"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina" Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa Ushauri wa Kejeli

"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina" Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa Ushauri wa Kejeli

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
6,515
Reaction score
6,230
Screenshot_20220504-213526_Instagram.jpg


"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina."Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa ushauri wa kejeli kwa wale wanaokataa shambulio la kijeshi dhidi ya nchi yake
 
So kumbe hata Tanzania inaweza kuamua kuichabanga Kenya na ikawa fresh tu kaka?
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.

Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
 
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.

Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
hawawezi wakawamaliza sababu UKRAINE anampa kichapo kikali sana RUSSIA
nasikia kuna makombora matatu yameanguka MOSCOW
 
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.

Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Me naona katoa mfano mzuri Kama kweli ukifikiria ..jinsi ulaya inavojidai kuiilaani urusi kwa Vita hii but imekua kimya kwa Vita vingine vinavofanywa na marekan huo ni ukweli
 
Me naona katoa mfano mzuri Kama kweli ukifikiria ..jinsi ulaya inavojidai kuiilaani urusi kwa Vita hii but imekua kimya kwa Vita vingine vinavofanywa na marekan huo ni ukweli
Wao Urusi waliwahi kulaani na kuchukua hatua lini? Si wana hadi veto? Waliwahi kuitumia kwa manufaa ya nchi maskini ipi? Wanafiki tu hao kwa kuwa ni jambo lao lazima waongee kinafiki.
 
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.

Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Waache wauane.
 
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.

Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!

Ila wee jamaa ni kiboko aise. Nakuona unavyoongea kwa hisia kali sana,,hebu hizo hisia zako zielekezee kwa waarabu na waafrika basi!! Hapo ametajwa Palestina tu presha imepanda mzehe!

Kuna mshikaji mmoja alikua anafanya kazi za ndani kwa myahudi, pamoja na kuwahudumia mbwa na kuwaogesha, sijui ni yupi kati yenu!!
 
Back
Top Bottom