Financial freedom: Shilingi bilioni 1 inaweza kumfanya mtu mwenye nidhamu ya pesa aishi maisha standard mpaka 2060?

Financial freedom: Shilingi bilioni 1 inaweza kumfanya mtu mwenye nidhamu ya pesa aishi maisha standard mpaka 2060?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Muhimu: thamani ya pesa inashuka kulingana na muda, shilingi 50 ya 2000 ilikuwa nauli ya daladala kwenda na kurudi lakini hauwezi fananisha na ya 2020 onayonunua pipi moja tu.

Ikiwa mtu ana sifa hizi.

Kashajenga

umri miaka 35....

watoto wanne: first yupo la tano, second yupo la nne, third yupo la kwanza, fouth yupo tumboni.

Nidhamu ya pesa -

magari mawili ya Toyota yasiyozidi kwa pamoja milioni 60 yenye sifa ya kudumu

kula ni nyumbani badala ya hotelini

Kunywa ni mara chache, Bajet ya kinywaji haizidi laki 1 kwa mwezi

Mke, ndugu wala watoto wasijue chochote kuhusu hizo pesa, wao wajue una shughuli zako zinakuingizia kipato cha kawaida tu

Standard life nayomaanisha ni kwamba watoto wasome shule nzuri za private lama saint marys, nyumbani kuwe na mbogo saba daily, kuwe na vitoyota hata viwili vinavyodumu vya mke na mme, bia mbili ama tatu ila sio kila ni mara mbili tu kwa wiki.
 
Tia utt, kila mwezi kula 10M,

Utaishi mpaka 2100 ukiwa safe kabisa
Elezea usalama wa kuweka pesa uko UTT,kwamba sitotapeliwa mbele ya safari au kuja kuambiwa gawio halitapungua kwa miaka kadhaa mbele
 
Ikiwa mtu ana sifa hizi.

Kashajenga

umri miaka 35....

watoto wanne: first yupo la tano, second yupo la nne, third yupo la kwanza, fouth yupo tumboni.

Nidhamu kubwa ya pesa
Inatosha na kupelea juu,matumizi yako tu mkuu
 
Hio pesa ni ndogo sana ndani ya miaka mitano ukiwa mfungua zipu na vizibo
 
Ikiwa mtu ana sifa hizi.

Kashajenga

umri miaka 35....

watoto wanne: first yupo la tano, second yupo la nne, third yupo la kwanza, fouth yupo tumboni.

Nidhamu kubwa ya pesa
Naam inawekana kwa maama halisi ya nidhamu.
 
Kama kila mwezi utatumia millioni 2, chenji pia itabakia.
 
Ikiwa mtu ana sifa hizi.

Kashajenga

umri miaka 35....

watoto wanne: first yupo la tano, second yupo la nne, third yupo la kwanza, fouth yupo tumboni.

Nidhamu kubwa ya pesa -

Matumizi:

magari mawili ya Toyota yasiyozidi milioni 60 yenye sifa ya kudumu

kula nyumbani badala ya hotelini,

Kunywa ni mara chache, Bajet ya kinywaji haizidi laki 1 kwa mwezi
Ukitumia 100,000 kila siku.
Sawa na kujilipa mshahara wa 3,600,000 kila mwezi.
kwa miaka 27 utakua umetumia jumla ya 972,000,000 na unabakiwa na chenji kama 28,000,000 pesa ya madafu.
Upo nyonyo....😜
 
Financial discipline sio ubahili mkuu, Fikiria 1 billion ni sawa na million 1000, sasa pigia una siku na miezi mingapi kufika hiyo 2060 ?..

kiufupi sina hata robo ya hiyo bilioni moja Bank ila nina uhakika, nikiipata hiyo bilioni lazma niishi maisha ya kuendana nayo. Kwa hiyo kufika 2060 itakuwa uongo unless niruhusiwe kuikuza mkuu
 
Ukiwa na unatumia laki moja kila siku.

Itakuchukua miaka 27 na miezi kazaa kuimaliza bilioni moja

Ukiwa unatumia elfu 50 kila siku itakuhitaji miaka 55 kuimaliza bilioni moja
 
Ukiwa na unatumia laki moja kila siku.

Itakuchukua miaka 27 na miezi kazaa kuimaliza bilioni moja

Ukiwa unatumia elfu 50 kila siku itakuhitaji miaka 55 kuimaliza bilioni moja
kuna kitu kinaitwa mfumuko wa bei, miaka kumi iliyopita sio kama leo
 
Ikiwa mtu ana sifa hizi.

Kashajenga

umri miaka 35....

watoto wanne: first yupo la tano, second yupo la nne, third yupo la kwanza, fouth yupo tumboni.

Nidhamu ya pesa -

magari mawili ya Toyota yasiyozidi milioni 60 yenye sifa ya kudumu

kula ni nyumbani badala ya hotelini

Kunywa ni mara chache, Bajet ya kinywaji haizidi laki 1 kwa mwezi

Mke, ndugu wala watoto wasijue chochote kuhusu hizo pesa, wao wajue una shughuli zako zinakuingizia kipato cha kawaida tu

Standard life nayomaanisha ni kwamba watoto wasome shule nzuri za private lama saint marys, nyumbani kuwe na mbogo saba daily, kuwe na vitoyota hata viwili vinavyodumu vya mke na mme, bia mbili ama tatu ila sio kila ni mara mbili tu kwa wiki.
Kwani umepanga kutumia sh ngapi kwa mwezi?
 
Musisahau thamani ya pesa inashuka kulingana na muda, M1 ya 1999 Hauwezi Fananisha na Ya 2020 achilia mbali 24 ambayo sukar kg 6000
 
Back
Top Bottom