Finally,nimeamua kufunguka....

hahahahah!mpwa unaharibu sredi yetu mama....!

halafu kumbuka kwambaaa eeeeeeeh 11-INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!

Siyo mimi bali ni Kaizer

Kama umeoa/umeolewa......

Halafu Una hobby na ''mipango ya kando''......

TAFADHALI NAOMBA TUSIWE NA TABIA YA KUWEKA JEALOUSY DHIDI YA MIPANGO YA KANDO....!Haiingii akilini mwa mtu kwamba unatengeneza ''JEALOUSY'' ya level ya juu kabisa kwenye mipango ya kando ilhali unajua kuwa:

-MPANGO WAKO WA KANDO NI MKE/MUME WA MTU

-SIO KWELI KWAMBA ON A SERIOUS SCENARIO MTU UNAWEZA MPENDA MKE/MUME WA MTU IL HALI UNA MUME/MKE UMEMWACHA NYUMBANI!


mi nadhani hii mipango ya kando (kwa wenye hobby na nguvu za kumudu) tuwe tunashea ''kwa amani'' bila wivu....!kwamba leo wewe kesho na mimi pia BILA WIVU!na ukiniona we potezea tu maisha yaendelee au vipi?

habari ndo hiyo.....!kudadadadek

narudi kwa
-mkoloni wa amani
-mkoloni Ti
-mkoloni pikap
-mkoloni RaV4
-mkoloni stalet
-mkoloni gx100
-mkoloni eskudo
-wivu premio
 
Last edited by a moderator:
Teamo vipi tena baba!?@asprin anakukumbusha nini?!?Siku hizi amekuwa bazazi..

Sisi ndio wanaume banaaaa!

 
Naona kama umekosea sehemu ya kufungukia, ungekuja kwenye
White party ndio ungejua umekosea njia..
hapa jf kuna mijimama, mipashkuna, suburi uongeze umri kidogo
 
CC: Teamo, Carina TI, Bigirita, GY, Asprin, Kaizer, @R R, Kimey

Over and Out.
 
Last edited by a moderator:
Naona kama umekosea sehemu ya kufungukia, ungekuja kwenye
White party ndio ungejua umekosea njia..
hapa jf kuna mijimama, mipashkuna, suburi uongeze umri kidogo
Hebu tutake radhi..Kwa hiyo wanawake wa jf ni mipashkuna,mijimama?!??really?! na sample yako ni sisi tuliokuwa white party?!
mimi binafsi umenikosea heshima sijui wengine..
Paloma Asprin watu8 Madame B Mtambuzi etc
 
Last edited by a moderator:
hongera Mungu akupe kile alichoomba toka kwake kila la kheri, ila sijafurahishwa kunimention hapo, sijui kwanini umefanya hivyo lakiini yote ni kheri ondoa shaka kwa hilo

ubarikiwe
Inauma sana mtu anatafuta mwanamke wakati wewe anakuona..lol
 
ahahahahah!ascending or descending order?........i mean GY yupo kweli?

weeeeuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.........!unatakaaaaaaa niniiiiiiiiiii?
Hahahahahahaa...............Generation Y pambafu zake...!!
Dereva Taxi siku hizi ni mzee wa kurudi mwenyewe kimya kimya.
Mzee ya wivu mwingi naona ameanza kijiachia taratiiibuuu!!!!

Unatakaaaaaaa............Aseeeeee siku hizi Eliza yupo Uwanjani kwenye mdudu choma.

Umemsikia Preta? amesema anataka nini tena???.....hebu fanyeni miundo mbinu jamani.
 
Last edited by a moderator:
heh!.....kwan we dhaman ulikuwa unatumia aiidii gani?
Hawa ndo wale walikuwa wanakuja kukaa kaunta pale kwa mzee wa Unataka nyonyo...wanatuangalia wanaogopa wanatambaa zao.
watu8 mbona unajificha bana!! nini mbaya ariffeyyy!!!
 
Last edited by a moderator:
preta amesema anaCUM now now.............!heheheheh
 

Hapa utamsababishia usumbufu dogo wa watu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…