Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Tuwauzie sisi
Kweli.
FO8ZDkZXEAwed6v.jpg
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni emotion tu za wanasiasa kiuharisia wanaumia mbona EU wamebadiri gia angani wanaendelea kununua na walitaka waisuse wameshindwa
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama walijiandaa mbna wanawaambia raia wao wajiandae nagharama zakupanda kwa bei za NISHATI ya UMEME GAS nk
Labda walijiandaa kushindwa labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavyocoment kishabiki hapa unabaki kushangaa,wanaowaona hao Finland na Sweden ni wajinga sana kwamba hawajui kuwa Putin amekuwa akitumia hicho kigezo siku zote kuwatisha na walikuwa wanatishika.Iweje leo wameamua liwalo na liwe pamoja na kukata hiyo gesi na umeme,nina uhakika hawatokosa hizo huduma maana walishajua mapema na mchakato wa kujiunga NATO utaendelea kama kawaida.Ukiona Kobe yuko juu ya mti.........[emoji846]
 
Wanavyocoment kishabiki hapa unabaki kushangaa,wanaowaona hao Finland na Sweden ni wajinga sana kwamba hawajui kuwa Putin amekuwa akitumia hicho kigezo siku zote kuwatisha na walikuwa wanatishika.Iweje leo wameamua liwalo na liwe pamoja na kukata hiyo gesi na umeme,nina uhakika hawatokosa hizo huduma maana walishajua mapema na mchakato wa kujiunga NATO utaendelea kama kawaida.Ukiona Kobe yuko juu ya mti.........[emoji846]
Nyie msokoment kishabiki mtwambie walijiandaaje nawakat NISHATI tayar zishapanda bei kwenye hayo mataifa husika
Nisuala la muda tu kabla hawajaelekea MOSCOW kwenda kulialia!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unafikiri Finland itakufa njaa? Mnafurahia ufara wa fara fulani ambaye ameamua kuvamia nchi huru kibabe tu. Halafu nchi hiyo inapojitetea mnaumia. Misimamo mingine ni ya kishetani kabisa. Kama Idd Amin alivyovamia Kagera 1978, ulitaka Nyerere afanyeje kama siyo kutetea ardhi ya Tanzania?
Kwa kitendo Chao cha kupeleka maombi kutaka kujiunga na nato ,mzee Putin amefunga koki za kupeleka gesi na tayari amewakatia umeme Sasa ngoma inogire raia wa finland
 
Wewe unafikiri Finland itakufa njaa? Mnafurahia ufara wa fara fulani ambaye ameamua kuvamia nchi huru kibabe tu. Halafu nchi hiyo inapojitetea mnaumia. Misimamo mingine ni ya kishetani kabisa. Kama Idd Amin alivyovan=mia Kagera 1978, ulitaka Nyerere afanyeje kama siyo kutetea ardhi ya Tanzania?
[emoji1][emoji1] Wamarekani wa kibondo mna shida sana.
Screenshot_20220412-002702.jpg
 
[emoji91]I ask everyone who is resisting in Severodonetsk, Lisichansk, around these settlements to come to their senses and lay down their arms before they are driven into a corner, until they are destroyed and wounded. They have families at home, children, wives are waiting - Kadyrov[emoji91]
 
Tatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.
[emoji1][emoji1] Wamarekani wa kibondo mna shida sana.View attachment 2232344
 
Tatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.

Bora Mimi Ni mjinga/Mbumbumbu kuliko wewe mgonjwa wa akili.
JamiiForums2127175075.jpg
 
Back
Top Bottom