Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Wanavyocoment kishabiki hapa unabaki kushangaa,wanaowaona hao Finland na Sweden ni wajinga sana kwamba hawajui kuwa Putin amekuwa akitumia hicho kigezo siku zote kuwatisha na walikuwa wanatishika.Iweje leo wameamua liwalo na liwe pamoja na kukata hiyo gesi na umeme,nina uhakika hawatokosa hizo huduma maana walishajua mapema na mchakato wa kujiunga NATO utaendelea kama kawaida.Ukiona Kobe yuko juu ya mti.........[emoji846]
wewe una akili sana kuliko wa Russia walio wakatia umeme na gas, hongera mkuu.
 
Jana EU kawekeana saini na QR kuhusu mauziano ya gesi,so wanahamia urabuni
Yaani watu wengine wagumu kuelewa hakuna MTU aliyesema hakuna mbadala wa gas ya Russia HV cost ya kununua mafuta huko wanapoenda ni gharama sawa na kununua Russia? Maana kuna transport cost kubwa kuliko kununua Russia mafuta yanafika yana bei kubwa ndio maana bei ya bidhaa kwenye nchi zao imepanda
 
Yaani watu wengine wagumu kuelewa hakuna MTU aliyesema hakuna mbadala wa gas ya Russia HV cost ya kununua mafuta huko wanapoenda ni gharama sawa na kununua Russia? Maana kuna transport cost kubwa kuliko kununua Russia mafuta yanafika yana bei kubwa ndio maana bei ya bidhaa kwenye nchi zao imepanda
Kwani mpaka ufoke?Jifunze arts ya kuzungumza...ungeweza kunielezea kawaida tu ningeelewa jebu punguza mihemuko...tatizo hamtaki kusikia ukweli
 
Yaani watu wengine wagumu kuelewa hakuna MTU aliyesema hakuna mbadala wa gas ya Russia HV cost ya kununua mafuta huko wanapoenda ni gharama sawa na kununua Russia? Maana kuna transport cost kubwa kuliko kununua Russia mafuta yanafika yana bei kubwa ndio maana bei ya bidhaa kwenye nchi zao imepanda
Kwani mpaka ufoke?Jifunze arts ya kuzungumza...ungeweza kunielezea kawaida tu ningeelewa jebu punguza mihemuko...tatizo hamtaki kusikia ukweli
 
Yaani watu wengine wagumu kuelewa hakuna MTU aliyesema hakuna mbadala wa gas ya Russia HV cost ya kununua mafuta huko wanapoenda ni gharama sawa na kununua Russia? Maana kuna transport cost kubwa kuliko kununua Russia mafuta yanafika yana bei kubwa ndio maana bei ya bidhaa kwenye nchi zao imepanda
Kwani mpaka ufoke?Jifunze arts ya kuzungumza...ungeweza kunielezea kawaida tu ningeelewa jebu punguza mihemuko...tatizo hamtaki kusikia ukweli
 
Hii vita mwenye faida ni yule aliyeianzisha mmarekani ndo ana faids na hii vita atauza gesi kwa mataifa yote ambayo mrusi alikuwa anauzaatauza silaha kwa mataifa yote ya nato ambayo yataanzisha vita na urusi. Msitegemee uchumi wa mrusi kushuka wakati mataifa yote ambayo yanategemea hidhaa kutoka urusi yanatumia fesha ya urusi nafikiri uchumi wa mrusi utaimarika zaidi
 
Swala la kupanda nishati lipo Duniani kote,hapa Bongo mbona nishati imepanda mara dufu au na sisi ni kwa sababu 'tumekatiwa na Urusi'? Hakuna Taifa lolote Duniani linaloweza kusurvive kwa muda mrefu kwa vitisho vya Taifa jingine.

Finland na Sweden watakuwa na muarobaini wa hilo na hata Putin na Kremlin watakuwa wanashangaa iweje pamoja na vitisho vyote hivyo bado hawatishiki? Yeye Russia anaekata hiyo gesi ataigeuza kuwa chakula ili ale au na yeye anaitegemea hiyo gesi awauzie ili apate pesa za kuendeshea Nchi?

Aendelee kukata tena kwa muda mrefu tuone yeye atasurvive vipi na gesi yake. Russia anacheza mchezo wa kitoto tuliokuwa tunaufanya utotoni,unamuona mdogo wako kavunja kikombe kwa siri unaahidi kumfichia siri ili asipate bakora za Mama,lakini unatumia hiyo siri kumnyanyasa,kazi zako zote awe anakufanyia akijaribu kujitetea unamkumbusha ile siri uliyomtunzia ya kuvunja kikombe,siku akichoka anakugomea anaamua liwalo na liwe kaseme tu kwa Mama,unabaki umepigwa butwaa na kusema huwezi na ndiyo unakuwa mwisho wa kumnyanyasa.Narudia tena ukiona Kobe yupo juu ya mti .........[emoji846]
Walikata gesi kwa Poland na maisha yanaendelea wakumbushe.
 
Hivi unadhani Mzungu ana akili sana.
Sema tu walitutangulia kufanya ugunduzi mbalimbali.
Wangekuwa wanaona mbali leo hii Ukraine isingekuwa magofu kwa issue ambayo ingetatuliwa peacefully.
Hawa Wazungu kuna possibility wakatuingiza kwenye WW3 kimasihara.
Sasa kama wewe ndo una akili kuwazidi wazungu ndo tumia akili yako kuzuia ww3 .😂😂😂
 
Hata UK na US walisemwa hivi hivi ila now malipo ya ruble yanazidi kushamiri hapo Gazoprambank huku ruble ikiichua vizuri USD sokoni.
Ruble ni currency ya kawaida kwenye uchumi wa dunia. Level zake haipo hata currencies 10 duniani zinazotumika sana. Switzerland haifiki hata 0.5% ya eneo la Russia ila fedha yake Swiss Franc inaizidi mbali umuhimu hiyo Ruble.

Ruble ikue kwa nafasi yake ila sio tishio wala haina impact sana kwenye dunia. Ingekuwa Japan ndio huwa wanafanya devaluation, China ndio kabisa hiyo ni michezo yake ila Russia hata itoke from 1$ = 62 RUB ipande mpaka 1$ = 30 RUB bado dunia haitofeel sana. Vita wakati inaanza walikuwa wanachezea kwenye 80 sasa hivi wako 60 na kitu
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
[emoji3][emoji3][emoji3] kwamba wanamgambo ndo walikuwa wanaoperate na morskova iliyolipuliwa
 
Kwani Putin alishawah kutishia kuivamia Finland? Inaelekea ata sababu za kupelema jeshi Ukraine huzujui! Yani ufahamu kabisa kuwa Marekani lengo lake kuu ni kuitumia Nato ili aisogelee Russia? Hujui kama kuna washauri walishauli huko nyuma kuwa mpango wa NATO kujitanua kuelekea mashariki eneo la mashariki mwa ulaya patakuja kuwaka moto?

Hujui kuwa kuna watu walishaiambia US kuwa ukitaka kumminya Urusi basi hakikisha unaifuata wewe kule iliko atakama kwa kuwanunua viongozi waliopo nchi jiran na Russia wanunue ila ukiruhusu Russia ikufate kama ilivyokafika Ujeruman Mashariki hutoiweza?

Hujui kuwa miaka ya 60 Marekan akitaka kuishambulia CUBA sababu tu Russia alikuwa anaweka makombora yake ya Nuclear na Marekan akaona kabisa kuwa Russia ataitumia Cuba kumchapia siku moja?

Unafikiri Marekan kufika mpk Taiwan ni kwa bahati mbaya? Marekan anachotaka yeye ni kuwafikia maadui zake kupitia mataif mengine akawachunguze na ata siku mkikorofishana anapigane vita kutumia mataifa yenu si faifa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Putin hajawahi kutishia kuivamia Finland, kwani aliwahi tishia kuivamia Ukraine kabla? Nani kakwambia nchi kuchukua hatua ni lazima kwanza zitishiwe kwa maneno, wale sio kama sisi.

Russia hana uwezo wa kumfuata Marekani. Kwa uchumi gani alionao, huu unaozidiwa na South Korea? Switzerland GDP yake ni kama 40% hivi ya Russia ila eneo lake ni kama 0.5% ya Russia. Russia kama ni mtambo tungesema hauko efficient.

Hivi ni nchi gani jirani na Marekani itapokea ofa ya kuweka majeshi na silaha za Russia kwake. Hakuna faida kiuchumi wala kisiasa, unless nchi iwe very desperate inatishiwa kuvamiwa na Marekani.

