CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Mabenki wanaweza wapatia wateja wao kila aina ya elimu ila sio Financial educaion, hio hawawezi itoa hata kwa bunduki make wanajua itawakosesha wateja wengi sana.
Na ukweli ni kwamba upigwaji kwenye mikopo ni kwa sababu watu hatuna elimu ya kifedha hilo ndio tatizo, hakuna tatizo jingine. Asilimia kubwa ya wakopaji hawana hiyo elimu na Mabenki hawataki kabisa watu waipate.
Mtu anakopa ukianza kumuuliza maswali unaona kabisa hapa kuna shida kubwa sana.
Kuna Project moja tulikuwa tunafanya na NGO moja kubwa sana, sasa ikawa inahusu kufanya kazi na Benki mojawapo kubwa sana Tanzania. Project ilihusu pia kutoa elimu ya kifedha kwa wanavikundi then wawe linked na Benki kwa ajili ya Saving na Loan, Sasa kwenye swala la Financial education hapo Benki wakakataa wakasema itolewe tu Financial linkage education na tuachane na Financial education.
Hawakuweka wazi sababu za kukataa Financial education ila tulijua tu sababu ni itaenda kinyume na siri zao za kukopesha.
Kwenye kukosa elimu ya kifedha hapo ndio Mabenki na hizi taasisi zingine zinazotoa mikopo wanakotajirikia. Ukiona walimu sijui wafanyakazi wanalia lia na mikopo kisa ni Financia education hawakuwa nayo na wangekuwa nayo wangeweza hata kughairi kwenda kukopa pesa.
Mabenki wanaweza toa sana elimu za ujasiriamali ila sio elimu ya kifedha.
Ni elimu inayopaswa kutolewa sana kwenye jamii hasa walimu ambao ni wahanga wakuu wa mikopo, shida nani anatoa hio elimu?
Na ukweli ni kwamba upigwaji kwenye mikopo ni kwa sababu watu hatuna elimu ya kifedha hilo ndio tatizo, hakuna tatizo jingine. Asilimia kubwa ya wakopaji hawana hiyo elimu na Mabenki hawataki kabisa watu waipate.
Mtu anakopa ukianza kumuuliza maswali unaona kabisa hapa kuna shida kubwa sana.
Kuna Project moja tulikuwa tunafanya na NGO moja kubwa sana, sasa ikawa inahusu kufanya kazi na Benki mojawapo kubwa sana Tanzania. Project ilihusu pia kutoa elimu ya kifedha kwa wanavikundi then wawe linked na Benki kwa ajili ya Saving na Loan, Sasa kwenye swala la Financial education hapo Benki wakakataa wakasema itolewe tu Financial linkage education na tuachane na Financial education.
Hawakuweka wazi sababu za kukataa Financial education ila tulijua tu sababu ni itaenda kinyume na siri zao za kukopesha.
Kwenye kukosa elimu ya kifedha hapo ndio Mabenki na hizi taasisi zingine zinazotoa mikopo wanakotajirikia. Ukiona walimu sijui wafanyakazi wanalia lia na mikopo kisa ni Financia education hawakuwa nayo na wangekuwa nayo wangeweza hata kughairi kwenda kukopa pesa.
Mabenki wanaweza toa sana elimu za ujasiriamali ila sio elimu ya kifedha.
Ni elimu inayopaswa kutolewa sana kwenye jamii hasa walimu ambao ni wahanga wakuu wa mikopo, shida nani anatoa hio elimu?