Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hi🤣🍻 let's have a beer nasikia unatafuta mtu wa kula hela zakoAlien 👽👽👽
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi🤣🍻 let's have a beer nasikia unatafuta mtu wa kula hela zakoAlien 👽👽👽
Na tutamkumbukaBado hamjasema. Mpaka mseme.
Cc Maghayo
Haya hata wananchi wenyewe ni tatizoKwa sababu sisi ni dunia ya ulimwengu wa tatu, hatuna sababu za kulalama...its obvious kwamba basic needs kwetu ni anasa.
Yaani gari, maji, umeme, nyumba nzuri, ac...nk ni anasa...yaani hata chakula bora tu ni anasa, hata kula matunda ni anasa. Dunia ya tatu!
Wahuni wameshika nchi...Uhuni tu.
tz pakisenge
Umeme maji hakuna kitu gani hiki maaaaamaaeeee kwa sauti ya Maghayo
Unawaonea inatakiwa uwaondoe fisiemu chama madarakani. Manake wameshindwa kaziKama ingekuwa sehemu za watu wawajibikaji kuna watu wangeondolewa kwenye nafasi walizonanzo maana hawatoshi.
Kweli na mvua hizi lakini maji hayatoki?
Nani yuko responsible?
Dah poleni sana the 99% hand to mouthUmeme maji hakuna kitu gani hiki maaaaamaaeeee kwa sauti ya Maghayo
Huko huko pakisenge wageni wanaona fursatz pakisenge
ila nimeona fursa huku
Oya mazee lakn mbona maeneo mengine huku maji tiririka tu na umeme upo
Halafu mtu anadanganywa na makonda anakubali. Waache wakandamizwe c ndo kuisoma namba kwenyewe hukoKama ingekuwa sehemu za watu wawajibikaji kuna watu wangeondolewa kwenye nafasi walizonanzo maana hawatoshi.
Kweli na mvua hizi lakini maji hayatoki?
Nani yuko responsible?