Finally,nimeamua kufunguka....

Hebu nibadilishie mwandiko huko. Mi pata tabu kusoma wewe......

Afu hebu niambie yule akaunta wa pale Rest In Peace bado yupo?

Mwambie June siyo mbali eti.

huo ni mwandiko wa mapenzi....
he he.....fanya haraka kabla mvua hazijaisha.......
 
huo ni mwandiko wa mapenzi....
he he.....fanya haraka kabla mvua hazijaisha.......
Umenena vema, hakikisha taarifa hizi hazimfikii Filipo popote pale alipo.

Ukimwona Lily Flower mwambie kwanini hajibu sms zangu eti? Kwani kikombe alichonipa papa sitakinywa?
 
Last edited by a moderator:
There are currently 53 users browsing this thread. (19 members and 34 guests)

nyie 34.....mnachungulia nini hapa?......haya sasa hivi..... ingieni mmoja mmoja......hatutaki umbea......
 
braza umesemaje hapo......?hebu come again?!.....

mzuka unataka kunipanda sasa
Umesahau enzi za Nipigieeeeeeeeeeeeeeeeeeee....
Ntakupigia haaaniii.........
Mi na wewew ni kitu kimooooooooojaaaaaaaaa!!

Where is carmel when I need her the most?

Lakini ndyooo vileeee tena

'!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'
 
There are currently 53 users browsing this thread. (19 members and 34 guests)

nyie 34.....mnachungulia nini hapa?......haya sasa hivi..... ingieni mmoja mmoja......hatutaki umbea......
Hahahaha, makavu laivu!
 
Umenena vema, hakikisha taarifa hizi hazimfikii Filipo popote pale alipo.

Ukimwona Lily Flower mwambie kwanini hajibu sms zangu eti? Kwani kikombe alichonipa papa sitakinywa?


hala nawe ukumbukeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

3-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
 
hahahahahahahahahahahahhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaah!

yaanii wakaaaaaaaaaaaaaaaaaa


KABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANG!....chezeeeiyaaaaaaaaaaa nini weweeeeeeeeeeeee.!
 
Sasa mbona unnamchanganya? we si ulisema huoni kwanini amekutaja? sasa anatoa unataka arudishe? jibu swali hili: Unamkubali snochet kama member wa familia yako hapa JF? (Yes I do au No I don't, lol)

Sema wewe Mwali, tukisema siye watu8 tutaambiwa tupo wengi...
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahahahahahahhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaah!

yaanii wakaaaaaaaaaaaaaaaaaa


KABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANG!....chezeeeiyaaaaaaaaaaa nini weweeeeeeeeeeeee.!

Ngoja nikuitie bht ndo kitaeleweka..........

Kaaaazi ni Kwakooooooooo

YATOSHA!!
 

Dogo snochet mpaka kiranja kaku approve, haya bwana kila la kheri...
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikuitie bht ndo kitaeleweka..........

Kaaaazi ni Kwakooooooooo

YATOSHA!!

hahahahah!mpwa unaharibu sredi yetu mama....!

halafu kumbuka kwambaaa eeeeeeeh 11-INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!
 

Hahahaah si unajua tena....


6-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).

7-KWAKUZINGATIA SHERIA NAMBA 7 TAJWA HAPO JUU-infidelators watakaoingia kwenye NEC ni wale waliooa/olewa tu!wengine hao wanakuwa members tu kwasababu tunawajali sana zaidi ya hapo HAWANA KURA YA VETO

8-INFIDELATORS/INFIDELETEES watahakikisha wanapigana kufa na kupona kuzilinda na kuzitetea ndoa za infidelators/infideletees wenzao!(ndoa na iheshimiwe na watu wote).naomba hii sheria muiangalie kwa umakini mkuu!hakikisha kufa kupona unafanya unaloweza kuhakikisha ndoa ya mwanachama haitetereki.
 
Hahahah mpwa kumbe nawe umeiona ...hii Avatar ni kama vile ilikuwa imevundikwa mahali na sasa imekwivaaa kama embe bolibo

hahahahahahahahahahahahhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaah!

yaanii wakaaaaaaaaaaaaaaaaaa


KABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANG!....chezeeeiyaaaaaaaaaaa nini weweeeeeeeeeeeee.!
 
hahahahahahahahahahahahhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaah!

yaanii wakaaaaaaaaaaaaaaaaaa


KABAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANG!....chezeeeiyaaaaaaaaaaa nini weweeeeeeeeeeeee.!

Teamo vipi tena baba!?@asprin anakukumbusha nini?!?Siku hizi amekuwa bazazi..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…