"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina" Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa Ushauri wa Kejeli

"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina" Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa Ushauri wa Kejeli

Kumuelewa mpaka uwe una ufahamu mkubwa wa mambo ya vita Duniani. Amekejeli lakini kuna point. Ni mara ngapi USA imevamia nchi zingine bila sababu ya msingi lakini sio UN wala NATO waliomkemea bali walimuunga mkono. Hakuna Usawa.
UN imekemea mara nyingi , fuatilia , huko uarabuni walaumu akina China na huyo huyo Russia ambao ni mataifa ya ASIA na walikuwa Kimya kipind wenzao wanavamiwa ila leo hii wanaitumia km kinga dhidi ya uhalifu wao huko Ukraine
 
Me naona katoa mfano mzuri Kama kweli ukifikiria ..jinsi ulaya inavojidai kuiilaani urusi kwa Vita hii but imekua kimya kwa Vita vingine vinavofanywa na marekan huo ni ukweli
ww kweli mbu mbu mbu ,unataja ulaya halafu unataka ilaani mambo ya ASIA bila umoja wao wa ASIA kulaani , huoni utumbo wako , bado URUSI inazid kujitukana yy na China kuwa hawa umoja na mataifa shiriki ya Asia pindi taifa moja linapovamiwa , ss hv wajifunze kwa Ulaya
 
Ila wee jamaa ni kiboko aise. Nakuona unavyoongea kwa hisia kali sana,,hebu hizo hisia zako zielekezee kwa waarabu na waafrika basi!! Hapo ametajwa Palestina tu presha imepanda mzehe!

Kuna mshikaji mmoja alikua anafanya kazi za ndani kwa myahudi, pamoja na kuwahudumia mbwa na kuwaogesha, sijui ni yupi kati yenu!!
nn hoja yako
 
Ukweli upi huo? Kumbe kuvamiwa nchi za kiarabu ni kawaida sana ee, ila Ukraine mnaleta kelele zenu hapa!!!
Ukraine ipo Ulaya , na mataifa ya Ulaya yamesimama na ndugu yao., ila mipumbav miarabu mwenzao anavamia wao wanaenda Miami kula bata hlf leo wanalalamika kwann wazungu hawakukemea , mataifa ya Asia hayajielew km waafrika tu
 
Wewe kituko cha jf unaruka ruka tu kama vile Kuku aliye katwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,

Huna ujualo,unaongozwa na mahaba niue wakati huyo Yahudi mwenyewe wala hakutambui kapuku wewe.
Wewe usiye kituko una kipi cha maana? Kubwa jinga.
 
Sasa kama huna akili ya uelewa utawezaje kutambua cha maana nilichonacho? Endelea kumtetea yahudi humu jf huku umasikini ukikutafuna huko kijijini kwenu.
... Nitambue ambacho huna? Kubwa jinga kweli wewe.
 
Kumuelewa mpaka uwe una ufahamu mkubwa wa mambo ya vita Duniani. Amekejeli lakini kuna point. Ni mara ngapi USA imevamia nchi zingine bila sababu ya msingi lakini sio UN wala NATO waliomkemea bali walimuunga mkono. Hakuna Usawa.
Ni wanajeshi TU ndio wana huo ufahamu mimi na wewe hatujui kitu zaidi ya kubishana ukiwa unakokujua wewe na ninakokujua mimi.

Nitajie nchi ambazo zimevamiwa na Marekani na uweke sababu ya kuvamiwa kwake tuone kama zinafanana na Urusi kuivamia Ukraine

Nasubiri
 
Kumuelewa mpaka uwe una ufahamu mkubwa wa mambo ya vita Duniani. Amekejeli lakini kuna point. Ni mara ngapi USA imevamia nchi zingine bila sababu ya msingi lakini sio UN wala NATO waliomkemea bali walimuunga mkono. Hakuna Usawa.
Kosa la USA ndiyo lihalalishe upuuzi wa Urusi?
 
... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.

Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Ni mwendawazimu tuu ndio anaweza kuogopa kuitwa dikteta wakati majirani wake wakikaribisha maadui zake wamzingire.
Hao washenzi wa NATO ndio wakulaumiwa. Na Russia ana haki zote za kujilinda na watu wanaotangaza uadui wao kwake hadharani,bila kujali kama kuna mtu Tanzania kashiba mihogo maharage anamuita fashisti

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Ni wanajeshi TU ndio wana huo ufahamu mimi na wewe hatujui kitu zaidi ya kubishana ukiwa unakokujua wewe na ninakokujua mimi.

Nitajie nchi ambazo zimevamiwa na Marekani na uweke sababu ya kuvamiwa kwake tuone kama zinafanana na Urusi kuivamia Ukraine

Nasubiri
Marekani kazivamia nchi nyingine kwa ajili ya maslahi yake na Urusi kaivamia Ukraine kwa ajili ya maslahi yake kwa hiyo hakuna mwenye tofauti hapo.

Sema Ukraine ni wazungu ndio maana unaona kelele zote hizo maana wao ndio wanajiona wana haki ya kuishi kwa amani kwa sababu wao ni bora kuliko wengine na nyinyi waafrika vilaza mnajifanya kuwa na uchungu nao.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom