Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

Tutaona robo fainali ndiyo kipimo cha wote Simba na Yanga. Hapa ndiyo kipimo sahihi kwa wote wawili.
Hawako shindano 1, usijisahaulishe? Alikokua simba, yanga alifurushwaaa na Al Hilal, hata makundi hajanusa, ndo akaangukia kwa losers.

Kuwa specific wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiachana na zile set piece zao kule Tunisia, ni kipi walichoizidi Yanga katika mchezo wa kawaida kwenye ile mechi ya kwanza? Kilichofanyika jana ni Yanga kuwa makini na mipira yote ya set pieces hawakuwa na namna tena.
Wiki iliyopita kuna uzi tulikuwa tunajadili hii mechi, nikasema Yanga watakuwa na mechi rahisi zaidi nikitumia kigezo kuwa Monastir wameshavuka. Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri, wewe ulikuwa mmoja wa watu uliyenipinga kwa kusema watakuja kupambania nafasi ya kwanza.

Sasa unakujaje kupambana halafu nusu ya first 11 unawaweka benchi?
 
Simba iliposhinda 7 si nyie utopoloo mkaja wima wima, eti Horoyaa mbovu na alikuja kukamilisha ratibaa? Mara tulihonga 38m,

Leo mmegeuziwa nyie mnapanick, vipi kwemaaaaa????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Makolokolo ndiyo mliwashwa washwa na YANGA FC, kufungwa afungwe Horoya, afu muhusishe Yanga FC kuwa wanaumia na ushindi wenu.

Hadi hapo ulitegemea nini haswa?
 
Hawako shindano 1, usijisahaulishe? Alikokua simba, yanga alifurushwaaa na Al Hilal, hata makundi hajanusa, ndo akaangukia kwa losers.

Kuwa specific wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una kombe gani kwenye hilo shindano no 1 kama si kujitekenya na kucheka mwenyewe?

Makolokolo = Wasindikizaji bora wa CAF.
 
1. Job
2. Mudathir
3. Kibwana
4. Kisinda
5. Mauya
6. Mzize
7. Farid Mussa

Hao wote jana walikuwa benchi. Ila kuna timu inapatikana mtaa wa Msimbazi, hao panga pangua hawakosi first 11 ya ile timu.
 
Jumamosi vipi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Simba iliposhinda 7 si nyie utopoloo mkaja wima wima, eti Horoyaa mbovu na alikuja kukamilisha ratibaa? Mara tulihonga 38m,

Leo mmegeuziwa nyie mnapanick, vipi kwemaaaaa????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni mwanasimba mwenzio ujue

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Una mawazo mgando kweli au unasumbuliwa na ushabiki maandazi. Hivyo tamaa yako ni kuona timu usioishabikia inafungwa.
Mpira una njia zake na mitego pia. Ukinasa unapigwa tu. Simba alitaka kupishana na Raja taifa akapigwa. Horoya alitaka kupishana na Simba taifa, akafa nyingi. Zingatia pia kiwango alichoonyesha horoya kule kwao hakikuwa na maajabu yoyote kwa Simba ukiondoa goli walilofunga. Mazembe aliingia kwenye mtego wa Yanga taifa akapigwa. Yanga aliingia kwenye mtego wa Monastir Tunis akafa. Ukiondoa zile dead balls hakuna maajabu yoyote walioonyesha Monastir game ya kwanza. Hivyo si ajabu kabisa Monastir kuja kufia Taifa.
Tuwe na mawazo CHANYA kwenye vilabu vyetu kuliko kuwa na ushabika MAANDAZI KAMA HUU.
Nyuzi kama hizi Mods inatakiwa wawe wanazifyelea mbali huko.
No content, no logic still ni uzi unapandishwa. WHY?
 
Uzi ufungwe , Kesi imeisha hii

Mie Mwenyewe nimeshangaa ...

Mkataba Waingie Na Singida..Kusifiwa Asifiwe Yanga..Wapi Na Wapi.?
Hii kesi ingekuwa kwenye mikono ya FBI, mtuhumiwa angedakwa usiku huu huu.

Yaani SBS inaacha timu zote Africa na dunia hii inaenda kuingia mkataba wa ushirikiano na Monastir tena katika muda na mazingira ya namna hii.
 
Tutaona robo fainali ndiyo kipimo cha wote Simba na Yanga. Hapa ndiyo kipimo sahihi kwa wote wawili.
Lakini ni mashindano mawili tofauti. Moja anatafutwa bingwa wa ligi, lingine anatafutwa bingwa wa kombe. Simba na Yanga hawapo katika shindano linalowaweka pamoja
 
Ifike wakati tujifunze kukubali mwenzako anapofanya vizuri sio kujitafutiza visababu vya kipuuzi na kuja kuaibika mwenyewe. Kwan wao wakina nani kwamba kila mechi wapate on target, wao hawafungwi?

Wakati mwingine mjifunze kuficha ujinga wenu
Uzuri mnajimaliza wenyewe,mimi wala sijasema kitu
 
Habari njema hizo..... Hapo ni kwamba Yanga wakubwa sana hadi bahasha inatembea kwa mwarabu sahivi sio nbc tena hadi caf tumefika............. Bahasha ya kaki idumu
Wapi nimeandika yanga katoa bahasha hapo??
 
Simba iliposhinda 7 si nyie utopoloo mkaja wima wima, eti Horoyaa mbovu na alikuja kukamilisha ratibaa? Mara tulihonga 38m,

Leo mmegeuziwa nyie mnapanick, vipi kwemaaaaa????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu mimi sijasema ngaya katoa rushwa,wao wamejiongeza wenyewe tu
 
Ndio kazi ya hela.
Team zina hela mpaka kutoa bahasha kwa Waarabu ,ni hatua nzuri tumefika kwa sasa ni jambo la kupongezwa.

Endelea kushangaa..ndio matumiz ya pesa hapa Dunia.
Maskini endelea kulia lia.
Sawa tajiri,ila sijataja rushwa hapo
 
Umewafwatilia kwenye mechi ngapi mpaka ukaona hawana Nia ya ushindi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…