Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Nyie huko kombe la winners mna nini mlichoshinda cha kutulingishia!?Hujui kama nyie mko kombe la loosers??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie huko kombe la winners mna nini mlichoshinda cha kutulingishia!?Hujui kama nyie mko kombe la loosers??
Hilo wa wachezaji muhimu mbona tumelimaliza. Baada ya kukushinda umebaki kulialia tu 🤣😂🤣 Hilo la set pieces kabisa nimekugaragaza 🤣😂🤣Kutoka kwenye hoja ya wachezaji muhimu hadi kuhamisha magoli kwenye SBS. Haya tuje kwenye hiyo hoja yako je mkataba waliosaini SBS na Monastir unaihuau Yanga?
1.ungeorodhesha hao wachezaji 6 tuwajue ili tuone kiufundi kwanini wachezaji hao walianzia benchi1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.
2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.
3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.
4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singidaa Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)
NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.
2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.
3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.
4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)
NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Hakuna kitu kibaya kama kupatwa na mtindio wa ubongo na taahira ya akili! Jitu na bichwa lake linapost thread ya uzuzu!1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.
2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.
3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.
4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)
NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
Anzisha uzi nikujibu hapa ni utopolo tu inaongelewaNan alikwambia watutsi wauaji?
Ukimaliza weka na lamination kaa nayo msimbazi palePoa haina noma
Us Monastir = Namungo fc
Real Bamako = KMC fc
Tp mazembe = Biashara United
Yan ungekua karibu ningeku.. bumbaaav wewe unamfyonza kaka ako wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee, sio kila siku ni alhamc, kuna j4.
Mxxxxiiiieeeeeww
Kumbe ndio lengo lako unageuza hapa sehemu ya ligi ya kubishana. Haya endelea kubishana na wengine tufanye umenishinda sawa.Hilo wa wachezaji muhimu mbona tumelimaliza. Baada ya kukushinda umebaki kulialia tu [emoji1787][emoji23][emoji1787] Hilo la set pieces kabisa nimekugaragaza [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Nakupa chance ujiongezee pointi kidogo kama bado una msuli ila huu mpambano wala siyo fea [emoji1787][emoji1787][emoji23] Pambana mwamba, katiba yenu inawataka mbishane hadi tone la mwisho [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Mchambuzi was mchongo1. Wachezaji wa Monastir 6 wa kikosi cha kwanza walianzia benchi.
2. Jamaa hawakupiga hata on target moja.
3. Rais wa Monastir Ahmed Belli, awapongeza Yanga kufuzu Robo Fainali.
4. Monastir waingia mkataba wa makubaliano na Singida Big Stars (na kwenye press ya mkataba akatumia nafasi hiyo kuwapongeza Yanga)
NB: Jibu baki nalo mwenyewe.
We, ndio umemaliza kesi.Tutaona robo fainali ndiyo kipimo cha wote Simba na Yanga. Hapa ndiyo kipimo sahihi kwa wote wawili.
Ni ukweli waulize yanga wenyewe watakwambia,mi nmehoji tu ila nashangaa watu wanatukana mijitusi hapa..tena mkataba wameingia jana .Mimi ni shabiki wa Yanga .... Ila imenichekesha na kunifikirisha sana.... kama kuna ukweli wowote katika hili
Nduli kama nduli
Bado game 3 Yanga atawazwe rasmi kuwa bingwa wa Nbc na kwenye hizo Game tatu simba yupo piaHilo halina ubishi. Toka mechi inachezwa kwenye uzi nilisema hamna timu hapa ya ushindani. Hayo mengine niliyojua baadae yanathibitisha tu ukakasi wa mechi ile.
Inawezekana hawakuhongwa wafungwe ila hawakuwa na nia ya dhati ya kupata ushindi. Nadhani ni mambo mawili tofauti hayo.
Huwa mnasogeza goal post kila siku. Simba wakifanikiwa hili, mnasogeza tena. Tumeshawazoea.Bado game 3 Yanga atawazwe rasmi kuwa bingwa wa Nbc na kwenye hizo Game tatu simba yupo pia
Kama simba ni bora kuliko Yanga tunaomba simba amzue yanga asitangaze ubingwa mbele yake