Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, the true meaning of a third world country!!Welcome to third world
😂 duu ukisikia nuksi ndo hii
Mkuu hiyo ilikuwa 2013 mpaka leo 2024 mgao ni wa moto kama jana na juzi.😂 duu ukisikia nuksi ndo hii
Hii mbwa kala dog?Idara ya maji Wanasema maji hamna kwasababu umeme hamna mitambo haipandishi maji kwenye matenki, na tanesco wanasema umeme hamna kwasababu maji hamna
Shebe na shabaniIdara ya maji Wanasema maji hamna kwasababu umeme hamna mitambo haipandishi maji kwenye matenki, na tanesco wanasema umeme hamna kwasababu maji hamna
Naomba kutoka nje ya mada kidogo....Kama ingekuwa sehemu za watu wawajibikaji kuna watu wangeondolewa kwenye nafasi walizonanzo maana hawatoshi.
Kweli na mvua hizi lakini maji hayatoki?
Nani yuko responsible?
na updated 2021Mkuu hiyo ilikuwa 2013 mpaka leo 2024 mgao ni wa moto kama jana na juzi.
Maji ya mvua hayakuingia kwenye mabwawa yanayozalisha umeme?Idara ya maji Wanasema maji hamna kwasababu umeme hamna mitambo haipandishi maji kwenye matenki, na tanesco wanasema umeme hamna kwasababu maji hamna
Alien 👽Naomba kutoka nje ya mada kidogo....
Je, mmenotisi kuwa mvua zimenyesha na kutoa maji meusi? Ni nini kiko huko angani?
Ni Matapeli😂 😂 😂 😂
Umelowa 😁😂🤣Umeme hamna! nimelala mchana nimeloanisha shuka.
Naunga mkono hojaNi MatapeliView attachment 2890784
Hii kitu mbona ni kweli ?? Binafsi nimeshuhudia maji ya mvua yaliyokingwa yakiwa ni meusi nilipuuzia ila baada ya kuona umeandika nimeshtukaNaomba kutoka nje ya mada kidogo....
Je, mmenotisi kuwa mvua zimenyesha na kutoa maji meusi? Ni nini kiko huko angani?