Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Siungi mkono Urusi kuivamia nchi nyingine lakini hapo kwa Urusi kutafuta support in Africa; Urusi amekua msaada sana kwa vita ya ukombozi kwetu sisi Wa Africa, alitusaidia sana karibu nchi zote za Africa zilizo kaliwa kimabavu na "mabeberu".... ndio anatafuta support ya Africa na Middle East kwa approach hiyo? Ndio anaitaja Afrika leo? Wahuni wakubwa.
Migogoro baina ya Nchi na Nchi itaendelea kuwepo ndio maana UN ikawepo ili kusuluhisha. Na huu mgogoro UN walikua na nafasi nzuri ya kuumaliza kama tangia zamani wangekua fair.Kosa la USA ndiyo lihalalishe upuuzi wa Urusi?
Haki ya kujilinda ndio haki ya kushambulia? Unavamia nchi kwa tatizo la kufikirika?Ni mwendawazimu tuu ndio anaweza kuogopa kuitwa dikteta wakati majirani wake wakikaribisha maadui zake wamzingire.
Hao washenzi wa NATO ndio wakulaumiwa. Na Russia ana haki zote za kujilinda na watu wanaotangaza uadui wao kwake hadharani,bila kujali kama kuna mtu Tanzania kashiba mihogo maharage anamuita fashisti
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23].... ndio anatafuta support ya Africa na Middle East kwa approach hiyo? Ndio anaitaja Afrika leo? Wahuni wakubwa.
Amemuelewa sana na comment yake pia ameitoa kwa kejeli kwamba kwakuwa USA anafanya 'uvamizi' so ni halali na yeye Russia kuvamia Ukraine kwa reference ya USA.Kumuelewa mpaka uwe una ufahamu mkubwa wa mambo ya vita Duniani. Amekejeli lakini kuna point. Ni mara ngapi USA imevamia nchi zingine bila sababu ya msingi lakini sio UN wala NATO waliomkemea bali walimuunga mkono. Hakuna Usawa.
Huyo mzee wa 'nonsense' nadhani hilo neno huwa liko standby,haangalii nani kacomment nini akiona tu neno Russia anakushukia na 'nonsense'[emoji3][emoji3]... vipi tena? Mbona mnapingana?
Kwa Russia pale Ukraine kuna sababu gani yenye mashiko? Achana na blah blah za Putin za 'Denazification'Inawezekana lakn had pawe na sababu
Sasa mbona wewe ndiyo unaonekana kuwa na hisia zilizochanganyikana na jazba zaidi hasa kwa hiyo paragraph ya mwisho kuliko hata unayemtuhumuIla wee jamaa ni kiboko aise. Nakuona unavyoongea kwa hisia kali sana,,hebu hizo hisia zako zielekezee kwa waarabu na waafrika basi!! Hapo ametajwa Palestina tu presha imepanda mzehe!
Kuna mshikaji mmoja alikua anafanya kazi za ndani kwa myahudi, pamoja na kuwahudumia mbwa na kuwaogesha, sijui ni yupi kati yenu!!
Mbona Putin kishaongeaga sana kuhusu ubabe wa US, US akiamua lake HAMNA WA KUMZUIA.Wao Urusi waliwahi kulaani na kuchukua hatua lini? Si wana hadi veto? Waliwahi kuitumia kwa manufaa ya nchi maskini ipi? Wanafiki tu hao kwa kuwa ni jambo lao lazima waongee kinafiki.
Kama hujui kwa nn urusi kaivamia ukraine hupaswi kuchangia hoja maanabado upo gizani usingizini kabisa... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Utumbo huu mnaupata wapi masikini ya munguhawawezi wakawamaliza sababu UKRAINE anampa kichapo kikali sana RUSSIA
nasikia kuna makombora matatu yameanguka MOSCOW
Kumbe mnakua mnaumia mkiambiwa ulweli eee wapuuzi wakubwa nyinyi, endeleeni kuumia Lavrov kaongea ukweli jitafakarini na propaganda zenu, endeleeni na maumivu.... ndio anatafuta support ya Africa na Middle East kwa approach hiyo? Ndio anaitaja Afrika leo? Wahuni wakubwa.
Unazungumzia Japan hii iliopigwa silaha za maangamizi za Nuclear na Marekani ??... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Kaka soma kwanza uelewe ndo uanze kuandika.Siungi mkono Urusi kuivamia nchi nyingine lakini hapo kwa Urusi kutafuta support in Africa; Urusi amekua msaada sana kwa vita ya ukombozi kwetu sisi Wa Africa, alitusaidia sana karibu nchi zote za Africa zilizo kaliwa kimabavu na "mabeberu"
Wewe humjui huyo, Bwana Utam anwazingua tu hapo.Utumbo huu mnaupata wapi masikini ya mungu
Labda ueleze maana iliojificha but nahisi nimekuelewa vizuri sana tuKaka soma kwanza uelewe ndo uanze kuandika.
kojoa ulale...Dunia haijawahi kua fair..na haya ni majibu tu nusu ya vilivyokua vinafanywa na marekani na washiriki wao...bado tunakumbuka arab spring ,libya,iraq syria etc... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
nn hoja yako