Filamu ya Royal Tour Ingezinduliwa Tanzania Badala ya Marekani kuepuka gharama



Watalii wapo USA wewe unataka ifunguliwe Dodoma? Jiulize Ndugai ndiyo wa kwenda kutalii !!
 
Wamarekani hawawezi kuja kwakua wanaisikiliza serikali yao iliyowaambia kuwa hapa Tanzania kuna Korona, Ugaidi na pia hatuzingatii haki za Mashoga.

Au huelewi kingereza.
Wamarekani wanaokuja hapa Tanzania ni wengi sana hasa blacks. Nenda bunju uone walivyochukua majumba ya kifahari.

Marehemu magufuli kupitia waziri wake wa mambo ya nje alitoa tamko kumpinga makonda kwamba serikali haihusiki kuzuia mashoga.
 
Sijui viongozi wetu wanafikiria nini ila haipendezi kuzindua Filamu huko ughaibuni kwa mapesa mengi

Pesa inayowekwa mezani na makampuni makubwa ya KiMarekani ni nyingi mno na walengwa ni watu wa kipato cha juu Marekani ya Kaskazini. Channel kubwa kama Amazon Prime, Apple TV+, Disney n.k bajeti zao zinazidi pato la nchi masikini huku zikiwa zimedhamimiwa matangazo na kampuni kubwa zenye bajeti nono kuzidi nchi zinazoendelea.

Ubora wa vyombo vya uhakika vya mawasiliano TEHAMA mafundi kurusha matangazo bila chenga, wageni waalikwa wanaofahamika huko celebrity , social influencers Kaskazini ya dunia hii n.k n.k

Sababu ni nyingi itoshe kusema hizo tatu hapo juu zinatosha kuonesha kuwa tukio hili linafaa kufanyika huko Marekani kwa faida ya wadau wote ikiwemo Tanzania

Pia tofauti ya masaa sijui tukio hilo lingefanyika saa ngapi Tanzania ili wale walengwa potential tourist toka Marekani wangetizama tukio hilo muda gani.


"Tanzania : The Royal Tour" Premiering on public television stations across the U.S. beginning April 18th 2022

Tanzania: The Royal Tour, the latest in a series of global television events, hosted by Peter Greenberg with the President of Tanzania Samia Suluhu Hassan as his very special guide. An epic journey through this remarkable country through the eyes of its leader.


Source : Tanzania: The Royal Tour - Peter Greenberg Travel Detective
 
 
Halafu katikati ya muda ambao attention ya watu ipo kwingine.

Nenda kampe support "mama".
Mimi niliitwa kwenda kuongea na Kikwete nyumbani kwa balozi, nikakataa.

Sitaki ujinga.
 
Hakukuwa na haja ya kucheza hii sinema kwanza , tungeweza kutangaza utalii kwa njia zingine tu.

Halafu unatangaz utalii huku unaleta kesi za abunuwasi kuwa kuna ugaidi Tanzania , kesi hii japo imefutwa ni doa kubwa .
 
Kikwete hajawahi kuacha kusafiri wala kubana matumizi.

Kivuli hufanana ma mwenye kivuli.

Hawa ni waumini wa "ILI ULE LAZIMA ULIWE" hivyo wanaamini ni lazima kulamba ASALI ili kupata ASALI!!!
 
Meanwhile Russia wanapambana hela yao isishuke thamani.Africa,Africa,Africa.
 
Mkuu inaonekana unapata tabu sana na mimi.

Nikushauri tu uniignore.

Kwakua huna mamlaka ya kunipangia cha kufanya zaidi sana utaendelea kuumia tu.

Nizoee au nipotezee.
Sasa wewe mbona unachojibu ni irrelevant? Ukisoma between the lines wewe ndio unapata tabu.
 
Meanwhile Russia wanapambana hela yao isishuke thamani.Africa,Africa,Africa.
Africa ni matumuzi yasiyokuwa na tija na tukitoka hapo mikopo na misaada.
 
Mama anataka watu wa system wale ili 2025 waone yeye bora abakie kuliko kuleta mtu wasiyemjua. Kiufupi anahonga kwa kutengeneza expenditures.
 
Naam, ingezinduliwa kwenye kitovu cha utalii, Chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…