Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Kama Germany walivyojiandaa. Huoni hawateseki hata kido!!!
Na Russia ni wajinga sana. Wanakata umeme na gesi wakiwa hawajui kwamba kutawaathiri maadui. Mpaka mtanzania wa Buza alieshiba magimbi yake anajua kuwa jamaa walishajiandaa muda mrefu!!!

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
uelewa wako mdg ndio maana mlitawaliwa almost miaka 100 , Gesi , mafuta + umeme , vyote hivyo unaweza ku recover tu , ila usalama wako hauna insurance km ilivyo Syria , Iraq , Somalia , Libyia , Nigeria na hata Yemen walishindwa kujiepua mapema kwa kuogopa gharama ndogo tu kisha wakayaingiza mataifa yao kwenye moto ambao hawawez uzima mpk dunia iingilie kati , Penda kuchukua tahadhari mapema
 
Hivi unadhani Mzungu ana akili sana.
Sema tu walitutangulia kufanya ugunduzi mbalimbali.
Wangekuwa wanaona mbali leo hii Ukraine isingekuwa magofu kwa issue ambayo ingetatuliwa peacefully.
Hawa Wazungu kuna possibility wakatuingiza kwenye WW3 kimasihara.
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kumtusi jamaa ila wewe ndio mtupu kabisa. Unadhani Russia ni mwendawazimu kivamia Ukraine bila sababu? Hivyo ni vita. Na vita vinagharama ikiwemo kupoteza wanajeshi wako na vifaa. Mrusi sio mjinga kama unavyotaka tuamini.

Upande mwingine ungejiuliza kwanini nchi za NATO wanayataka sana hayo mataifa hata kwa damu na kuangamizwa kwa miji yao!?

Ukiyatafakari hayo,kuwaunga mkono hayo mataifa na kumpinga Russia, inaonesha hata zakuvukia barabara hazijabaki

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
wenzio wanaangalia kesho zaid , kubakia neutral ni risk kwasasa maana Putin ameanza expansionism kateka majimbo mengi ya jirani kuanzia Georgia had Ukraine , so Finland wameona mbali sana gharama za kujiunga na NATO kwa ss hv ni ndogo kuliko wakisubir siku ije kuwa ya Ukraine , kujenga upya miji na kuondoa gap la umaskini ni kaz nzito kuliko kutafuta solution ya umeme , mafuta na gas , na kwasasa ikitokea Putin kavamia Finland bas itakuwa nyepesi kumuangusha maana threesome hatoiweza huyo Putin
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata UK na US walisemwa hivi hivi ila now malipo ya ruble yanazidi kushamiri hapo Gazoprambank huku ruble ikiichua vizuri USD sokoni.
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani atagharimia hayo mahitaji ya Finland. Lengo ni kumkomoa tu Urusi. Hawajaomba kujiunga Nato kwa bahati mbaya, ni mpango madhubuti wa Marekani.
 
anachofanya Urusi ni mistake kubwa sana maana ana wa alert hata wanategemea bidhaa zake kwa > 60% basi waanze kujikwamua cos wanatambua ipo siku yatawakuta ya EU
Si bora Russia atakukatia umeme na Gas! US ndo analeta jeshi na Muungano wake wa Nato kuja kukung'oa kabisa! Alafu ata ao aliowakatia Gas mwisho wa siku mpango ni uleule unataka nunua kwa Ruble ili thaman ya pesa yao ipande sokon.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
Hoja zako ni za namna hii afu unajiona una akili kuliko wazungu? saa nyingine kunyamaza ni kuzuri zaidi.
 
wenzio wanaangalia kesho zaid , kubakia neutral ni risk kwasasa maana Putin ameanza expansionism kateka majimbo mengi ya jirani kuanzia Georgia had Ukraine , so Finland wameona mbali sana gharama za kujiunga na NATO kwa ss hv ni ndogo kuliko wakisubir siku ije kuwa ya Ukraine , kujenga upya miji na kuondoa gap la umaskini ni kaz nzito kuliko kutafuta solution ya umeme , mafuta na gas , na kwasasa ikitokea Putin kavamia Finland bas itakuwa nyepesi kumuangusha maana threesome hatoiweza huyo Putin
Kwani Putin alishawah kutishia kuivamia Finland? Inaelekea ata sababu za kupelema jeshi Ukraine huzujui! Yani ufahamu kabisa kuwa Marekani lengo lake kuu ni kuitumia Nato ili aisogelee Russia? Hujui kama kuna washauri walishauli huko nyuma kuwa mpango wa NATO kujitanua kuelekea mashariki eneo la mashariki mwa ulaya patakuja kuwaka moto?

