Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Tatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.
Hawa watoto hawajitambui, ni wapumbavu sana, wao wanaona sisi tunashabikia Marekani. Wanaona tunafurahia matendo yote ya US, akili za kpuuzi kabisa hizi.
 
Finland walishasema week iliyopita kwamba Russia wakate gesi na mafuta maana wanajitosheleza,gesi na mafuta wanayochukua toka Russia ni 10% tu
Sasa mleta mada yeye kinamuwasha kitu gan?
 
Tafakari na Upande wa Tatu, viongozi wao ni wanasiasa na wananunulika, kikinuka wanasepa na wanaoumia ni wananchi.

Wananchi hawaitaki hio Nato na ukifika Uchaguzi hao wanasiasa Hawashindi tena.

Wanasiasa wengi Ulaya Hali ni tete kwa sasa, wengi hawatashinda Uchaguzi kwa hii Blunder ya Urusi waliofanya.
Fikiria upande wa 4, wenzetu hawaongozwi na mtu ila mihimili yote mitatu na system, hakuna rasi atakayekuja ktk hizo nchi ataenda kinyume na ishu za NATO. Elewa hilo.
 
Swala la kupanda nishati lipo Duniani kote,hapa Bongo mbona nishati imepanda mara dufu au na sisi ni kwa sababu 'tumekatiwa na Urusi'? Hakuna Taifa lolote Duniani linaloweza kusurvive kwa muda mrefu kwa vitisho vya Taifa jingine.

Finland na Sweden watakuwa na muarobaini wa hilo na hata Putin na Kremlin watakuwa wanashangaa iweje pamoja na vitisho vyote hivyo bado hawatishiki? Yeye Russia anaekata hiyo gesi ataigeuza kuwa chakula ili ale au na yeye anaitegemea hiyo gesi awauzie ili apate pesa za kuendeshea Nchi?

Aendelee kukata tena kwa muda mrefu tuone yeye atasurvive vipi na gesi yake. Russia anacheza mchezo wa kitoto tuliokuwa tunaufanya utotoni,unamuona mdogo wako kavunja kikombe kwa siri unaahidi kumfichia siri ili asipate bakora za Mama,lakini unatumia hiyo siri kumnyanyasa,kazi zako zote awe anakufanyia akijaribu kujitetea unamkumbusha ile siri uliyomtunzia ya kuvunja kikombe,siku akichoka anakugomea anaamua liwalo na liwe kaseme tu kwa Mama,unabaki umepigwa butwaa na kusema huwezi na ndiyo unakuwa mwisho wa kumnyanyasa.Narudia tena ukiona Kobe yupo juu ya mti .........[emoji846]
Nyamizi nyamizi nyamizi
Huko bongo kwenu inajulikana imepanda kwasababu ya DUNIA
Ila hapo FINLAND imepanda punde baada ya VIKWAZO tokea MOSCOW ujue tofauti ya wao nanyie!!!
EU na hao FINI suala la NISHATI limepanda kutokana na upuuzi wao wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Putin alishawah kutishia kuivamia Finland? Inaelekea ata sababu za kupelema jeshi Ukraine huzujui! Yani ufahamu kabisa kuwa Marekani lengo lake kuu ni kuitumia Nato ili aisogelee Russia? Hujui kama kuna washauri walishauli huko nyuma kuwa mpango wa NATO kujitanua kuelekea mashariki eneo la mashariki mwa ulaya patakuja kuwaka moto?

Hujui kuwa kuna watu walishaiambia US kuwa ukitaka kumminya Urusi basi hakikisha unaifuata wewe kule iliko atakama kwa kuwanunua viongozi waliopo nchi jiran na Russia wanunue ila ukiruhusu Russia ikufate kama ilivyokafika Ujeruman Mashariki hutoiweza?

Hujui kuwa miaka ya 60 Marekan akitaka kuishambulia CUBA sababu tu Russia alikuwa anaweka makombora yake ya Nuclear na Marekan akaona kabisa kuwa Russia ataitumia Cuba kumchapia siku moja?

