Filamu ya Royal Tour Ingezinduliwa Tanzania Badala ya Marekani kuepuka gharama

Nadhani awajatengeneza movie iyo kwa ya Tanzania, ni kwa ajili ya dunia kutambua kwetu tuna nini!

Binafsi, naona wako sawa kuizindua marekani...
 
Timing ni mbaya.

Kwasasa Vita vya ukaraine ndio ina make headlines.

Hiyo filamu haitapata attention inayokusudiwa.

Angesubiri basi hata vita iishe. Uchumi uimarike aiachie haraka ya nini??
Vita ya Ukraine haina headline ya maana Sasa hivi. Maisha lazima yaendelee. Waje tupate hela za kigeni.
 
Nadhani awajatengeneza movie iyo kwa ya Tanzania, ni kwa ajili ya dunia kutambua kwetu tuna nini!

Binafsi, naona wako sawa kuizindua marekani...
Kama ni kwa ajili ya Dunia basi sio lazima iwe marekani hata hapa pia ingefaa tu.
 
Au huna habari kuna mamia ya watalii toka Ukraine walikwama hapa.

Hapa nazungumzia attention ya dunia iko wapi kwa sasa.

Watu wanapambana na vita na madhara yake na korona pia.

Wrong timing again.
Marekani watu hawafuatilii sana vita, wako busy sana kufanya kazi. Mwitikio ni mkubwa sana. Kule marekani kila mahali Bahamas wameweka video zao na wanaongoza kwa utalii maeneo ya Caribbean yote. Acha na sisi tuchangamkie fursa. Video iende viral.
 
Marekani watu hawafuatilii sana vita, wako busy sana kufanya kazi. Mwitikio ni mkubwa sana. Kule marekani kila mahali Bahamas wameweka video zao na wanaongoza kwa utalii maeneo ya Caribbean yote. Acha na sisi tuchangamkie fursa. Video iende viral.
Sidhani kama tutafikia malengo wakati huu korona ikiwa imeshika kasi.
 
Walengwa ni wageni toka Ulaya na Marekani,sasa ikizinduliwa Tz hao walengwa wataijuaje?
 
Yani filamu ya bilioni 7 ukazindue mlimani city?

Walengwa ni watalii wa nje
 
Walengwa ni wageni toka Ulaya na Marekani,sasa ikizinduliwa Tz hao walengwa wataijuaje?
Basi ipo haja ya kwenda Ulaya pia ili malengo yatimie maana watalii hawapo marekani pekee.
 
Huu ndio muda mzuri maana watu wanataka kuondoka kule, restrictions za Corona hawazitaki.
Huu sio muda mzuri maana kuna travel restrictions.

Hata hivyo bado Marekani sio suitable choice maana Marekani imekataza Raia wake kuja kutembelea tanzania kwakua kuna janga la korona.

Sasa unakwenda kuzindua filamu kwa watu ambao hawataki kuja kwako??

Angalia website ya Ubalozi wa marekani hapa.

Tanzania ipo level 4. Kwamba mtu hatakiwi kuja hapa.

 
Eti kibwengo 😂
 
Hata hivyo Putin anachukua Nobel prize mwaka huu kwenye medicine maana ameimaliza Corona duniani kwa kuivamia Ukraine.

Usiogope, watalii wanakuja kutoka marekani. Kule ndio kuna watu wenye hela za kutumia for fun.
 
Hata hivyo Putin anachukua Nobel prize mwaka huu kwenye medicine maana ameimaliza Corona duniani kwa kuivamia Ukraine.

Usiogope, watalii wanakuja kutoka marekani. Kule ndio kuna watu wenye hela za kutumia for fun.
Wamarekani hawawezi kuja kwakua wanaisikiliza serikali yao iliyowaambia kuwa hapa Tanzania kuna Korona, Ugaidi na pia hatuzingatii haki za Mashoga.

Au huelewi kingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…