Hujui kuwa kuna watu walishaiambia US kuwa ukitaka kumminya Urusi basi hakikisha unaifuata wewe kule iliko atakama kwa kuwanunua viongozi waliopo nchi jiran na Russia wanunue ila ukiruhusu Russia ikufate kama ilivyokafika Ujeruman Mashariki hutoiweza?

Hujui kuwa miaka ya 60 Marekan akitaka kuishambulia CUBA sababu tu Russia alikuwa anaweka makombora yake ya Nuclear na Marekan akaona kabisa kuwa Russia ataitumia Cuba kumchapia siku moja?

Unafikiri Marekan kufika mpk Taiwan ni kwa bahati mbaya? Marekan anachotaka yeye ni kuwafikia maadui zake kupitia mataif mengine akawachunguze na ata siku mkikorofishana anapigane vita kutumia mataifa yenu si faifa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shangaa na ww watu wako busy kujenga mahandaki kila sehemu nchini kwao halafu washindwe kuweka misingi ya hatima yao kuhusu nishati mbadala ya Russia!!!!!???
 
Jana EU kawekeana saini na QR kuhusu mauziano ya gesi,so wanahamia urabuni
Huyo ni German pekee kwa kifupi Kila nchi na msalaba wake
The agreement with Qatar comes as Germany, Europe's biggest economy, looks for alternative energy supplies following Russia's invasion of Ukraine [Annegret Hilse/Reuters
 
uelewa wako mdg ndio maana mlitawaliwa almost miaka 100 , Gesi , mafuta + umeme , vyote hivyo unaweza ku recover tu , ila usalama wako hauna insurance km ilivyo Syria , Iraq , Somalia , Libyia , Nigeria na hata Yemen walishindwa kujiepua mapema kwa kuogopa gharama ndogo tu kisha wakayaingiza mataifa yao kwenye moto ambao hawawez uzima mpk dunia iingilie kati , Penda kuchukua tahadhari mapema
Hivi Russia ni wajinga kiasi hicho kwamba wana vamia tu kijeshi nchi kama Ukraine bila sababu za msingi?

Au kuna mjinga mmoja yupo kati yao anatekeleza malengo yake binafsi?
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
Hiyo kujiunga Nato sio wao wenyewe wamejiamulia na hawakiwa hata wamejiandaa. Wameombwa na marekani wajiunge nato kwa ahadi nyingi hewa na wameshindwa kukataa
 
wenzio wanaangalia kesho zaid , kubakia neutral ni risk kwasasa maana Putin ameanza expansionism kateka majimbo mengi ya jirani kuanzia Georgia had Ukraine , so Finland wameona mbali sana gharama za kujiunga na NATO kwa ss hv ni ndogo kuliko wakisubir siku ije kuwa ya Ukraine , kujenga upya miji na kuondoa gap la umaskini ni kaz nzito kuliko kutafuta solution ya umeme , mafuta na gas , na kwasasa ikitokea Putin kavamia Finland bas itakuwa nyepesi kumuangusha maana threesome hatoiweza huyo Putin
Hivi NATO ipo toka lini?
Na unaju fika kuwa NATO imeundwa maksudi ili kumkabili Russia, je toka NATO imeundwa imefanikiwa kumkabili au kumdhiti Russia aiendelee na malengo yake?
Je kama NATO ni suruhisho la kiusalama Duniani kwanini isimuondoe Russian kwenye Ramani ya Dunia ili kila mtu aishi kwa amani na bila hofu ya uvamizi wa Russia?
Je NATO imefanikiwa kwa kiasi gani mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom