cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hawako shindano 1, usijisahaulishe? Alikokua simba, yanga alifurushwaaa na Al Hilal, hata makundi hajanusa, ndo akaangukia kwa losers.Tutaona robo fainali ndiyo kipimo cha wote Simba na Yanga. Hapa ndiyo kipimo sahihi kwa wote wawili.
Kuwa specific wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]