Financial Intelligence Unit (FIU), muwe makini kuna fedha nyingi itatoka zitatoka Ulaya kuja kusaidia kampeni za Chama cha Siasa

Financial Intelligence Unit (FIU), muwe makini kuna fedha nyingi itatoka zitatoka Ulaya kuja kusaidia kampeni za Chama cha Siasa

Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistle Brower
Komredi uliadimika sana aseee vipi mbn gafla mmeanza kuweweseka, si mpo vzr na madaraja, SGR, na mabarabara tulieni muone kama watu wanataka kula hayo makitu
 
Shida Nini mbona kwa miaka mitano Sasa tangu awamu hii iingie madarakani fedha nyingi zimetumika kwenye kampeni Hadi bajeti imeyumba
 
Hizo Pesa hazina Value..., yaani zikiingia katika mzunguko hazifanyi manunuzi ?, Tuache Propaganda za kitoto..., Je ni bora fedha zinazoingia au zinazotoka ?
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistle Brower


Movies za barabarani hazitoshi, kuzuia wapinzani wetu kujinadi ilihali tunajinadi kila siku haikutosha...tuna vyombo vya dola bado tu waoga na wenye hofu kubwa sana.

Hofu yetu ni nini ikiwa tumefanya makubwa kuliko awamu zote?

Let us wait and see people's power!!!
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistle Brower
Kampeni za lissu zitagharamiwa na hela halali za wazalendo wapenda mageuzi, tutamchangia, na marafiki zetu watatuchangia chops tatu na magari 200,

Lisu raisi mtatajiwa
 
Huu uchaguzi mlisema mnashinda saa nne asubuhi😂😂😂😂😂
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Mambo yamebadilika ghafla?
 
Rais awe magufuli ama awe nani bado mataifa ya magharibi ndio yanaiendesha.

Makusanyo ya nchi hii hayawezi kuendesha hii nchi. Ccm imetengeneza mfumo wa watu kutokulipa kodi ili waipigie kura.

Zaidi ya 40% ya pesa inayoendesha nchi hii inatoka magharibi, ni mazwazwa tu ambao wanaweza kuamini wanachoambiwa na wanasiasa kua kila kitu tunafanya kwa pesa zetu za ndani.

Ila kwa kua wafuasi wengi wa ccm ni mazwazwa hilo haliwapi shida.
Hili la watu wengi kutokulipa kodi alaf msaada isipokuja wanabebeshwa wengine linaniuma sana kiongozi. ..
Nashukuru na wewe umeiona hilo
 
Unaweza kuwa unampenda sana Lisu ila huu mziki wa mwaka huu si wa kitoto kama wengi wanavyojifariji.
Vyama vingi sasa havina fedha, sheria zimeshatungwa...ukitukana unakamatwa, wagombea wengi afya mgogoro.. hata kwa ndege hawawezi kuizunguka nchi kuomba kura...sera hawana..maana karibu vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa vimefanyika... majimbo mengi ya upinzani hakuna kilichokifanya ( na wao wanajua)...
UKIACHA JAZBA UKATAFAKARI KWA KINA...UTAKUBALIANA NAMI.

Kafie mbele ,Malaya wa kisiasa wewe
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistleblower
That is it!!! Ahsante mkuu pakua nasisi tunaoambulia mifupa tupate minofu.
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistleblower

Tena hiyo inatakiwa iingie hata asubuhi hii, maana wananchi tuko hoi, huku wahuni wachache wa ccm wakinenepeana ndani ya maVX ya umma. Ni miradi mingapi ya wazungu iko nchi hii na wala hawakatutawala, ila hizo , $38m ndio zitumike kututawala? Hizi propaganda za kizee haziwabebi, pambaneni na watoa rushwa wa ccm huko achaneni na yasiyowahusu.
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistleblower
shida nn wakati mnakubalika hofu ya nini,mbona nyie mlikwapua 1.5
 
Tena hiyo inatakiwa iingie hata asubuhi hii, maana wananchi tuko hoi, huku wahuni wachache wa ccm wakinenepeana ndani ya maVX ya umma. Ni miradi mingapi ya wazungu iko nchi hii na wala hawakatutawala, ila hizo , $38m ndio zitumike kututawala? Hizi propaganda za kizee haziwabebi, pambaneni na watoa rushwa wa ccm huko achaneni na yasiyowahusu.
wanasaza kodi zetu hadi wanatoa rushwa makanisani na kununua jogoo kwa laki moja hali mhogo tu wa buku tunashindwa nunua
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Mbona hujahoji fedha ya "makusanyo" ya Kisutu na DPP zinafanya nini na hazionekani kwenye maduhuli ya serikali achilia mbali kale ka-tr.1.5 kalikomchomoa profesa mzalendo kwenye u-CAG?
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.


BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.


Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Kapigwe uko
 
Unaweza kuwa unampenda sana Lisu ila huu mziki wa mwaka huu si wa kitoto kama wengi wanavyojifariji.
Vyama vingi sasa havina fedha, sheria zimeshatungwa...ukitukana unakamatwa, wagombea wengi afya mgogoro.. hata kwa ndege hawawezi kuizunguka nchi kuomba kura...sera hawana..maana karibu vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa vimefanyika... majimbo mengi ya upinzani hakuna kilichokifanya ( na wao wanajua)...
UKIACHA JAZBA UKATAFAKARI KWA KINA...UTAKUBALIANA NAMI.
Tayari BOT wameshafanya yao, wanasubiri wajinga wajichanganye na mipesa yao haramu.
 
Unaweza kuwa unampenda sana Lisu ila huu mziki wa mwaka huu si wa kitoto kama wengi wanavyojifariji.
Vyama vingi sasa havina fedha, sheria zimeshatungwa...ukitukana unakamatwa, wagombea wengi afya mgogoro.. hata kwa ndege hawawezi kuizunguka nchi kuomba kura...sera hawana..maana karibu vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa vimefanyika... majimbo mengi ya upinzani hakuna kilichokifanya ( na wao wanajua)...
UKIACHA JAZBA UKATAFAKARI KWA KINA...UTAKUBALIANA NAMI.
Hivi kuna tofauti kati ya majimbo na nchi? Maana kama nchi imeendelea basi na majimbo yameendelea,Hayo ya upinzani yapo burundi? Ngumbaru kabisa
 
Wasalaam, Jamii Forums.

Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.

Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.

BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.

Troll JF
Money Laundering Whistleblower
THIS IS AUGUST STILL MORE TO COME COMING OCTOBER 28
 
Back
Top Bottom