Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Habarini wakuu.
Fiji ni nchi iliyopo katika bahari ya Pacific karibu sana na nchi ya Australia.
Jamii ya wenyeji wa Fiji kimuonekano wanafanana na waafrika ila kuna tofauti kidogo kutokana na kuzaliana na jamii zingine za Asia na Pacific.
Masimuliz ya kale kutoka kwa mababu wa hapo Fiji wanadai wao walitoka Tanganyika miaka mingi sana iliyopita kwa boti kuelekea pacific kupitia Madagascar. Hivo wanadai wametokea hapa Afrika mashariki nchini kwetu Tanzania. Ikumbukwe hapa nchini pia kuna mto unaitwa Rufiji. Hapo chini nmeweka maelezo yao wanayotoa kuhusu historia yao na picha zao.View attachment 712526View attachment 712529View attachment 712531View attachment 712532View attachment 712533View attachment 712534View attachment 712537View attachment 712538
Hawa ni ndugu zetu kabisa wa Tanganyika.. Naona Kabisa hao mabint hapo chini wamefanana nayule bint wa Marekani Instagram... Mange
 
FB_IMG_1520916301431.jpg

Wayahudi ni watu wa ajabu sana! Wana mfumo mzuri sana wa kutunza kumbu kumbu zao! Mara nyingi kupitia "Rashi" ( Maandiko), Au " Ben akher Ben" ( baba kwenda mtoto) au vitabu vyao vya siri vinavyotunzwa na makuhani tu " Sefer Yuksin"! Kwa sasa kuna Wayahudi ambao wanaweza kukutajia uzao wao hadi kizazi cha103 wakati wa Daudi!
 
Natafanya uchunguz ksma kuna vivutio vya utalii, nikatalii huko
 
Hivi enyi Wa Tanzania mnaosema hao watu walisafirije kipindi hicho...
hivi kwanini mna wa Under-rate watu wa zamani ?
hivi mnadhani hichi ni kizazi ambacho ndo kimeendelea kuliko vyote?
kuna baadhi ya vitu vinaonyeshaga watu wa zamani walikua bora hata kutushinda sisi.....tena hawahawa wazee wetu tunaowaona kama walikua wanyama pori....

muwape heshima wazee..
 
Personally nimeshakutana na wafiji wenye asili ya india ndo wakaniambia kuwa wakaazi asili wa fiji wapo kama mimi mpaka nywele za afro wanazo. Ilibidi nishtuke kwanza. Ndo kilichonifanya kuandika huu uzi baada ya kutafiti. Nimeshakunywa hadi kinywaji chao mashuhuri kinaitwa Kava. Wanasema ni dawa safi sana kuweka mwili sawa ila ukinywa unahisi ulimi umepooza na inalevya kidogo.
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Eeh
 
Nimejaribu ku-google dictionary tujaribu kutafuta neno la kibantu.Mimi sijaona humu naona ndugu zetu wameshachakachuliwa.
 

Attachments

  • IMG_1521012695.416494.jpg
    IMG_1521012695.416494.jpg
    59.1 KB · Views: 69
Hatimaye nimeanza kukiona Kiha.
 

Attachments

  • IMG_1521013534.709257.jpg
    IMG_1521013534.709257.jpg
    81.2 KB · Views: 63
Mara ya mwisho nilienda Fiji mwaka '98 na huko kuna ndugu zetu kabisa upande wa baba mkubwa, wapo huko na historia inaonesha baba wa babu mkubwa ndo alienda huko, ni watanzania pure!


I smell uongo!!!

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom