Filamu ya Royal tour ni janja ya mabeberu kujipatia pesa kupitia sekta ya utalii

Filamu ya Royal tour ni janja ya mabeberu kujipatia pesa kupitia sekta ya utalii

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?

Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.

Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?

Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.

Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
 
Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?

Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.

Mabeberu waliopo hukon Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?

Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taif letu lingepata pesa.

Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Huo ndiyo ukweli mchungu...
Na walitoa maagizo... waondoeni wale watu kutoka Ngorongoro. Mle tunataka tuporomoshe mahoteli! Kama pesa za kuwajengea makazi mapya tutawapa. Jiulize zile pesa za kuwajengea wa Maasai kule Handeni zimepitishwa na bajeti gani? Bunge lipi?

#Utalii ni kwa ajili ya #Watalii
 
Huo ndiyo ukweli mchungu...
Na walitoa maagizo... waondoeni wale watu kutoka Ngorongoro. Mle tunataka tuporomoshe mahoteli! Kama pesa za kuwajengea makazi mapya tutawapa. Jiulize zile pesa za kuwajengea wa Maasai kule Handeni zimepitishwa na bajeti gani? Bunge lipi?

#Utalii ni kwa ajili ya #Watalii
Ununuzi wa dreamliner mbili lilikaa bunge la chato kupanga eh?
 
Sukuma gang tulieni basi. Mwacheni mama aijenge nchi....


Au mnataka naye ale mahindi barabarani na kununua jogoo kwa laki moja???
Wewe ni zero brain. Rais hajengi nchi, nchi inajengwa na wananchi.

Ukisikia wapi nchi imejengwa na Rais?

Hii nchi ndio maana hatuendelei pamoja na rasilimali zote tulizonazo. Nchi imejaa na watu mataahira ambao wamekaa tu wanasubiri rais awajengee nchi.
 
Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?

Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.

Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?

Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.

Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Hiyo documentary iko full funded na hao unaowaita mabeberu maana wewe ni jike subiri upandwe tu.

Nyinyi kima wa Sukuma gang tumeshawachoka, utawala wenu wa kifashisti ulishaangushwa rasmi na Mungu wa kweli aliye hai, na kumbuka haitokaa itokee tena kamwe nchi hii kukabidhiwa kwa washamba, tumeshajifunza.

FB_IMG_1650274177234.jpg
 
Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?

Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.

Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?

Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.

Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Wewe unaishi dunia ya kizamani sana
 
Waafrika huwa hatuamini kutumia hela ili kupata hela nyingi hivi unajua kazi ya PROMOTION, ADVERTISEMENT,MARKETING
 
Waafrika huwa hatuamini kutumia hela ili kupata hela nyingi hivi unajua kazi ya PROMOTION, ADVERTISEMENT,MARKETING
Kwani promo lazima ifanyike kwa kushoot filamu pekee? Kama ni ishu ya promo?
 
Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?

Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.

Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?

Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.

Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Unazani kwa nini nchi kama Hispania inapokea watalii zaidi ya million 30 kwa mwaka? Wana hifadhi ngapi?;
 
Back
Top Bottom