Unafikiri Marekan kufika mpk Taiwan ni kwa bahati mbaya? Marekan anachotaka yeye ni kuwafikia maadui zake kupitia mataif mengine akawachunguze na ata siku mkikorofishana anapigane vita kutumia mataifa yenu si faifa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndiyo Great Thinkers sasa [emoji106][emoji120]
 
Fikiria upande wa 4, wenzetu hawaongozwi na mtu ila mihimili yote mitatu na system, hakuna rasi atakayekuja ktk hizo nchi ataenda kinyume na ishu za NATO. Elewa hilo.
Ila inawezekana kupandikiza watu, mfano Ujerumani Uchaguzi unaoendelea Chancellor wa sasa anapoteza majimbo vibaya mno, ni ishara wananchi hawamuelewi kwa sakata linaloendelea.
 
Ni kweli kabla ya uvamizi walikuwa hawapendi kujiunga NATO lakini baada ya kuona uwendawazimu wa Putin kule Ukraine wameona bora kujihami kabisa,Viongozi wao hawajakurupuka kuamua kupeleka maombi ya kujiunga,hizo siyo Serikali za mtu mmoja anajiamulia mambo,tutarudi hapa kucoment tena baada ya mchakato kukamilika.
Sawa Uchaguzi utatuambia anawaongelea wananchi ama atapigwa Chini.
 
Japo sikubariani na Urusi kuvamia mataifa hayo mengine. Lakini nayaona hayo mataifa kama yanajiendesha kijinga kabisa. Iweje mpaka sasa hawajajipanga kwanza kuhusu hili? Ili-hali Nishati muhimu kama gesi na umeme mnategemea kutoka Taifa mnalopingana nalo kisera? . Ilikuwa kitambo sana toka wajichomoe kutoka Soviet wangeendelea na mipango wa kujitoa kutoka kutegemea gesi na umeme wa Urusi. Na hiyo gesi ndio kete yake Putin.

Kwanza badala ya kutegemea gesi ya kupitisha kwa bomba angalau wangeanza na ile gesi ya kubebwa hata kwa tren au kwa magari maalum. Hata nchi za ulaya zote wanaotegemea gesi toka urusi ilitakiwa kitambo sana angalau wangeanza kutumia hii njia. Mpaka kufikia sasa wangekuwa wamejirundikia gesi ya kutosha kwenye maghala yao. Kwa mtindo huo hata urusi wenyewe wasingefanya chochote dhidi yao ksbb biashara yao ingekuwa ni ile ya papo kwa papo
Mie naunga mkono RUSSIA
Ila kuhusiana na hayo unayoyasema MKUU sio kwamba wao hawajayawaza ama hawayajui hapana
Wanayajua sana nawashayawaza mnooo ila shida kwenye utekelezaji yaani gharama
Wakifanya hvyo ukute mafuta watauza bei hata mara tatu ama nne yawanayoyapata hapo RUSSIA
Hata huu mkataba waliosign jana QATAR na GERMAN nakuhakikishia nikiini macho maana nisuala lamuda tuu NORD STREAM mbili litafanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la gas kwa ulaya bado halina mbada na sio leo wala kesho watapata mbadala wa gas ya Urusi. Usiwaamini sana Wazungu eti huwa hawaingii cha kike. Finland na Sweden wameingia cha kike kwa mihemuko tuu bado wanahitaji sana Umeme wa Mrusi na gesi yake.
 
Ungekuwa una akili sana tungekuwa tunakusoma kwenye vitabu au majarida umevumbua kitu flan,kama hujawahi kufikia hiyo stage,una akili ya kawaida tu ya kuwezesha kupata mkate wa familia ambayo kila mtu anayo.
asante kwa kukili nina akili lakini wewe ndo sijui.
 
Shangaa na ww watu wako busy kujenga mahandaki kila sehemu nchini kwao halafu washindwe kuweka misingi ya hatima yao kuhusu nishati mbadala ya Russia!!!!!???
Huwezi shindana na mwenye pesa, russia ni masikini kulinganisha na mataifa ya ulaya.
 
Hivi Russia ni wajinga kiasi hicho kwamba wana vamia tu kijeshi nchi kama Ukraine bila sababu za msingi?

Au kuna mjinga mmoja yupo kati yao anatekeleza malengo yake binafsi?
Russia na hasa putin, anahitaji kuirejesha soviet. Hii ya nato anaongea tu ila ukweli ni huo, anataka airejeshe soviet ndo maana akaibeba crimea.
 
Back
Top Bottom