GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwamba Mwanaume hupaswi Kuchelewa kuwa na Mtoto na kwamba unatakiwa kuwa na Mtoto kuanzia Umri wa Ujana na kwamba ukiwa na Miaka kuanzia 45 kwenda mbele hadi 50 au 55 hapo ukipata Mtoto wako wa Kwanza utaitwa Mchelewaji wa kuwa na Mtoto na kwamba hutoweza Kumlea vizuri na sijui atakuwa anakuita Babu na siyo Baba kama wanavyoitwa Wengine waliowahi Kuzaa wa Kwao.
Halafu ni waswahili haw hawa ambao leo hii wanakucheka na kukusema vibaya kuwa unachelewa Kuzaa Mtoto / Watoto ila ukiwahi Kuzaa Mtoto / Watoto kama watakavyo (ili uwafurahishe ) na kushindwa Kuwalea vyema hao hao wanaanza Kukukalia Vikao na Kukucheka na kukuambia nani alikuambia uwahi Kuzaa ( kuwa na Familia ) kama uliona huna Uwezo wa Kulea na Kuhudumia?
Ndiyo maana Kutwa ninasema hakuna Watu WANAFIKI duniani kama Watanzania na ukiwasikiliza tu Wao umeumia.
Halafu ni waswahili haw hawa ambao leo hii wanakucheka na kukusema vibaya kuwa unachelewa Kuzaa Mtoto / Watoto ila ukiwahi Kuzaa Mtoto / Watoto kama watakavyo (ili uwafurahishe ) na kushindwa Kuwalea vyema hao hao wanaanza Kukukalia Vikao na Kukucheka na kukuambia nani alikuambia uwahi Kuzaa ( kuwa na Familia ) kama uliona huna Uwezo wa Kulea na Kuhudumia?
Ndiyo maana Kutwa ninasema hakuna Watu WANAFIKI duniani kama Watanzania na ukiwasikiliza tu Wao umeumia.