Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Na hawa ndo wenye nchi yao, sisi wengine tuliwafukuza tukajitwalia nchi!! Warudi kwenye nchi yao
Uvbvbhgjbjdcnbxvnnbxnbcnvnmnmnnnnnnnjnnnnvnncndcnvnmvncnnv nnbbnbbmñbnncbñKwa akili zako za key k

Yawe ya Israel na Palestine
 
Mkuu kusoma ni tatizo kwako?
Mbona hapo mdau kasema wamebadilika kutokana na kuzaliana na watu wa Asia na mabara mengine?
unawafahamu indigenous australians? ni weusi kama hao wa fiji na wapo karibukaribu. unaujua umbali toka Tanzania hadi Fiji islands and Australia? hivi unavyotype wao ni kesho tayari. waliendaje, kwa technologia ipi na meli wala majahazi yalikuwa hayajaanza, au walienda kwa ungo wa kichawi wa babu yako? halafu, ayo maneno wanayosema yanafanana na lugha zetu angalia kama maana yake zinaendana hata kidogo tu?....ifike mahali mkubali kuwa Mungu ndiye aliumba watu wengine wakawekwa huko.

the only Africans walioko mabara hayo ni wahindi fulani hivi, hao ndio hadi leo hadi nywele ni kipilipili kama za kwako
 
Hahah huko sisi tuna Nyanya yetu ambae ni binamu wa babu mdogo kwa upande wa shangazi ambae ni mtalaka wa mjomba wetu wa 2 kutoka mwisho ila alizaliwa nje ya ndoa ya wakina babu mkubwa.

Ni wabongo kabisaa hao.
Hahaha hongera ile undugu wenu unasaletape
 
unawafahamu indigenous australians? ni weusi kama hao wa fiji na wapo karibukaribu. unaujua umbali toka Tanzania hadi Fiji islands and Australia? hivi unavyotype wao ni kesho tayari. waliendaje, kwa technologia ipi na meli wala majahazi yalikuwa hayajaanza, au walienda kwa ungo wa kichawi wa babu yako? halafu, ayo maneno wanayosema yanafanana na lugha zetu angalia kama maana yake zinaendana hata kidogo tu?....ifike mahali mkubali kuwa Mungu ndiye aliumba watu wengine wakawekwa huko.

the only Africans walioko mabara hayo ni wahindi fulani hivi, hao ndio hadi leo hadi nywele ni kipilipili kama za kwako
Labda utuambie majahaz yameanza kutumika lini??? Maana ndo usafiri wa miaka maelfu na maelfu.
 
unawafahamu indigenous australians? ni weusi kama hao wa fiji na wapo karibukaribu. unaujua umbali toka Tanzania hadi Fiji islands and Australia? hivi unavyotype wao ni kesho tayari. waliendaje, kwa technologia ipi na meli wala majahazi yalikuwa hayajaanza, au walienda kwa ungo wa kichawi wa babu yako? halafu, ayo maneno wanayosema yanafanana na lugha zetu angalia kama maana yake zinaendana hata kidogo tu?....ifike mahali mkubali kuwa Mungu ndiye aliumba watu wengine wakawekwa huko.

the only Africans walioko mabara hayo ni wahindi fulani hivi, hao ndio hadi leo hadi nywele ni kipilipili kama za kwako

Wacha habari hii!!!kwani akina Livingston na Stanley walipokuwa wanasafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine walitumia usafiri gani?
 
Back
Top Bottom