Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
- Thread starter
-
- #61
na nyinyi waafrika vilaza mnajifanya kuwa na uchungu nao.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Amemuelewa sana na comment yake pia ameitoa kwa kejeli kwamba kwakuwa USA anafanya 'uvamizi' so ni halali na yeye Russia kuvamia Ukraine kwa reference ya USA.
Una matatizo ya uelewa?? Wapi nimetuhumu mtu?? Hebu nionyeshe hicho kipengele!!Sasa mbona wewe ndiyo unaonekana kuwa na hisia zilizochanganyikana na jazba zaidi hasa kwa hiyo paragraph ya mwisho kuliko hata unayemtuhumu
Sawa kabisa [emoji846]Wewe ndio hijaelewa kilichosemwa
[emoji846]Una matatizo ya uelewa?? Wapi nimetuhumu mtu?? Hebu nionyeshe hicho kipengele!!
Ninyi mnawachukia sana waarabu,,hivyo kuvamiwa kwao na kuuawa kwao ndio furaha kwenu wamatumbi, ingawa wapo wanaojitambua.
Ulipokariri ukaamua ukipende na kukifia ULICHOJIKARIRISHA si ndio mkuu ee?!! π€£π€£... kwa reference ya US vs Palestine! Mfano wa kipumbavu kabisa kuhalalisha udikteta wao against taifa huru la Ukraine.
Sio hawahawa wanawatishia Finland, Sweden, na Japan? Means wakiwamaliza Ukraine wanaonesha waziwazi watawatwanga na hao wengine! Haikutegemewa "wajamaa" Russia wangegeuka mafashisti na mafedhuli wakubwa hivi!
Tatzo lakufikirika!!!??Haki ya kujilinda ndio haki ya kushambulia? Unavamia nchi kwa tatizo la kufikirika?
Unafiki ni nini ?!!!Wao Urusi waliwahi kulaani na kuchukua hatua lini? Si wana hadi veto? Waliwahi kuitumia kwa manufaa ya nchi maskini ipi? Wanafiki tu hao kwa kuwa ni jambo lao lazima waongee kinafiki.
π
Mkuu wangu vipi tena ?!!We naye hujaelewa. Sijui kwa nini wakristo huwa hamna akili....
Wachache sana ndio tutakuelewa MKUUKuna kipindi marekani aliamua kumwaga maelfu ya makombora yake na kuua malaki ya wa Afghan wasio na hatia katika milima ya tora bora na miji mingine bila sababu yoyote
Wakati mwingine aliipiga Iraq na kuua mamia kwa maelf kwa kulipiza kisasi cha vita ya Ghuba
Wakati haya yote yanafanyika pamoja na yale yaliyoendelea kwenye nchi za kiafrika kama somalia, elitrea, sudan Libya n.k ambako marekani ana mkono wake huko
Waafrika na Duna nzima tulikua kimya tumetuliza WOWOWO zetu na mbaya zaidi hata huo "unaoitwa" umoja wa mataifa ulikua hauthubutu hata kutikisa WOWOWO lake kusema lolote
Leo wapalestina wanagongwa na mazayuni wa kiyahudi Dunia Afrika na "unaoitwa" umoja wa mataifa wamepumzisha WOWOWO zao na kuzifunga zipu kwa kutoongea chochote
@!!Leo ukrain anapigwa Marekani kageuka mtakatifu wa kumlaani mrusi kwa anachokifanya
@!! Leo ati umoja wa mataifa unaona kuna binaadam wanaonewa kila siku wanawashwa kuwaombea poo?
@ leo ati waafrika tunaamsha WOWOWO zetu na kuilaani urusi wakati aliyekua mwenyekiti wetu wa Au wakati ule Gadafi na yaliyokua makao makuu ya jeshi la Afrika wakati ule Libya linatembezewa kichapo na marekani na washirika wake sisi tuliufyata na kumuona marekani na Nato ni ma Mr. Right
Point[emoji109]Marekani kazivamia nchi nyingine kwa ajili ya maslahi yake na Urusi kaivamia Ukraine kwa ajili ya maslahi yake kwa hiyo hakuna mwenye tofauti hapo.
Sema Ukraine ni wazungu ndio maana unaona kelele zote hizo maana wao ndio wanajiona wana haki ya kuishi kwa amani kwa sababu wao ni bora kuliko wengine na nyinyi waafrika vilaza mnajifanya kuwa na uchungu nao.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Kufikikirika?!!!Haki ya kujilinda ndio haki ya kushambulia? Unavamia nchi kwa tatizo la kufikirika?
Labda hajayasikia ya HIROSHIMA NA NAGASAKI....Unazungumzia Japan hii iliopigwa silaha za maangamizi za Nuclear na Marekani ??
Watu wengine waajab sana mpaka mie huku CHAMWINO najua ishu ilikua inaelekea wapiKufikikirika?!!!
Yaani Ukraine kujiunga na NATO ni suala la kufikirika?!!! huh [emoji44][emoji1787]
ππ€£Watu wengine waajab sana mpaka mie huku CHAMWINO najua ishu ilikua inaelekea wapi
RUSIA kama taifa teule liendelee nalina haki yakujilinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kufikilika. Chanzo cha yote haya wala sio Ukraini wenyewe. Nyuma ya Pazia hii vita imechochewa zaidi na πΊπΈ USA. USA ana masilahi na hii Vita. Umoja wa NATO wanaiunga tu USA.Haki ya kujilinda ndio haki ya kushambulia? Unavamia nchi kwa tatizo la kufikirika?
Kwa hiyo Urusi kachochewa na US kuvamia Ukraine? Onyesha links inazo support tuhuma zako.Sio kufikilika. Chanzo cha yote haya wala sio Ukraini wenyewe. Nyuma ya Pazia hii vita imechochewa zaidi na πΊπΈ USA. USA ana masilahi na hii Vita. Umoja wa NATO wanaiunga tu USA.
Kwani Ukraine wamejiunga na NATO? Kuonyesha nia ya kujiunga na NATO, ( na NATO hawako tayari kuwakubalia kwa sasa), na kujiunga ni vitu viwili tofauti kabisa. Au wewe na Bwana Utam mnaona ni sawa?Kufikikirika?!!!
Yaani Ukraine kujiunga na NATO ni suala la kufikirika?!!! huh π²π€£
Siasa za kimataifa haziendeshwi kwa haki ya vitabu vya dini....ni uhuni wa kisomi....Kwani Ukraine wamejiunga na NATO? Kuonyesha nia ya kujiunga na NATO, ( na NATO hawako tayari kuwakubalia kwa sasa), na kujiunga ni vitu viwili tofauti kabisa. Au wewe na Bwana Utam mnaona ni sawa?