Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Filpino ni mchanganyiko ya mreno na nanMleta mada amesema walichanyika na wahindi kwa muda mrefu
Wa Philippine wamechanyika na wa Hispania
Goa ni mchanganyiko wa wahindi na wareno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Filpino ni mchanganyiko ya mreno na nanMleta mada amesema walichanyika na wahindi kwa muda mrefu
Wa Philippine wamechanyika na wa Hispania
Goa ni mchanganyiko wa wahindi na wareno
pia kama sijakosea hakuna visa kati ya Tanzania na Fiji wanatumia english kama lugha mama.Duuh
Nataka nifanye mpango nikajilipue(NIPI SERIZ)
Sure mkuu???pia kama sijakosea hakuna visa kati ya Tanzania na Fiji wanatumia english kama lugha mama.
Sijafika Mkuu ila ngoja wadau waliokwisha fika wakupe mawili matatu kuhusu Fiji hapa jamvini.Sure mkuu???
Vipi uongozj wao na hali ya hew?
Magufongo akawarudishe kwa nguvu waje wajenge nchi yao.Kuna madem wazur hvo naenda...
Dah!wenye nguvu na akili walibebwa wote tukabaki sie magarasha
Uvbvbhgjbjdcnbxvnnbxnbcnvnmnmnnnnnnnjnnnnvnncndcnvnmvncnnv nnbbnbbmñbnncbñKwa akili zako za key kNa hawa ndo wenye nchi yao, sisi wengine tuliwafukuza tukajitwalia nchi!! Warudi kwenye nchi yao
wabongo je?unalala kitandani unaamka uko juu ya batiWadifji wana ushirikina wa kutisha na tamaduni za ajabu mno
mi naenda kuandamana huko Fiji na nao wenzetu wa huko.Subiri maandamano 26 April tuikomboe nchi yetu
Naenda kuandamana Fiji, hao watanganyika wenzetu wa huko wameniomba nikasimamie maandamano hukounakimbia maandamano ..hahaaa wewe ni coward of the country""
so umeshaandaa mtumbwi !!??
Philippines ni mchanganyiko wa Asia na HispaniaFilpino ni mchanganyiko ya mreno na nan
unawafahamu indigenous australians? ni weusi kama hao wa fiji na wapo karibukaribu. unaujua umbali toka Tanzania hadi Fiji islands and Australia? hivi unavyotype wao ni kesho tayari. waliendaje, kwa technologia ipi na meli wala majahazi yalikuwa hayajaanza, au walienda kwa ungo wa kichawi wa babu yako? halafu, ayo maneno wanayosema yanafanana na lugha zetu angalia kama maana yake zinaendana hata kidogo tu?....ifike mahali mkubali kuwa Mungu ndiye aliumba watu wengine wakawekwa huko.Mkuu kusoma ni tatizo kwako?
Mbona hapo mdau kasema wamebadilika kutokana na kuzaliana na watu wa Asia na mabara mengine?
duh li victor wa happy libabeeeUnawashwa? Njoo nikufumue
Hahaha hongera ile undugu wenu unasaletapeHahah huko sisi tuna Nyanya yetu ambae ni binamu wa babu mdogo kwa upande wa shangazi ambae ni mtalaka wa mjomba wetu wa 2 kutoka mwisho ila alizaliwa nje ya ndoa ya wakina babu mkubwa.
Ni wabongo kabisaa hao.
Labda utuambie majahaz yameanza kutumika lini??? Maana ndo usafiri wa miaka maelfu na maelfu.unawafahamu indigenous australians? ni weusi kama hao wa fiji na wapo karibukaribu. unaujua umbali toka Tanzania hadi Fiji islands and Australia? hivi unavyotype wao ni kesho tayari. waliendaje, kwa technologia ipi na meli wala majahazi yalikuwa hayajaanza, au walienda kwa ungo wa kichawi wa babu yako? halafu, ayo maneno wanayosema yanafanana na lugha zetu angalia kama maana yake zinaendana hata kidogo tu?....ifike mahali mkubali kuwa Mungu ndiye aliumba watu wengine wakawekwa huko.
the only Africans walioko mabara hayo ni wahindi fulani hivi, hao ndio hadi leo hadi nywele ni kipilipili kama za kwako
Hahah sasa si ni mwendo wa ku "saletape" mwanzo mwisho tu mkuu.Hahaha hongera ile undugu wenu unasaletape
kumbe !!!? card ya mualiko nahitaji na mmNaenda kuandamana Fiji, hao watanganyika wenzetu wa huko wameniomba nikasimamie maandamano huko
unawafahamu indigenous australians? ni weusi kama hao wa fiji na wapo karibukaribu. unaujua umbali toka Tanzania hadi Fiji islands and Australia? hivi unavyotype wao ni kesho tayari. waliendaje, kwa technologia ipi na meli wala majahazi yalikuwa hayajaanza, au walienda kwa ungo wa kichawi wa babu yako? halafu, ayo maneno wanayosema yanafanana na lugha zetu angalia kama maana yake zinaendana hata kidogo tu?....ifike mahali mkubali kuwa Mungu ndiye aliumba watu wengine wakawekwa huko.
the only Africans walioko mabara hayo ni wahindi fulani hivi, hao ndio hadi leo hadi nywele ni kipilipili kama za kwako