Kwa silaha gani alizonazo za kuizunguka Marekani na bases. Kwa mfano ataenda na meli zipi kufanya replenishments kwenye hizo bases around na Marekani. Moskva iliyozamishwa na Ukraine haikuwa hata na functioning fire control radar, meli kubwa ulinzi sifuri. Jana nimeona wameifidia na meli ndogo ndio iwe flagship ya Black sea fleet. Aircraft carrier pekee ya Urusi ile Admiral Kuznetvoz ndio wiki hii imeenda kwenye drydock ili ikafanyiwe maintenance, ni miaka mitatu tangu floating dock izame na baadae meli ikapata ajari ya moto, before kuzamisha floating dock ilitoka mission ambako ilibidi isindikizwe na tugboat na ni mara chache sana ilifanya mission. Sasa kwa navy ya hivi unafanyaje support kwenye majeshi yako yaliyo mbali na mainland.

Marekani anaweza hayo kwa kuwa uchumi unaruhusu. Russia akitaka kuweka bases awe na uchumi wa level hizo na teknolojia yake izidi kukua. China mbona ana base pale Djibout, mbona anataka kufungua base Solomon Islands karibu kabisa na Australia na kina NATO wanalalamika. China inao uwezo wa kuweka base kwenye nchi fulani ndogo hata
iwe mbali vipi, hiyo nchi ikapigwa sanctions ila China ikaipa kila kitu na ziada. Russia haina uwezo huo, sasa cha kufia nini.
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si utuambie hapa hiyo namna waliyojiandaa mbona umezunguka zunguka tuu?
 
Putin hajawahi kutishia kuivamia Finland, kwani aliwahi tishia kuivamia Ukraine kabla? Nani kakwambia nchi kuchukua hatua ni lazima kwanza zitishiwe kwa maneno, wale sio kama sisi.

Russia hana uwezo wa kumfuata Marekani. Kwa uchumi gani alionao, huu unaozidiwa na South Korea? Switzerland GDP yake ni kama 40% hivi ya Russia ila eneo lake ni kama 0.5% ya Russia. Russia kama ni mtambo tungesema hauko efficient.

Hivi ni nchi gani jirani na Marekani itapokea ofa ya kuweka majeshi na silaha za Russia kwake. Hakuna faida kiuchumi wala kisiasa, unless nchi iwe very desperate inatishiwa kuvamiwa na Marekani.

Kwa silaha gani alizonazo za kuizunguka Marekani na bases. Kwa mfano ataenda na meli zipi kufanya replenishments kwenye hizo bases around na Marekani. Moskva iliyozamishwa na Ukraine haikuwa hata na functioning fire control radar, meli kubwa ulinzi sifuri. Jana nimeona wameifidia na meli ndogo ndio iwe flagship ya Black sea fleet. Aircraft carrier pekee ya Urusi ile Admiral Kuznetvoz ndio wiki hii imeenda kwenye drydock ili ikafanyiwe maintenance, ni miaka mitatu tangu floating dock izame na baadae meli ikapata ajari ya moto, before kuzamisha floating dock ilitoka mission ambako ilibidi isindikizwe na tugboat na ni mara chache sana ilifanya mission. Sasa kwa navy ya hivi unafanyaje support kwenye majeshi yako yaliyo mbali na mainland.

Marekani anaweza hayo kwa kuwa uchumi unaruhusu. Russia akitaka kuweka bases awe na uchumi wa level hizo na teknolojia yake izidi kukua. China mbona ana base pale Djibout, mbona anataka kufungua base Solomon Islands karibu kabisa na Australia na kina NATO wanalalamika. China inao uwezo wa kuweka base kwenye nchi fulani ndogo hata
iwe mbali vipi, hiyo nchi ikapigwa sanctions ila China ikaipa kila kitu na ziada. Russia haina uwezo huo, sasa cha kufia nini.
Jifunze kusoma na kuelewa
Screenshot_2022-05-21-10-10-18-02.jpg
 
mkuu kama wewe huna akili kwann ulazimishe na wengine.
Ungekuwa una akili sana tungekuwa tunakusoma kwenye vitabu au majarida umevumbua kitu flan,kama hujawahi kufikia hiyo stage,una akili ya kawaida tu ya kuwezesha kupata mkate wa familia ambayo kila mtu anayo.
 
Back
Top Bottom