Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

Fikiria haya kuhusu mchezo wa Yanga na Monastir majibu baki nayo mwenyewe

Una mawazo mgando kweli au unasumbuliwa na ushabiki maandazi. Hivyo tamaa yako ni kuona timu usioishabikia inafungwa.
Mpira una njia zake na mitego pia. Ukinasa unapigwa tu. Simba alitaka kupishana na Raja taifa akapigwa. Horoya alitaka kupishana na Simba taifa, akafa nyingi. Zingatia pia kiwango alichoonyesha horoya kule kwao hakikuwa na maajabu yoyote kwa Simba ukiondoa goli walilofunga. Mazembe aliingia kwenye mtego wa Yanga taifa akapigwa. Yanga aliingia kwenye mtego wa Monastir Tunis akafa. Ukiondoa zile dead balls hakuna maajabu yoyote walioonyesha Monastir game ya kwanza. Hivyo si ajabu kabisa Monastir kuja kufia Taifa.
Tuwe na mawazo CHANYA kwenye vilabu vyetu kuliko kuwa na ushabika MAANDAZI KAMA HUU.
Nyuzi kama hizi Mods inatakiwa wawe wanazifyelea mbali huko.
No content, no logic still ni uzi unapandishwa. WHY?
Mkuu hebu nijibu hili swali,unahisi kwanini kwenye press ya kuingia mkataba kati ya sbs na usm anapongezwa yanga kwa kwenda robo???ukijibu ntakuwa kweli na mawazo mgando.
 
Kuna watu wanawaza ujinga ujinga tu kila wakati. Unajua ukubwa wa mashindano haya? Je wajua makocha na wachezaji wanaoenda vilabu vikubwa hupatikana kwenye mashindano kama haya. Unawaza bahasha unafikiri hiyo ni ndondo cup. You must be very stupid
 
Kuna watu wanawaza ujinga ujinga tu kila wakati. Unajua ukubwa wa mashindano haya? Je wajua makocha na wachezaji wanaoenda vilabu vikubwa hupatikana kwenye mashindano kama haya. Unawaza bahasha unafikiri hiyo ni ndondo cup. You must be very stupid
And you must be very clever,ila ukinionesha nliposema kuna rushwa hapo
 
Una kombe gani kwenye hilo shindano no 1 kama si kujitekenya na kucheka mwenyewe?

Makolokolo = Wasindikizaji bora wa CAF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hata kusindikiza makundi umeshindwa, Al hilal akasema wee utopoloo nenda kule kwa losers ndo level yakoo, huku tuache wakubwa na wakali wa hili shindanoooo.

Wee hata huko losers Una kombe gani?? CL sigusi kabisaa maana utaharaaa buree na hakuna pants, uwiiiiih
 
Makolokolo ndiyo mliwashwa washwa na YANGA FC, kufungwa afungwe Horoya, afu muhusishe Yanga FC kuwa wanaumia na ushindi wenu.

Hadi hapo ulitegemea nini haswa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] relaaaaaaaaaxxxxx shoustieee, hizi kelele vipi tenaaaa?? Si kila mtu ashinde match zakeee??

Poleeeeeeeeh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hata kusindikiza makundi umeshindwa, Al hilal akasema wee utopoloo nenda kule kwa losers ndo level yakoo, huku tuache wakubwa na wakali wa hili shindanoooo.

Wee hata huko losers Una kombe gani?? CL sigusi kabisaa maana utaharaaa buree na hakuna pants, uwiiiiih
Makolokolo/Mbumbumbu/Manyaunyau/Madunduka/Makelele/Malalamiko/Mikia/Mipang'ang'a/Ngada/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume FC kwenye ubora wako [emoji38]
 
Makolokolo/Mbumbumbu/Manyaunyau/Madunduka/Makelele/Malalamiko/Mikia/Mipang'ang'a/Ngada/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume FC kwenye ubora wako [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imekufikaa penyeweeeee eeeeeh, haya kitulizee sasa, watu weuweeeeeeeeeeeh.
 
Una mawazo mgando kweli au unasumbuliwa na ushabiki maandazi. Hivyo tamaa yako ni kuona timu usioishabikia inafungwa.
Mpira una njia zake na mitego pia. Ukinasa unapigwa tu. Simba alitaka kupishana na Raja taifa akapigwa. Horoya alitaka kupishana na Simba taifa, akafa nyingi. Zingatia pia kiwango alichoonyesha horoya kule kwao hakikuwa na maajabu yoyote kwa Simba ukiondoa goli walilofunga. Mazembe aliingia kwenye mtego wa Yanga taifa akapigwa. Yanga aliingia kwenye mtego wa Monastir Tunis akafa. Ukiondoa zile dead balls hakuna maajabu yoyote walioonyesha Monastir game ya kwanza. Hivyo si ajabu kabisa Monastir kuja kufia Taifa.
Tuwe na mawazo CHANYA kwenye vilabu vyetu kuliko kuwa na ushabika MAANDAZI KAMA HUU.
Nyuzi kama hizi Mods inatakiwa wawe wanazifyelea mbali huko.
No content, no logic still ni uzi unapandishwa. WHY?
Mleta mada ana hoja nzito yenye mashiko na anastahili kusikilizwa.

