Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli upo sahihi lakini biblia ina msema marekani ndio baba wa uongo na atatetea mambo mengi ya uongo uongo.

Tukirudi kwenye uhalisia ruble imepanda thamani haijawahi tokea ila watu wamesahau hili kua ruble ndio pesa yenye thamani na ushindani mkubwa mbele ya dollar upande wa biashara.


kwa kifupi poland na bulgaria walikatiwa ila mmoja 13 na mwngne 15 wakaomba poo ila haikutangazwaaa
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Finland walishasema week iliyopita kwamba Russia wakate gesi na mafuta maana wanajitosheleza,gesi na mafuta wanayochukua toka Russia ni 10% tu
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafakari na Upande wa Tatu, viongozi wao ni wanasiasa na wananunulika, kikinuka wanasepa na wanaoumia ni wananchi.

Wananchi hawaitaki hio Nato na ukifika Uchaguzi hao wanasiasa Hawashindi tena.

Wanasiasa wengi Ulaya Hali ni tete kwa sasa, wengi hawatashinda Uchaguzi kwa hii Blunder ya Urusi waliofanya.
 
Wangekuwa na akili ndogo wasingekutawala kwa zaidi ya miaka 100 na bado waendelee kukukupa misaada hadi leo
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Germany walivyojiandaa. Huoni hawateseki hata kido!!!
Na Russia ni wajinga sana. Wanakata umeme na gesi wakiwa hawajui kwamba kutawaathiri maadui. Mpaka mtanzania wa Buza alieshiba magimbi yake anajua kuwa jamaa walishajiandaa muda mrefu!!!

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Wanavyocoment kishabiki hapa unabaki kushangaa,wanaowaona hao Finland na Sweden ni wajinga sana kwamba hawajui kuwa Putin amekuwa akitumia hicho kigezo siku zote kuwatisha na walikuwa wanatishika.Iweje leo wameamua liwalo na liwe pamoja na kukata hiyo gesi na umeme,nina uhakika hawatokosa hizo huduma maana walishajua mapema na mchakato wa kujiunga NATO utaendelea kama kawaida.Ukiona Kobe yuko juu ya mti.........[emoji846]
Ujue kuna mshabiki wa ushoga kampandisha

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.
Pamoja na kumtusi jamaa ila wewe ndio mtupu kabisa. Unadhani Russia ni mwendawazimu kivamia Ukraine bila sababu? Hivyo ni vita. Na vita vinagharama ikiwemo kupoteza wanajeshi wako na vifaa. Mrusi sio mjinga kama unavyotaka tuamini.

Upande mwingine ungejiuliza kwanini nchi za NATO wanayataka sana hayo mataifa hata kwa damu na kuangamizwa kwa miji yao!?

Ukiyatafakari hayo,kuwaunga mkono hayo mataifa na kumpinga Russia, inaonesha hata zakuvukia barabara hazijabaki

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
sasa unahis pesa wanaokota labda waliwazid kuokota ? wazungu huangalia mbali zaid , cost za huo umeme ni tofauti.na cost za kukutana na kazia ya vita km Ukraine , so wamepiga mahesabu makubwa kuwa kwasasa lzm wakutane na hayo ila hayana uzito km kuharibika kwa miji km Ukraine
 
Tatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.
tatizo la hawa wavaa kobaz lipo hapo
 
ni kweli upo sahihi lakini biblia ina msema marekani ndio baba wa uongo na atatetea mambo mengi ya uongo uongo.

Tukirudi kwenye uhalisia ruble imepanda thamani haijawahi tokea ila watu wamesahau hili kua ruble ndio pesa yenye thamani na ushindani mkubwa mbele ya dollar upande wa biashara.


kwa kifupi poland na bulgaria walikatiwa ila mmoja 13 na mwngne 15 wakaomba poo ila haikutangazwaaa
wavaa kobaz mna tatzo sn
 
Tafakari na Upande wa Tatu, viongozi wao ni wanasiasa na wananunulika, kikinuka wanasepa na wanaoumia ni wananchi.

Wananchi hawaitaki hio Nato na ukifika Uchaguzi hao wanasiasa Hawashindi tena.

Wanasiasa wengi Ulaya Hali ni tete kwa sasa, wengi hawatashinda Uchaguzi kwa hii Blunder ya Urusi waliofanya.
wavaa kobaz mna ttzo sn , mnahis Finland ni chattle ?
 
Back
Top Bottom