Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina."Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa ushauri wa kejeli kwa wale wanaokataa shambulio la kijeshi dhidi ya nchi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumuelewa mpaka uwe una ufahamu mkubwa wa mambo ya vita Duniani. Amekejeli lakini kuna point. Ni mara ngapi USA imevamia nchi zingine bila sababu ya msingi lakini sio UN wala NATO waliomkemea bali walimuunga mkono. Hakuna Usawa.So kumbe hata Tanzania inaweza kuamua kuichabanga Kenya na ikawa fresh tu kaka?
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.So kumbe hata Tanzania inaweza kuamua kuichabanga Kenya na ikawa fresh tu kaka?
hawawezi wakawamaliza sababu UKRAINE anampa kichapo kikali sana RUSSIA... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Nonsensehawawezi wakawamaliza sababu UKRAINE anampa kichapo kikali sana RUSSIA
nasikia kuna makombora matatu yameanguka MOSCOW
hawawezi wakawamaliza sababu UKRAINE anampa kichapo kikali sana RUSSIA
nasikia kuna makombora matatu yameanguka MOSCOW
... vipi tena? Mbona mnapingana?Nonsense
Me naona katoa mfano mzuri Kama kweli ukifikiria ..jinsi ulaya inavojidai kuiilaani urusi kwa Vita hii but imekua kimya kwa Vita vingine vinavofanywa na marekan huo ni ukweli... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Wao Urusi waliwahi kulaani na kuchukua hatua lini? Si wana hadi veto? Waliwahi kuitumia kwa manufaa ya nchi maskini ipi? Wanafiki tu hao kwa kuwa ni jambo lao lazima waongee kinafiki.Me naona katoa mfano mzuri Kama kweli ukifikiria ..jinsi ulaya inavojidai kuiilaani urusi kwa Vita hii but imekua kimya kwa Vita vingine vinavofanywa na marekan huo ni ukweli
Waache wauane.... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Inawezekana lakn had pawe na sababuSo kumbe hata Tanzania inaweza kuamua kuichabanga Kenya na ikawa fresh tu kaka?
ukweli mchungu.... ndio anatafuta support ya Africa na Middle East kwa approach hiyo? Ndio anaitaja Afrika leo? Wahuni wakubwa.
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
ukweli mchungu
We naye hujaelewa. Sijui kwa nini wakristo huwa hamna akili....View attachment 2211799
"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina."Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa ushauri wa kejeli kwa wale wanaokataa shambulio la kijeshi dhidi ya nchi yake
ukweli mchungu kwa nato na wapambe wakeUkweli upi huo? Kumbe kuvamiwa nchi za kiarabu ni kawaida sana ee, ila Ukraine mnaleta kelele zenu hapa!!!
umoja wa asia ni jukumu lao hilo , WEST wanahusikaje kutoa misaa EASTParestina hata silaha hawapewi