Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #21
Clarify..Unazani kwa nini nchi kama Hispania inapokea watalii zaidi ya million 30 kwa mwaka? Wana hifadhi ngapi?;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clarify..Unazani kwa nini nchi kama Hispania inapokea watalii zaidi ya million 30 kwa mwaka? Wana hifadhi ngapi?;
Hivi vivutio lazima vitangazwe (kumbuka sio vyote vinafahamika) ili kuongeza watalii wengi zaidi.Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?
Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.
Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?
Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.
Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Wajinga na wapuuzi huwa hamkosekani..Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?
Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.
Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?
Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.
Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
kwani hukuona kma zilitumika 7b lkn sio pesa za watz hlf sio 11b kma unavosema wwNi mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?
Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.
Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?
Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.
Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Mawazo yako yanapotosha, unafkiri coca cola au pepsi,au vodacom wanapotumia mabilioni kujitangaza hizo bidhaa hazifahamiki, advertisement kwenye targeted market ni aspect muhimu sana katika biashara, hivyo hivyo katika utalii, nchi nyingi zina vivutio vya utalii,usipojiongeza kwa namna kama hii,ukalala tu na safari channel, wengine watachukua hizo fursa,hasa majirani zetu,wenzako hawalali, hi ni do or die business na inafaida kubwa sana kwenye forex etc, so kutumia hizo fedha kwa jambo ambalo return yake ya investment ni kubwa ni jambo la kumpongeza sana Mama kwa ubunifu na jitihada hizi.tuwe na maono ya maendeleo na kibiashara zaidi na kuacha mambo ya "kihafidhina"Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?
Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.
Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?
Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.
Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Kwani kujitangaza lazima tushoot royal tour?Mawazo yako yanapotosha, unafkiri coca cola au pepsi,au vodacom wanapotumia mabilioni kujitangaza hizo bidhaa hazifahamiki, advertisement kwenye targeted market ni aspect muhimu sana katika biashara, hivyo hivyo katika utalii, nchi nyingi zina vivutio vya utalii,usipojiongeza kwa namna kama hii,ukalala tu na safari channel, wengine watachukua hizo fursa,hasa majirani zetu,wenzako hawalali, hi ni do or die business na inafaida kubwa sana kwenye forex etc, so kutumia hizo fedha kwa jambo ambalo return yake ya investment ni kubwa ni jambo la kumpongeza sana Mama kwa ubunifu na jitihada hizi.tuwe na maono ya maendeleo na kibiashara zaidi na kuacha mambo ya "kihafidhina"
Hizo pesa nyingi Sana aisee bora wangewapa ruzuku viwanda vya matrekta wazalishe kisha wawauzie wakulima bei cheeNi mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?
Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.
Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?
Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.
Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
CAG anaimba ngojera hana meno ya kuwafanya wapigajiTunasubili Report ya CAG IJAYO ITAKAVYO SIFIA MATUMIZ YA PESA ROYAL TOUR YALIVYOKUWA VZR
Asprin hizo kauli zenu Mama Samia asipo zikemea ni za hatari mno. Nakumbuka hata Rwanda watusi waliitwa cockroach, na hakika waliuawa wengi. Tanzania hakuna kitu kama hicho na kama mnataka kiwepo mjue wasukuma wapo wengi na wakiamua hata kujitenga na kuwa na nchi yao inawezekana kabisa. Nadhani ni muda muafaka Mama Samia kujitokeza kukemea kauli za kibaguzi. Kama atakaa kimya atakuwa rais wa kwanza kuchochea ukabila ingawa juzi hapa katoa kauli mbaya eti Dkt Magufuli alikuwa mdini na mkabila, yaani inasikitisha sana mpaka machozi.Sukuma gang tulieni basi. Mwacheni mama aijenge nchi....
Au mnataka naye ale mahindi barabarani na kununua jogoo kwa laki moja???
Aaah wapi hakuna kitu kama Hicho Sukuma Gang ni kikundi Cha wahuni wachache tu Tena wengine wakiwa wangoni na wamatumbi Hiyo title isikutishe mbona Kuna wasukuma Og nawajua wanaikaandia Hilo genge la Mwendazake?Asprin hizo kauli zenu Mama Samia asipo zikemea ni za hatari mno. Nakumbuka hata Rwanda watusi waliitwa cockroach, na hakika waliuawa wengi. Tanzania hakuna kitu kama hicho na kama mnataka kiwepo mjue wasukuma wapo wengi na wakiamua hata kujitenga na kuwa na nchi yao inawezekana kabisa. Nadhani ni muda muafaka Mama Samia kujitokeza kukemea kauli za kibaguzi. Kama atakaa kimya atakuwa rais wa kwanza kuchochea ukabila ingawa juzi hapa katoa kauli mbaya eti Dkt Magufuli alikuwa mdini na mkabila, yaani inasikitisha sana mpaka machozi.
Hakuna mtalii asiyeijua tanzania.wapunguze gharama za kutalii nchini watajaa wataliikwani Marketing specialist wanasemaje katika hili?
Bil 11 ni bei chee sana kutangaza kwenye TV za Marekani au Ulaya. Tena TV za Marekani zina masharti magumu sana mpaka wakubali matangazo yako.Ni mtalii gani asiyefahamu vivutio vya utalii vya hapa nchini kwetu eti mpaka aone kupitia filamu ya royal tour ndio avutike kuja hapa nchini?
Mbona watalii wa kila aina kuanzia wenye kipato cha juu mpaka cha chini walikuwa wanatembelea taifa letu kwa wingi tu? Mfano matajiri wakubwa kama Roman Abromovich na Mukesh Ambani, marais Bill Clinton na mastaa kibao wa dunia hii walishatia mguu kutembelea mbuga za wanyama hapa nchini bila hata kuvutiwa na royal tour.
Mabeberu waliopo huko Usa wao ndio watutafutie soko sisi watanzania? Bureee?
Hizo bil 11 zilizotumika kushoot royal tour ni upotevu wa pesa tu. Watalii wangekuja bongo bila hata ya filamu ya royal tour na taifa letu lingepata pesa.
Mabeberu wamepata mwanya wa kutufanya mazoba.
Wenye akili wameelewa, utakuja sikia hizo kauli zitapigwa stopAaah wapi hakuna kitu kama Hicho Sukuma Gang ni kikundi Cha wahuni wachache tu Tena wengine wakiwa wangoni na wamatumbi Hiyo title isikutishe mbona Kuna wasukuma Og nawajua wanaikaandia Hilo genge la Mwendazake?
Eti Rwanda nyeeee nyeeee
Gwa Newyorkoooooo jaribuni kuleta choko choko mtapata Kipigo Cha mbwa Koko!
Serikali Ina mambo mengi ya kufanya kwahiyo usidhani watadili na Hilo jambo lako unaloliota kwenye njozi zako za kutisha kwanza amka usije jikojolea kitandani!Wenye akili wameelewa, utakuja sikia hizo kauli zitapigwa stop
We ulitaka tukupe megafone utembee mtaani kutangazaKwani promo lazima ifanyike kwa kushoot filamu pekee? Kama ni ishu ya promo?