General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Vipi hivyo vyote vimefanyikaUnaweza kuwa unampenda sana Lisu ila huu mziki wa mwaka huu si wa kitoto kama wengi wanavyojifariji.
Vyama vingi sasa havina fedha, sheria zimeshatungwa...ukitukana unakamatwa, wagombea wengi afya mgogoro.. hata kwa ndege hawawezi kuizunguka nchi kuomba kura...sera hawana..maana karibu vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa vimefanyika... majimbo mengi ya upinzani hakuna kilichokifanya ( na wao wanajua).
UKIACHA JAZBA UKATAFAKARI KWA KINA...UTAKUBALIANA NAMI.
Kwa kuiba kuraHiyo pesa acha ije tu.wala hamna shida ila ushindi watausikia kwenye habari za michezo tu kwenye redio.
CHADEMA kazeni hapo hapo mpaka watu wale wakate roho.Wasalaam, Jamii Forums.
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.
BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.
Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Kwani nchi imeundwa kwa majimbo ya Upinzani tu?Unaweza kuwa unampenda sana Lisu ila huu mziki wa mwaka huu si wa kitoto kama wengi wanavyojifariji.
Vyama vingi sasa havina fedha, sheria zimeshatungwa...ukitukana unakamatwa, wagombea wengi afya mgogoro.. hata kwa ndege hawawezi kuizunguka nchi kuomba kura...sera hawana..maana karibu vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa vimefanyika... majimbo mengi ya upinzani hakuna kilichokifanya ( na wao wanajua).
UKIACHA JAZBA UKATAFAKARI KWA KINA...UTAKUBALIANA NAMI.
Kwa hiyo majimbo yote ya ccm yana maendeleo sio?hiyo sentensi pekee imeharibu mpaka kile ulichonuia kukiwasilisha na kukufanya uonekane mpumbavu na mjinga wa mwisho.Unaweza kuwa unampenda sana Lisu ila huu mziki wa mwaka huu si wa kitoto kama wengi wanavyojifariji.
Vyama vingi sasa havina fedha, sheria zimeshatungwa...ukitukana unakamatwa, wagombea wengi afya mgogoro.. hata kwa ndege hawawezi kuizunguka nchi kuomba kura...sera hawana..maana karibu vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa vimefanyika... majimbo mengi ya upinzani hakuna kilichokifanya ( na wao wanajua).
UKIACHA JAZBA UKATAFAKARI KWA KINA...UTAKUBALIANA NAMI.
Usiwe andazi,mbona unajijibu mwenyewe sasa,uwe unaelewa kwanza na sio kudandia ilimradi tuu umetupia neno,sasa mbona mambo ni yale yale kwenye majimbo ya ccm na upinzani?na unakubali kuwa kuna upendeleo (sabotage) unafanywa na chama tawala dhidi ya majimbo ya upinzani ili tuu wasipate maendeleo.Usiwe kiazi si walisema hao wajasiriasiasa (wapinzani)wachaguliwe wao badala ya CCM ili kuleta tofauti Ni kipi walichafanya ndio jamaa hapo juu alichokusudia Sasa wewe weka orodha ya vitu walivyofanya
uzi Tatar? Acha utani unakula buk 5 za LumumbaWasalaam, Jamii Forums.
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.
BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.
Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Awamu ya pili ndipo utawala huu wa mkono wa chuma utakapotamalaki zaidi, JPM na CCM yake sasa basi. Mitano ya Utawala wa Imla Yatosha.Wasalaam, Jamii Forums.
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.
BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.
Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Mtahangaika sana mwaka huu, na hapo bado sana ndiyo gemu linaanza
Wasalaam, Jamii Forums.
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.
BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.
Troll JF
Money Laundering Whistleblower