhutu mwengine mtusi tafauti yao nini?
Sisikilizi hotuba za Nyerere,Nyerere alikuwa tapeli,wewe kwani huna jibu,??!hawa jamaa watusi na wahutu wakiuana sana kipindi fulani,..matatizo yao hasa ni nini..Jibu zuri tafuta hotuba ya Mwalimu Nyerere alipoongea juu ya hao ndugu miongoni mwa hotuba zake. Alitoa mfano wa kabila moja hapa nchini akifafanua juu ya "Walioza na Waziba". Mfano wake ulikuwa chanya juu ya kabila hilo.
Sisikilizi hotuba za Nyerere,Nyerere alikuwa tapeli,wewe kwani huna jibu,??!hawa jamaa watusi na wahutu wakiuana sana kipindi fulani,..matatizo yao hasa ni nini..
Huenda wakarudishwa Tanzania na Tanzania tukapelekwa karibu na Alaska.nafikiri bonde la ufa likiendelea hivi soon tutakutana nao!
Sumatra hii inayopanga nauli etiHuo ni uongo sawa na ndoto ya mchana. Eti kuna MTO unaitwa rufiji ndio sababu ya visiwa vyama Fiji kuwa na wakazi wenye asili ya Tanganyika.
Hao raia wa Fiji ni mchanganyiko wa makabila ya Waaborijini toka Australia na makabila ya wahindi toka India Borneo, Sumatra, Indonesia, ambao ndio maarufu kwa kusafiri baharini kutafuta uvuvi na makazi. Hata lugha yao hao waFiji, ni mchanganyiko wa makabila hayo niliyoyataja.
Speakng of goa..ndio maana uku kwetu kuna wagoa sasa nashindwaga waelewa kama ni wahindi ama ni wa aina gani...sasa nmepata jibu kumbe ni mchanganyiko aiseeMleta mada amesema walichanyika na wahindi kwa muda mrefu
Wa Philippine wamechanyika na wa Hispania
Goa ni mchanganyiko wa wahindi na wareno