ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Sasa fala kama ww hujaona fursa Bongo! Tukusaidieje!?Huko huko pakisenge wageni wanaona fursa
Na suti zao piaUkiwaona viongozi na misafara yao utadhani watu makini sana kumbe hamna kitu
Huo utaweza kuwa sawa na yale maajabu ta dunia,wapo wanaowaza ikitokea mradi wa magenereta,na plant za umeme wa dharura zitadodaπ
πππHiπ€£π» let's have a beer nasikia unatafuta mtu wa kula hela zako
Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa hadi walio penile yangu wameshangaa.Sasa fala kama ww hujaona fursa Bongo! Tukusaidieje!?
Ww endelea kuosha vyombo na kutunza vizee huko. Ila nikwambie kitu.
Vizee vinavyokufa vinaweza vikakuachie account yenye vyente. Komaa
Kwangu mimi hawa ndio washamba kabisa, selfish, wao wanataka wale bila kujali wa chini yao wanaishije.Wahuni wameshika nchi...
Sowπππ