Ushahidi upo wa kimazingira kuwa Monastir ameuza game. SBS ana ushirikiano wa karibu na Yanga ambao sihitaji kuuelezea (ingawa najua hata hilo unaweza kubisha), halafu anaingia mkataba na Monastir, timu ambayo haina historia yoyote yale ya mafanikio katika soka, na mkataba unaingiwa katika kipindi ambacho inaenda kucheza mechi muhimu na Yanga? Halafu Monastir wanapiga shot moja tu kuelekea golini kwa Yanga, hawapati shot on target hata moja, wanaweka nusu ya kikosi chao cha kwanza benchi.....unataka niendelee maana kuna vitu niliviona kwenye game nikajua hakuna game ya ushindani hapa.

Nimetoka kumuuliza mwenzio, mnadhani mnashabikia timu ya malaika na watakatifu?
 
-1 WACHEZAJI WA MONASTRIENE 6,WA KIKOSI CHA KWANZA WALIANZIA BENCHI.

2.JAMAA HAWAKUPIGA HATA ON TARGET MOJA.

3.RAIS WA MONASRTIENE AHMED BELLI,AWAPONGEZA YANGA KUFUZU ROBO.

4.MONASTRIENNE WAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO NA SINGIDAA BIG STARS(na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza yanga)

N.b jibu baki nalo mwenyewe.
Hii timu uloitaja wewe haikucheza na yanga iliocheza na yanga inaitwa Monastirienne na wao wamepigwa vizuri na wamekubali mapigo... Timu yako wewe timu ya wapi mkuu, kwanza point yako ya tatu na point ya nne timu zimetofautiana majina, tunawezaje kucheza na timu mbili tofauti kwa wakati mmoja alafu hizo timu ziwe hazipo hapa duniani? tunasindwa kuelewa sababu majina uloweka ni mawilli tofauti na hayo majina sio majina ya timu ilocheza na yanga, Tafuta jingine mkuu
 
Mleta mada ana hoja nzito yenye mashiko na anastahili kusikilizwa.

Ushahidi upo wa kimazingira kuwa Monastir ameuza game. SBS ana ushirikiano wa karibu na Yanga ambao sihitaji kuuelezea (ingawa najua hata hilo unaweza kubisha), halafu anaingia mkataba na Monastir, timu ambayo haina historia yoyote yale ya mafanikio katika soka, na mkataba unaingiwa katika kipindi ambacho inaenda kucheza mechi muhimu na Yanga? Halafu Monastir wanapiga shot moja tu kuelekea golini kwa Yanga, hawapati shot on target hata moja, wanaweka nusu ya kikosi chao cha kwanza benchi.....unataka niendelee maana kuna vitu niliviona kwenye game nikajua hakuna game ya ushindani hapa.

Nimetoka kumuuliza mwenzio, mnadhani mnashabikia timu ya malaika na watakatifu?
Kashindwa kuandika jina la timu hoja hapo inatoka wapi? Hii timu gani anazungumzia sisi tumecheza na Monastirienne sio hizo timu mbili alizozitaja yeye... Hatuzijui hizo timu
 
Kuna watu wanawaza ujinga ujinga tu kila wakati. Unajua ukubwa wa mashindano haya? Je wajua makocha na wachezaji wanaoenda vilabu vikubwa hupatikana kwenye mashindano kama haya. Unawaza bahasha unafikiri hiyo ni ndondo cup. You must be very stupid
Absolutely, i am amused..
 
Hii timu uloitaja wewe haikucheza na yanga iliocheza na yanga inaitwa Monastirienne na wao wamepigwa vizuri na wamekubali mapigo... Timu yako wewe timu ya wapi mkuu, kwanza point yako ya tatu na point ya nne timu zimetofautiana majina, tunawezaje kucheza na timu mbili tofauti kwa wakati mmoja alafu hizo timu ziwe hazipo hapa duniani? tunasindwa kuelewa sababu majina uloweka ni mawilli tofauti na hayo majina sio majina ya timu ilocheza na yanga, Tafuta jingine mkuu
Pumba
 
Sawa mkuu wewe umeandika point ila umeshindwa kuandika Monastirienne its ridiculous.... Alafu mpira wa kimataifa hauna mambo ya kiswahili... Kama mpira ni kununua match basi simba ndio wanaongoza kwa kutuuzia match manake tumewagonga mara nyingi kuliko hata hao Monastirienne...
 
Sawa mkuu wewe umeandika point ila umeshindwa kuandika Monastirienne its ridiculous.... Alafu mpira wa kimataifa hauna mambo ya kiswahili... Kama mpira ni kununua match basi simba ndio wanaongoza kwa kutuuzia match manake tumewagonga mara nyingi kuliko hata hao Monastirienne...
Mi sjasema yanga kanunua mechi,au nmesema mkuu?
 
Back
Top Bottom